Mchuzi wa nyanya ya kibati

Hiki kitu Uzile ulosagwa ni kitu gani mbona kiswahili kimepita kando
 
aisee asante kwa pishi best ila mwenzangu yeye ni wa kijiji hajazoea nyanya paste labda nimtengenezee kwa nyanya za kawaida
 
Jamani nimechelewaaaa...hivi kuna kilichobaki lkn?? Au farkhina na Angel Nylon wamemaliza kila kituu...
Doh nasinzia ati nimeona NYAMA ya kibati halaf na kuku wa kienyeji nikawa najiambia two in one vitanogaje! sie wazee wa minofu!....lol
huyo alieulza hajui nyanya ya kibati ndio amenishtua...lol
 
Last edited by a moderator:

Tumebakisha Shoga.

Pishi hilo, hasara yako Wali ulokolea nazi tu.
 
Last edited by a moderator:
Jamani wana JF hivi ili pishi likipikwa na Gorgeousmimi na likapakuliwa na Fixed Point halafu Ladyfurahi akakukaribisha mezani mlaji unaweza kujisikiaje? halafu hicho chakula ukile na Evelyn Salt au Ichana au Masai dada, au au Tina Cute
litakuwa pishi la jioni ya leo.....
nitaongeza na pilipili mbuzi na rosemary.........
Asante kwa pishi hili
 
Jamani wana JF hivi ili pishi likipikwa na Gorgeousmimi na likapakuliwa na Fixed Point halafu Ladyfurahi akakukaribisha mezani mlaji unaweza kujisikiaje? halafu hicho chakula ukile na Evelyn Salt au Ichana au Masai dada, au au Tina Cute
waweza vimbiwa.........
 
Jamani wana JF hivi ili pishi likipikwa na Gorgeousmimi na likapakuliwa na Fixed Point halafu Ladyfurahi akakukaribisha mezani mlaji unaweza kujisikiaje? halafu hicho chakula ukile na Evelyn Salt au Ichana au Masai dada, au au Tina Cute

tutakula huku nikisigua gaga
 

Shoga mchuzi mtamu sina la kukwambia nimeshiba apa kitumbo mbwiiiiiii


Sasa basi kuku nlompika ni wa kizungu maana wa kienyeji angenichelewesha nkamueka unga wa chicken soup weeeee harufu nzuriiii majirani sijui kama hawajaskia na wangekuja nsingemgaia mtu lol. Sasa hapo sikueka chumvi hata kidogo ule unga si una chumvu.....


Nkala ba pancakes zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…