Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Mabinti wa ki Hadzabe huwa wanatembea matiti yakiwa nje bila kufunikwa na nguo na hawabakwi huko kwao mapolini...

Hiyo hoja ya kufunika mwili haina mashiko kabisa, ni heri useme mporomoko wa maadili ndio unawafanya Me hasa wale waishio mjini kuwaingilia Ke kwa tamaa zao za kimjini mjini
Jamii nyingi zimepiga hatua katika maendeleo ya kiteknolojia na Ustaarabu (civilization) japo bado kuna jamii chache zimebaki na Ustaarabu wa zamani ambao jamii nyingi tayari wamepiga hatua kutokea huko. Mfano hiyo jamii uliyoitaja.

Sasa kwa jamii kama hiyo bado norms zao na morals zinawaruhusu kuvaa hivyo na wala kwao haina shida na mindset yao katika kutamani haipo hapo.

Ila kwa jamii zetu ambazo kwa tafsiri ya ujumla zimepiga hatua katika Ustaarabu tayari tumekubaliana Mwanamke asioneshe maumbile yake na maungo yake yatakiwa yafichwe hii mindset ndio inatufanya tukiyaona yale yaliyotakiwa kufichwa tuhisi hisia za matamanio.

Kwaiyo usilinganishe jamii zenye Level tofauti tofauti za Ustaarabu (civilization). Kwani hata Mindset zao ni tofauti tofauti.
 
Huku mjini tunapotegemea watu wavae nguo na wasitembee uchi, wakitembea uchi si watakuwa kivutio?
Kabla wakoloni kuja wazee wetu hawakuwa na mavazi wala hawakuona aibu ama kutamaniana kiholela....

Mlioko mjini mna maadili yameporomoka kama nilivyoeleza. Huwezi kukuta mhadzabe anafuatilia video za ngono kwenye simu..

Huko mjini kutwa nzima Me anatathimini tako la Zuchu...

Wanaolinda maadili hawana huo ujinga.
 
Kwaiyo usilinganishe jamii zenye Level tofauti tofauti za Ustaarabu (civilization). Kwani hata Mindset zao ni tofauti tofauti
Kwa hiyo hata kutizama porn ni ustaarabu?

Wahadzabe hawanaga smart phone ila wapo uchi uchi na hawabakani..

Ni nani hasa aliyewaletea ustaarabu hadi mkaanza kuingiliana kinyume na maumbile?
 
Kabla wakoloni kuja wazee wetu hawakuwa na mavazi wala hawakuona aibu ama kutamaniana kiholela....

Mlioko mjini mna maadili yameporomoka kama nilivyoeleza. Huwezi kukuta mhadzabe anafuatilia video za ngono kwenye simu..

Huko mjini kutwa nzima Me anatathimini tako la Zuchu...

Wanaolinda maadili hawana huo ujinga.
Ulichoandika ndicho nimesema, kama jamii imezoea kitu fulani hata kama ni cha ajabu kwa jamii zingine, wenyewe kwa wenyewe hawataona tatizo.

Unaposema huko mjini wanatathmini ABC, huko mjini wanaangalia 123, ni fallacy of generalization. Huko mjini (sijui ni mji gani unaoongelea hata hivyo) wapo wanaoona hivyo vitu ni vya ajabu na wapo kinyume. Sijawahi kuona huko mjini, mtu akibakwa hawakemei, au wanaovaa namna fulani ya tofauti na wengine wasimshangae.
 
Kwa hiyo hata kutizama porn ni ustaarabu?

Wahadzabe hawanaga smart phone ila wapo uchi uchi na hawabakani..

Ni nani hasa aliyewaletea ustaarabu hadi mkaanza kuingiliana kinyume na maumbile?
Hujanielewa mkuu mbona mimi sipo huko unakonipeleka.

Itoshe kusema hatujaelewana.

Nashukuru.
 
Nje ya mada kidogo, hivi hizi sauti wachungaji huwa ndo shetani anaogopa?
Piga picha askari amemkuta jambazi na silaha halafu anamwamlisha kwa sauti legelege huyo jambazi atatii? Hivyo hivyo aliyeokoka anapokemea shetani ni vita kali sana zaidi ya ujuavyo....kama huamini nenda kwenye makanisani ukashuhudie
 
Back
Top Bottom