CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hata wewe ni mwovu kuwa chawa wa watawala waovu ni dhambi.Naona umechanganyikiwa mpaka unatetemeka kuandika na kukosea. Mjue sana Mungu ndipo mema yatakapokujilia.Mungu akusaidie na kukufanya kiumbe kipya na chombo chake cha kuwahubiria wengine wokovu. Sauli alikuwa ni Muovu lakini Mungu alimbadilisha na kumfanya chombo chake cha kueneza injili.hata wewe utabadilika tu na kuwa chombo cha Bwana.
Bwana asema usihukumu usije ukahukumiwa.Hata wewe ni mwovu kuwa chawa wa watawala waovu ni dhambi.
Tayari huoni alivyotoka kiribatumbo na kumfanya azidi kuwa mfupiMsimu wa maparachichi bado?
Basi mchoyoTayari huoni alivyotoka kiribatumbo na kumfanya azidi kuwa mfupi
Yanaendelea kukomaa taratibu taratibu.na kuna ambayo naendelea kuyaangalia yakomae kwa ajili yako.Msimu wa maparachichi bado?
Imeandikwa usichangamane na waovu nawe usijekuhesabiwa kwa maovuBwana asema usihukumu usije ukahukumiwa.
Sawa nile maparachichi mieYanaendelea kukomaa taratibu taratibu.na kuna ambayo naendelea kuyaangalia yakomae kwa ajili yako.
Naona unataka kusogeza pua yako kwa ephen. Sasa wewe jifanye chizi uone moto nitakao kuwashia.Tayari huoni alivyotoka kiribatumbo na kumfanya azidi kuwa mfupi
ephen is just a friend. Yaelekea hujiamini dogo ha ha ha haaaaa!!!!!Naona unataka kusogeza pua yako kwa ephen. Sasa wewe jifanye chizi uone moto nitakao kuwashia.
Atakuwaje na rafiki chizi?ephen is just a friend. Yaelekea hujiamini dogo ha ha ha haaaaa!!!!!
Mbona ameweza kuwa na mpenzi zwazwa?Atakuwaje na rafiki chizi?
Mimi nina akili Timamu tofauti na wewe chiziMbona ameweza kuwa na mpenzi zwazwa?
Lucas wewe ni zwazwa ndiyo maana huteuliwiMimi nina akili Timamu tofauti na wewe chizi