Mdada kaniomba nimunulie Kiatu, bei yake laki na nusu! Bora ninnue ndama

Mdada kaniomba nimunulie Kiatu, bei yake laki na nusu! Bora ninnue ndama

gwego1

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2023
Posts
265
Reaction score
897
Wakuu habari.

Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.

Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.

Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.

Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.

Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!

Uzi tayari.
 
Mwambie wewe SIO baba yake mzazi na Wala Hana muda na wewe epuka sana mademu wa mitandaoni talk to them in really life halafu YEYE hakupendi Wala Nina HUYO ni GOLDIGGER
Wanawake sijui siku hizi wamekuwaje, sometimes I wonder kama sisi wanaume tunatongoza binadamu wa kawaida au majini, coz siku hizi almost kila demu anaomba hela Xi Jinping Stratopause
 
Punguza Kuweweseka,,Punguza Kupagawa,,Punguza Milio,,Punguza Mighafilisho ,Haitakusaidia Kitu Dogo,,Wewe Nenda Kanunue Huyo Ndama Wako Wala Hakukuwa Na Haja Ya Kutuletea Huku,,,Huo Uvulana Wako Peleka Huko Kwenye Ndama Wenzako,,,Nipasie Namba Ya Huyo Bibie Kama Hutojali.
 
Wakuu habari.

Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.

Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.

Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.

Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.

Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!

Uzi tayari.
Dah Mkuu umetisha sana!

Ila ukiwa na mrembo ambaye moyo wako umemndondokea, unamwamini, unampenda na unamjari siyo mbaya mara moja moja kumtoa out za maana au kumnunulia zawadi. Ndio uanaume na mapenzi yalivyo.

Ingawa inategemea na uwezo wako, usifanye kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako. Kuna wengine kumnunulia mrembo zawadi ya TZS 20, 000 tu ni mtihani kutokana na kipato kuwa duni.

Lakini kuna watu wanamudu na ni kawaida kwao kila baada ya 3 months kumpeleka ampendaye katika maduka ghali kama Gucci & Louis Vuitton. Ukimnunulia mrembo Perfume, hereni, pochi, miwani na kiatu kwa mkupuo katika maduka ya Gucci & Louis Vuitton siyo ajabu zikakutoka 15, 000 USD au zaidi. Lakini kuna watu wanafanya na hawashtuki wala hawaachi. Ukitembelea hayo maduka pale Champs-Élysées Ave Paris, au 5 Ave NY, au Beverly Center LA utashangaa maduka yanavyojaa wanaume wakiwanunulia vitu vya gharama wanawake zao.

Vijana siyo mbaya siku moja moja uka copy style ya staring wa movie ya Pretty Woman, chamsingi usiidhurumu nafsi yako wala usiibe bali uzingatie urefu wa kamba yako. Ukimfanyia hivyo mwananmke huwa anakujari na kukupa umaalumu usio wa kawaida hata kama ni mpalestina.

Tuwatunze, tuwalinde, tuwajari na tuwafurahishe warembo tuliopewa na mungu kwani ni wajibu wetu.
 
Jamaa yuko sahihi sana

Ni simp tu ndiye anaweza kufanya huo ujinga wa kumnunulia viatu huyo malaya
Wanawake wa siku hizi mnaanza mahusiano siku mbili tu bado penzi halijakomaa anaanza kutangaza dhiki zake na kurusha makombora ya hatari na kuonyesha kila aina ya rangi zake .. nani afanye mahusiano na wapiga miizinga hawa ndio maana singe mather wanaongezeka mitaani.
 
Back
Top Bottom