Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagombana waliko, hawana mwelekeo

Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagombana waliko, hawana mwelekeo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".

 
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".
View attachment 3173398
Ingepedeza kama angkaa kimya baada ya kuukosa uongozi wa kanda- akae na familia yke waishi kama familia ya kiongozi wa kikristo. Auonyeshe uchungaji wake badala ya ushabiq wake ktk chama. Kw jinsi ilivo, inaashiria anatafta kuteuliwa kua kiongozi flani na kwamba Rais aspomwona, atahama tena, kama walvofanya wengi au kutubu na kuomba kurudi CDM alpojijengea jna. Xaxa hv anaonyesha "frustrations" zilizojaa moyoni mwake, uYuda unampa tabu- kila akifungua mdomo, hana jingine ni CDM tu!

Anajipungzia heshma aloipata awali kama mchambuzi wa masuala ya kitaalam na xaxa zaidi kw kutegmea kwmb kla nchi Afrika inatakiwa iongozwe na ilani za vyama tawala badala ya mipango mujarab ya kitaalam ya maendleo ilowekwa na wataalam wenye fani husika. Walixema "yamtokayo mtu, ndo yaloko moyoni mwake"- sidhani kama hayo yana ukweli kwa huyu - tena mchungaji. Anaharbu taswira ya uchungaji
 
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".
View attachment 3173398
Huyu amekwenda CCM kwa shinikizo fulani ila bado moyo wake uko Chadema maana hakuna anachowaza kichwani mwake zaidi ya Chadema tu. Naaza kuamini ile habari kuwa alilawitiwa na watu wa kazi huku akirekodiwa na kupewa sharti kuwa kila akishika kipaza sauti lazima aiseme vibaya Chadema vinginevyo wanavujisha video wakati anapigwa mashine. Mbona wenzake wote walionunuliwa huko wanazungumzia sera za chama chao hawana muda tena na Chadema?
 

Attachments

  • FB_IMG_1719903252490.jpg
    FB_IMG_1719903252490.jpg
    26.2 KB · Views: 6
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".
View attachment 3173398
na kwakweli ni kujifedhehesha na kupoteza muda kubabaika na chadema, unless for learning purposes 🐒
 
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".
View attachment 3173398
Huyu babu mpk umri huu bado anatafuta uteuzi anadhani watu wote ni wajinga kama yeye
 
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".

Kwisha habari yako mzee! Ukiona mke kaachika lakini kutwa kucha anaongelea habari za aliye muacha ujue bado ana mahaba, umenunulika kaa kwa kutulia tangaza ilani ya CHAMA CHA MAPINDUZI sio kutwa kucha unaongelea chadema usha toka huko , tumia muda wako mwingi kuitangaza ilani ya CCM acha ulofa
 
Kwisha habari yako mzee! Ukiona mke kaachika lakini kutwa kucha anaongelea habari za aliye muacha ujue bado ana mahaba, umenunulika kaa kwa kutulia tangaza ilani ya CHAMA CHA MAPINDUZI sio kutwa kucha unaongelea chadema usha toka huko , tumia muda wako mwingi kuitangaza ilani ya CCM acha ulofa
Unaweza kukuta kuisema CDM na Mbowe ni terms and conditions za kulipwa kwake.Shida hadu keshokutwa asubuhi.
 
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".


This idiot is very stupid, tuende na mtazamo wake; kwa hiyo usafi na uhalali wa Ccm unategemea usafi na uhalali wa Chadema?
 
Ingepedeza kama angkaa kimya baada ya kuukosa uongozi wa kanda- akae na familia yke waishi kama familia ya kiongozi wa kikristo. Auonyeshe uchungaji wake badala ya ushabiq wake ktk chama. Kw jinsi ilivo, inaashiria anatafta kuteuliwa kua kiongozi flani na kwamba Rais aspomwona, atahama tena, kama walvofanya wengi au kutubu na kuomba kurudi CDM alpojijengea jna. Xaxa hv anaonyesha "frustrations" zilizojaa moyoni mwake, uYuda unampa tabu- kila akifungua mdomo, hana jingine ni CDM tu!

Anajipungzia heshma aloipata awali kama mchambuzi wa masuala ya kitaalam na xaxa zaidi kw kutegmea kwmb kla nchi Afrika inatakiwa iongozwe na ilani za vyama tawala badala ya mipango mujarab ya kitaalam ya maendleo ilowekwa na wataalam wenye fani husika. Walixema "yamtokayo mtu, ndo yaloko moyoni mwake"- sidhani kama hayo yana ukweli kwa huyu - tena mchungaji. Anaharbu taswira ya uchungaji

Umeandika vizuri na una Upeo mkubwa, hivi kwa nini unatumia neno “xaxa”?
 
