huyo ndo anafaa haswa wallahi we muwekee moto mdogo tu aive taratibu....mchuzi huu mtamu,haukinaishi maana hauna mafuta waweza ule mpaka basii....
Mambo hayo......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo ndo anafaa haswa wallahi we muwekee moto mdogo tu aive taratibu....mchuzi huu mtamu,haukinaishi maana hauna mafuta waweza ule mpaka basii....
Mambo yamekubali shosti...Mambo hayo......
wangekuja majirani ungewapa receipe nao wakajipikie nimefurahi kusikia umeufurahia mchuzi .wakati mwengine hata mimi namuwekaga huo unga wa soup ya kuku kuongeza ladha na soup inakuwa nzuri kwa kweli...🙂Shoga mchuzi mtamu sina la kukwambia nimeshiba apa kitumbo mbwiiiiiii
Sasa basi kuku nlompika ni wa kizungu maana wa kienyeji angenichelewesha nkamueka unga wa chicken soup weeeee harufu nzuriiii majirani sijui kama hawajaskia na wangekuja nsingemgaia mtu lol. Sasa hapo sikueka chumvi hata kidogo ule unga si una chumvu.....
Nkala ba pancakes zangu
Mambo yamekubali shosti...
wangekuja majirani ungewapa receipe nao wakajipikie nimefurahi kusikia umeufurahia mchuzi .wakati mwengine hata mimi namuwekaga huo unga wa soup ya kuku kuongeza ladha na soup inakuwa nzuri kwa kweli...🙂
ok, jina ndo lilikuwa linanizingua, si ni sawa na tomato paste?
Shoga kuku huyu wa kienyeji nlionae mie anawivaa masaa 2 naimba nyimbo zote jikoni ndio awive lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
hili pishi nililipenda, my fav.
Afadhali hapa hujatia aibu.
ila mie sili michuzi kabisaaa. Ningeacha iive hadi ikauke iwe rosti rosti. Na nyanya ya kibati siipendi. Ila naambiwa ina ladha tafauti kama smoked tomatoes
Mahitaji
- Kuku wa kienyeji 1
- Nyanya mbili zilizomenywa na kukatwakatwa
- Kitunguu maji kikubwa kimoja kilichomenywa na kukatwa
- Nyanya ya kibati vijiko viwili vya supu
- Kitunguu swaumu kijiko kimoja cha supu
- Chumvi kiasi
- Pilipili manga kijiko kimoja cha chai
- Juisi ya limau/ndimu kiasii
- Uzile ulosagwa
Jinsi ya kutayarisha
Cc farkhina, Mrs Kharusy, FirstLady, Angel Nylon, Revocatus Kashaga HP1, Honey Faith, xiexie, rasai, ICHANA, tama, Mwananchi, ladyfurahia
- Mtayarishe kuku na umkate vipande kama kawaida,mtie kitunguu swaumu,pilipili manga,chumvi na uzile ulosagwa kijiko kimoja. Muinjike jikoni na Mfunike viungo vikolee muache atokote mpaka maji ya kauke,muongezee maji kiasi cha kumfunika kuku,mfunike na muache achemke.
- Akikaribia kuvia half way through mtie kitunguu maji na nyanya pamoja na nyanya ya kibati,ongezea uzile kijiko kimoja kingine cha chai na muache aendelee kuiva taratibu.Unaweza kuingezea maji ukipenda ili uwe na mchuzi mwingi.
- Mkamulie limau na adjust chumvi.
- Mchuzi huu mtam sana ukiula na wali wa nazi.
View attachment 163579
Karibu 🙂Dada gorgeousmimi haya mapishi nayapenda maana kwanza huweki mafuta maana mimi si mpenzi wa mafuta, pili ukiongezea juice ya limau hapo umenimaliza kabisa ila ungeweka pia pili pili mbuzi hapo chuzi lingekuwa la mama Mpigi. Ila jamani lini nakaribishwa kula huo mlo wako?