CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Ishu ni kuwa alimtoa samadi nyingi hadi wenzake wakamstukiaKumbe ni ntu wake .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu ni kuwa alimtoa samadi nyingi hadi wenzake wakamstukiaKumbe ni ntu wake .
Wote wanaaibu yao milele. Hivi kama baba mkeo, watoto marafiki, ndugu jiran, wanakuchukilaje. Kila ukipita mtaani wanakuona kama mlo jicho asee.Binti nae ana makosa, hakufunzwa kwao anafunzwa na ulimwengu sasa.
Msando huyu alimfanya vibaya Gigy Money kwenye gari?Cc: Msando
Sahv kila mwanamke anatikisa kalio anahamadisha kuliwa jicho tuMtoto unakuta anakutikisia makalio, jamaa akaona huyu ni kutomba nyuma tu..
Leo dc 😄Msando huyu alimfanya vibaya Gigy Money kwenye gari?
Kumbe mwanetu naye ndiyo mikato yake hii?
Wanafanya hivyo kwa sababu demand ipo.Sahv kila mwanamke anatikisa kalio anahamadisha kuliwa jicho tu
Kwenye mitandao huko kila mwanamke anajibinuaa matk
Yote hiyo wana promote anal sex
Ova
Huyo Wala siyi mzee..ni kijana mdogo sana aliyebahatusha kubata URC mapemaKuna wazee hovyo sana Tanzania hapa
Hizi ndizo sifa kuu za wateule wa Ccm. Maana hakuna vetting.Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Ccm wengi ni wafiraji wakiongozwa na kinana,Sawa, lakini namsifu kusim amia hoja yake kwamba hataki kuliwa tigo hivyo baada ya kuliwa tigo kinguvu amechukua hatua. Hii ina maana alikuwa tayari kuliwa kikawaida wether ana njaa au laa, jambo ambalo kwa wasichana wa sasa wa chuo na changamoto za maisha zinawafanya wanyanduliwe tuu.
Tukirudi kwa huyu mheshimiwa kiukweli amejitakia mwenyewe na yuko so low kwenye hili eneo hahaaaaa.....Hivi demu ambaye umemkamia mpaka uko tayari kumpa 500,0000/= monthly unamuanzaje na kumuomba mtandoa pendwa?? Yaani unakaribishwa viziri kibarazani halafu siku hiyo hiyo unataka kuingia mpaka master bedroom??? Mwanakulitafutaaaa.....
Kama ni mwanafunzi kuna ubaya!Kwani kitendo hicho kilitokea wapi?. Kama walikubaliana na kwenda Hotelini kuna mbaya gani?. Kwani alimlazimisha ?.
Kipindi cha kuelekea uchaguzi, mambo ni mengi sana!Nasikia mkoa wenyewe ni ona, mimi, wewe!
Nawashauri tu wanasiasa, viongozi wa serikali na wananchi kwa ujumla, kuongeza umakini na tahadhari katika kipindi kama hiki