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".

Peter, ukikata moto CDM itapata amani.
Uwe na hekima sasa
 
Naona raha ktumia xaxa bdla ya sasa- kama vile "style", ili mradi umenielewa ...au?!
 
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".

Napenda sana pilipili inayo washa huku chini kwenye chanel ........ sijajua kwanini wahindi wanapenda inayo washa huko
 
Huyu amekwenda CCM kwa shinikizo fulani ila bado moyo wake uko Chadema maana hakuna anachowaza kichwani mwake zaidi ya Chadema tu. Naaza kuamini ile habari kuwa alilawitiwa na watu wa kazi huku akirekodiwa na kupewa sharti kuwa kila akishika kipaza sauti lazima aiseme vibaya Chadema vinginevyo wanavujisha video wakati anapigwa mashine. Mbona wenzake wote walionunuliwa huko wanazungumzia sera za chama chao hawana muda tena na Chadema?
He is frustrated, (atakuwa na msongo wa mawazo), itamchukua miezi 6 kuisahau CHadema
 
Anaonyesha ana upweke na sonona hata ongea yake inaonyesha huzuni ya moyo na kupoteza nuru ukiwa ccm lazima uongee uongo kitu ambacho hakuzoea sasa inabidi uongo uwe sehemu ya maisha yake. Imagine unasema Tanzania kuna amani seriuos? Pole msigwa what a nose dive downfall...!?
 
Anaonyesha ana upweke na sonona hata ongea yake inaonyesha huzuni ya moyo na kupoteza nuru ukiwa ccm lazima uongee uongo kitu ambacho hakuzoea sasa inabidi uongo uwe sehemu ya maisha yake. Imagine unasema Tanzania kuna amani seriuos? Pole msigwa what a nose dive downfall...!?
Hiyo tunaita kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data, (he is running out if ideas)
 
Huyu amekwenda CCM kwa shinikizo fulani ila bado moyo wake uko Chadema maana hakuna anachowaza kichwani mwake zaidi ya Chadema tu. Naaza kuamini ile habari kuwa alilawitiwa na watu wa kazi huku akirekodiwa na kupewa sharti kuwa kila akishika kipaza sauti lazima aiseme vibaya Chadema vinginevyo wanavujisha video wakati anapigwa mashine. Mbona wenzake wote walionunuliwa huko wanazungumzia sera za chama chao hawana muda tena na Chadema?
🤔 🤔 🤔
 
Kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa awataka vijana wote nchini kupuuza propaganda za CHADEMA na Kuiunga Mkono CCM.

"Vijana msipoteze muda kusikiliza porojo za CHADEMA, wanagomba huko waliko, hawana mwelekeo, wamepoteza dira. Wakina mama fanyeni biashara zenu, vijana msipoteze muda kusubiri matumaini hewa kutoka CHADEMA.

Tuendelee kuwa na imani na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo kimsingi imetufikisha hapa tulipo

Wanaongea mambo mengi, utalinganisha Tanzania na nchi gani? Nenda huku kusini mwa Afrika, utalinganisha Tanzania na Msumbiji?, Malawi?, Zambia?, Kongo, Kenya, Uganda?. Hii ni Tanzania zuri ambayo kumekuwa na utulivu na amani chini ya Dkt. Samia".

Mkuu mwambie Msigwa kuwa kwa sasa hivi nchini Tanzanian hitaji la vijana ni ajira ya uhakika.

Cha msingi Msigwa awaambie chama tawala waporomoshe ajira milioni 2 kila mwaka waone kama vijana hawatashawishika kujiunga nao.

Nguvu na propaganda kwa Jenzii hawa ni kujichosha.

Kauli za msigwa za namna hii zinadhihirisha ukweli wa ndani ya chama tawala kuwa hakuna vijana wanachama, ni wachache mno.

Na ndio maana achilia mbali matumizi makubwa ya polisi, walihitajika watoto na marehemu kuandikishwa kwenye daftari la uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa kuokoa jahazi.

Kuna signal nyingi Msigwa anatuma kwa watu makini nje ya chama tawala bila wafia chama na chawa kuelewa. Wala hakisaidii chama tawala.
 
Back
Top Bottom