Mchuzi wa mayai!

Mchuzi wa mayai!

KOKUTONA huyu mbaba akinenepa zaidi ya hapo, si atapasuka na kuachwa na Lady doctor?

Wewe mbaba wewe!!!!!!! Natamani sana ninenepe afu wewe unatania hapa kuwa mimi mnene???? Siku nikinenepa tu nikafikia hata unene wa Mzee wa Rula hakika nitafurahi sana. Ila mafood nayopewa na shemejio Lady doctor soon nitafikia jumbo lile.

CC KOKUTONA
 
Last edited by a moderator:
Hahaha umenikumbusha mbali sana aisee, ngoja paw asome hii hapa.
Unaweza pia usichemshe mayai. Unayapiga tu na chumvi. Ukishafikia nyanya na vizagazaga vimeiva uanmiminia mayai na kukoroga kwa bidii hadi yagande. Unapata bonge la mboga. Hiyo unaweza weka katikati ya mkate wako. Mimi sio mpenzi wa michuzi, so ile ya mayai ya kuchemsha naiepuka.

Lets get proffessional, living a 5* life. Ukishamenya mayai yako unaweza kulikata kati fyaaap kabla ya kuweka mchuzini. Inapendeza kweli kile kiini kikionekana.

upo sahihi muombe ila jaribu na hii ni bonge la rosti tamuje sasa!!ofcourse kuna kale kadude ka cha kukatia mayai ni tamu pia hiyo ya mayai kukaanga naipikaga ila si tamu kama hii bestito labda kwa vile napenda marosti na mayai ya kuchemsha
 
duh mimi nimechemsha mayai mawili basi...what a coincidence amu?...huu ubachelor huu.
ila mi napenda mchuzi wa mayai sema mie huwa sichemshi kwanza
nakaanga vitunguu ..nyanya karoti hoho ...vikishaiva then namwaga mayai ni mboga nzuri sana hata kwa ugali

umeona eeee ya kukaanga mchuzi nilikula kwa jirani jumapili
 
itabidi leo jioni bestito amu niingie jikoni kuijaribu hii mboga maana kwangu naona ningeni kabisa sijawahi kuila
 
Last edited by a moderator:
amu mie hii naipikaga sana.....haina complikeshen hata halafu ni fasta tu....

uwage una nimeention huku nataka kujua kupika mie
 
Last edited by a moderator:
amu mie hii naipikaga sana.....haina complikeshen hata halafu ni fasta tu....

uwage una nimeention huku nataka kujua kupika mie

dia nimekumensheni embu angalia mensheni zako loo
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
amu mie hii naipikaga sana.....haina complikeshen hata halafu ni fasta tu....

uwage una nimeention huku nataka kujua kupika mie

wii, si unajua kaka angu ni kimbaumbau? Naomba uonyeshe juhudi zako mpaka anenepe, sawa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom