Mdada kaniomba nimunulie Kiatu, bei yake laki na nusu! Bora ninnue ndama

Mdada kaniomba nimunulie Kiatu, bei yake laki na nusu! Bora ninnue ndama

Jamaa yuko sahihi sana

Ni simp tu ndiye anaweza kufanya huo ujinga wa kumnunulia viatu huyo malaya
Wanawake wa siku hizi mnaanza mahusiano siku mbili tu bado penzi halijakomaa anaanza kutangaza dhiki zake na kurusha makombora ya hatari na kuonyesha kila aina ya rangi zake .. nani afanye mahusiano na wapiga miizinga hawa ndio maana singe mather wanaongezeka mitaani.
 
Wanawake wa siku hizi mnaanza mahusiano siku mbili tu bado penzi halijakomaa anaanza kutangaza dhiki zake na kurusha makombora ya hatari na kuonyesha kila aina ya rangi zake .. nani afanye mahusiano na wapiga miizinga hawa ndio maana singe mather wanaongezeka mitaani.
Umesema vyema
 
Dah Mkuu umetisha sana!

Ila ukiwa na mrembo ambaye moyo wako umemndondokea, unamwamini, unampenda na unamjari siyo mbaya mara moja moja kumtoa out za maana au kumnunulia zawadi. Ndio uanaume na mapenzi yalivyo.

Ingawa inategemea na uwezo wako, usifanye kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako. Kuna wengine kumnunulia mrembo zawadi ya TZS 20, 000 tu ni mtihani kutokana na kipato kuwa duni.

Lakini kuna watu wanamudu na ni kawaida kwao kila baada ya 3 months kumpeleka ampendaye katika maduka ghali kama Gucci & Louis Vuitton. Ukimnunulia mrembo Perfume, hereni, pochi, miwani na kiatu kwa mkupuo katika maduka ya Gucci & Louis Vuitton siyo ajabu zikakutoka 15, 000 USD au zaidi. Lakini kuna watu wanafanya na hawashtuki wala hawaachi. Ukitembelea hayo maduka pale Champs-Élysées Ave Paris, au 5 Ave NY, au Beverly Center LA utashangaa maduka yanavyojaa wanaume wakiwanunulia vitu vya gharama wanawake zao.

Vijana siyo mbaya siku moja moja uka copy style ya staring wa movie ya Pretty Woman, chamsingi usiidhurumu nafsi yako wala usiibe bali uzingatie urefu wa kamba yako. Ukimfanyia hivyo mwananmke huwa anakujari na kukupa umaalumu usio wa kawaida hata kama ni mpalestina.

Tuwatunze, tuwalinde, tuwajari na tuwafurahishe warembo tuliopewa na mungu kwani ni wajibu wetu.

Kwani huyo ni mpenzi wake? Waonane mchana jioni anataka kiatu, huo si utapeli sasa!
 
Siku hizi hamna kusema sikutaki
Nikuomba vya juu ya uwezo
Anajikataa mwenyewe..😅
Kuna wadada wengine hujawahi kumtongoza, ni ile tu mna mazoea kidogo, hata namba yake ya simu huna, kila siku anaanza kuomba vitu vidogo vidogo mara naomba elf 2, mara ninulie hiki, mara ninunulie kile, mara ninunulie chapati, mwanaume ukijiuliza why nimnunulie huyu mtu hivi vitu almost kila siku, unakosa jibu, wadada wa hivi unawazungumziaje Hornet
 
Kuna wadada wengine hujawahi kumtongoza, ni ile tu mna mazoea kidogo, hata namba yake ya simu huna, kila siku anaanza kuomba vitu vidogo vidogo mara naomba elf 2, mara ninulie hiki, mara ninunulie kile, mara ninunulie chapati, mwanaume ukijiuliza why nimnunulie huyu mtu hivi vitu almost kila siku, unakosa jibu, wadada wa hivi unawazungumziaje Hornet
Ni kama ilivyo kwa wanaume wengi wanavyoeleza shida zao kwa wadada ambao hata si wapenzi wao. Ni mwendo wa kuviziana tu, tuishi kwa namna hiyo.

Hizi tabia za ajabu ajabu naona jinsia zote mbili zinazo, wanaume wenyewe wengi si wakweli basi na wadada wengi wameona waangukie huko huko.
 
Rule No.999 - Never date a high maintainance Woman.
 
Hehehe ndama ni ndama na kiatu ni mwanamke kama vip kanunue ndama tu uwe unamchapa nao mpaka alie moooooo achana na mwanamke we si bahili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Laki na nusu kabisa!!! tungekufungulia kesi ya uhujumu uchumi, japo umekosea mambo ya PM ungeyaacha huko huko, siku hizi hamna kutafuta ila kuna kutafutana unapotafuta ujue unatafutwa watch out
 
Kwani 150k mbona ni bei ya kawaida sana kwa kiatu? Wewe mtoa mada kwani wewe viatu vyako unanunua vya bei gani?
Juzi tu nimeona ECCO sandals za wanaume ni laki nne na hamna punguzo.

Au ulitaka ukamchukulie zile sagura sagura za kariakoo za buku 5 ?😂😂😂
 
Kuna wadada wengine hujawahi kumtongoza, ni ile tu mna mazoea kidogo, hata namba yake ya simu huna, kila siku anaanza kuomba vitu vidogo vidogo mara naomba elf 2, mara ninulie hiki, mara ninunulie kile, mara ninunulie chapati, mwanaume ukijiuliza why nimnunulie huyu mtu hivi vitu almost kila siku, unakosa jibu, wadada wa hivi unawazungumziaje Hornet
Sina uzoefu
 
Wakuu habari.

Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.

Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.

Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.

Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.

Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!

Uzi tayari.
Hajakupenda ndio maana amekuambia kitu km hicho iliushindwe asepe zake,lagha ya picha hio boss umekimbiwa bila kuagwa
 
Wakuu habari.

Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.

Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.

Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.

Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.

Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!

Uzi tayari.
Mnunulie mkuu.Viatu(vikiwa vya ngozi)ni ngozi ya ndama aliyeboreshwa huko Ulaya.Not bad!
 
Wakuu habari.

Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.

Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.

Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.

Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.

Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!

Uzi tayari.
Utapiga sana puli
 
Back
Top Bottom