Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
- Thread starter
- #21
haswa hujakosea...ok, jina ndo lilikuwa linanizingua, si ni sawa na tomato paste?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haswa hujakosea...ok, jina ndo lilikuwa linanizingua, si ni sawa na tomato paste?
litakuwa pishi la jioni ya leo.....haswa hujakosea...
huyo ndo anafaa haswa wallahi we muwekee moto mdogo tu aive taratibu....mchuzi huu mtamu,haukinaishi maana hauna mafuta waweza ule mpaka basii....
ha ha ha itabidi uchinje jogoo leo!:smile-big:Umeshanitamanisha sana, naharibu mfugo wangu na hali sikupanga.
Karibu🙂,jaribu my dia utafurahia na mchuzi upo simple sana hauna mambo marefu!litakuwa pishi la jioni ya leo.....
nitaongeza na pilipili mbuzi na rosemary.........
Asante kwa pishi hili
ha ha ha itabidi uchinje jogoo leo!:smile-big:
haya :smile-big: usije kumaliza mifugo tu ha ha ha:smile-big:jogoo kabaki mmoja tu, nakamata mtetea.
Mahitaji
- Kuku wa kienyeji 1
- Nyanya mbili zilizomenywa na kukatwakatwa
- Kitunguu maji kikubwa kimoja kilichomenywa na kukatwa
- Nyanya ya kibati vijiko viwili vya supu
- Kitunguu swaumu kijiko kimoja cha supu
- Chumvi kiasi
- Pilipili manga kijiko kimoja cha chai
- Juisi ya limau/ndimu kiasii
- Uzile ulosagwa
Jinsi ya kutayarisha
Cc farkhina, Mrs Kharusy, FirstLady, Angel Nylon, Revocatus Kashaga HP1, Honey Faith, xiexie, rasai, ICHANA, tama, Mwananchi, ladyfurahia
- Mtayarishe kuku na umkate vipande kama kawaida,mtie kitunguu swaumu,pilipili manga,chumvi na uzile ulosagwa kijiko kimoja. Muinjike jikoni na Mfunike viungo vikolee muache atokote mpaka maji ya kauke,muongezee maji kiasi cha kumfunika kuku,mfunike na muache achemke.
- Akikaribia kuvia half way through mtie kitunguu maji na nyanya pamoja na nyanya ya kibati,ongezea uzile kijiko kimoja kingine cha chai na muache aendelee kuiva taratibu.Unaweza kuingezea maji ukipenda ili uwe na mchuzi mwingi.
- Mkamulie limau na adjust chumvi.
- Mchuzi huu mtam sana ukiula na wali wa nazi.
View attachment 163579
View attachment 163578
gorgeousmimi mambo yako sio mchezo. Kila siku unanifundisha kitu. Siku tukiwa na sherehe ya JF inabidi wewe na wataalamu wenzio muwe kamati ya chakula
CC farkhina, ameline, ladyfurahia
Jamani nimechelewaaaa...hivi kuna kilichobaki lkn?? Au farkhina na Angel Nylon wamemaliza kila kituu...
Doh nasinzia ati nimeona NYAMA ya kibati halaf na kuku wa kienyeji nikawa najiambia two in one vitanogaje! sie wazee wa minofu!....lol
huyo alieulza hajui nyanya ya kibati ndio amenishtua...lol
litakuwa pishi la jioni ya leo.....
nitaongeza na pilipili mbuzi na rosemary.........
Asante kwa pishi hili
waweza vimbiwa.........Jamani wana JF hivi ili pishi likipikwa na Gorgeousmimi na likapakuliwa na Fixed Point halafu Ladyfurahi akakukaribisha mezani mlaji unaweza kujisikiaje? halafu hicho chakula ukile na Evelyn Salt au Ichana au Masai dada, au au Tina Cute
waweza vimbiwa.........
Jamani wana JF hivi ili pishi likipikwa na Gorgeousmimi na likapakuliwa na Fixed Point halafu Ladyfurahi akakukaribisha mezani mlaji unaweza kujisikiaje? halafu hicho chakula ukile na Evelyn Salt au Ichana au Masai dada, au au Tina Cute
tutakula huku nikisigua gaga
Mahitaji
- Kuku wa kienyeji 1
- Nyanya mbili zilizomenywa na kukatwakatwa
- Kitunguu maji kikubwa kimoja kilichomenywa na kukatwa
- Nyanya ya kibati vijiko viwili vya supu
- Kitunguu swaumu kijiko kimoja cha supu
- Chumvi kiasi
- Pilipili manga kijiko kimoja cha chai
- Juisi ya limau/ndimu kiasii
- Uzile ulosagwa
Jinsi ya kutayarisha
Cc farkhina, Mrs Kharusy, FirstLady, Angel Nylon, Revocatus Kashaga HP1, Honey Faith, xiexie, rasai, ICHANA, tama, Mwananchi, ladyfurahia
- Mtayarishe kuku na umkate vipande kama kawaida,mtie kitunguu swaumu,pilipili manga,chumvi na uzile ulosagwa kijiko kimoja. Muinjike jikoni na Mfunike viungo vikolee muache atokote mpaka maji ya kauke,muongezee maji kiasi cha kumfunika kuku,mfunike na muache achemke.
- Akikaribia kuvia half way through mtie kitunguu maji na nyanya pamoja na nyanya ya kibati,ongezea uzile kijiko kimoja kingine cha chai na muache aendelee kuiva taratibu.Unaweza kuingezea maji ukipenda ili uwe na mchuzi mwingi.
- Mkamulie limau na adjust chumvi.
- Mchuzi huu mtam sana ukiula na wali wa nazi.
View attachment 163579
View attachment 163578