Wanawake wa siku hizi mnaanza mahusiano siku mbili tu bado penzi halijakomaa anaanza kutangaza dhiki zake na kurusha makombora ya hatari na kuonyesha kila aina ya rangi zake .. nani afanye mahusiano na wapiga miizinga hawa ndio maana singe mather wanaongezeka mitaani.Jamaa yuko sahihi sana
Ni simp tu ndiye anaweza kufanya huo ujinga wa kumnunulia viatu huyo malaya
Umesema vyemaWanawake wa siku hizi mnaanza mahusiano siku mbili tu bado penzi halijakomaa anaanza kutangaza dhiki zake na kurusha makombora ya hatari na kuonyesha kila aina ya rangi zake .. nani afanye mahusiano na wapiga miizinga hawa ndio maana singe mather wanaongezeka mitaani.
Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!
Dah Mkuu umetisha sana!
Ila ukiwa na mrembo ambaye moyo wako umemndondokea, unamwamini, unampenda na unamjari siyo mbaya mara moja moja kumtoa out za maana au kumnunulia zawadi. Ndio uanaume na mapenzi yalivyo.
Ingawa inategemea na uwezo wako, usifanye kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako. Kuna wengine kumnunulia mrembo zawadi ya TZS 20, 000 tu ni mtihani kutokana na kipato kuwa duni.
Lakini kuna watu wanamudu na ni kawaida kwao kila baada ya 3 months kumpeleka ampendaye katika maduka ghali kama Gucci & Louis Vuitton. Ukimnunulia mrembo Perfume, hereni, pochi, miwani na kiatu kwa mkupuo katika maduka ya Gucci & Louis Vuitton siyo ajabu zikakutoka 15, 000 USD au zaidi. Lakini kuna watu wanafanya na hawashtuki wala hawaachi. Ukitembelea hayo maduka pale Champs-Élysées Ave Paris, au 5 Ave NY, au Beverly Center LA utashangaa maduka yanavyojaa wanaume wakiwanunulia vitu vya gharama wanawake zao.
Vijana siyo mbaya siku moja moja uka copy style ya staring wa movie ya Pretty Woman, chamsingi usiidhurumu nafsi yako wala usiibe bali uzingatie urefu wa kamba yako. Ukimfanyia hivyo mwananmke huwa anakujari na kukupa umaalumu usio wa kawaida hata kama ni mpalestina.
Tuwatunze, tuwalinde, tuwajari na tuwafurahishe warembo tuliopewa na mungu kwani ni wajibu wetu.
Kuna wadada wengine hujawahi kumtongoza, ni ile tu mna mazoea kidogo, hata namba yake ya simu huna, kila siku anaanza kuomba vitu vidogo vidogo mara naomba elf 2, mara ninulie hiki, mara ninunulie kile, mara ninunulie chapati, mwanaume ukijiuliza why nimnunulie huyu mtu hivi vitu almost kila siku, unakosa jibu, wadada wa hivi unawazungumziaje HornetSiku hizi hamna kusema sikutaki
Nikuomba vya juu ya uwezo
Anajikataa mwenyewe..😅
Ni kama ilivyo kwa wanaume wengi wanavyoeleza shida zao kwa wadada ambao hata si wapenzi wao. Ni mwendo wa kuviziana tu, tuishi kwa namna hiyo.Kuna wadada wengine hujawahi kumtongoza, ni ile tu mna mazoea kidogo, hata namba yake ya simu huna, kila siku anaanza kuomba vitu vidogo vidogo mara naomba elf 2, mara ninulie hiki, mara ninunulie kile, mara ninunulie chapati, mwanaume ukijiuliza why nimnunulie huyu mtu hivi vitu almost kila siku, unakosa jibu, wadada wa hivi unawazungumziaje Hornet
Avae apendeze akadinywe na mtu MwingineMkuu hasara roho pesa makaratasi. Mpatie wifi kiatu apendeze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hehehe ndama ni ndama na kiatu ni mwanamke kama vip kanunue ndama tu uwe unamchapa nao mpaka alie moooooo achana na mwanamke we si bahili.
wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza.
Sina uzoefuKuna wadada wengine hujawahi kumtongoza, ni ile tu mna mazoea kidogo, hata namba yake ya simu huna, kila siku anaanza kuomba vitu vidogo vidogo mara naomba elf 2, mara ninulie hiki, mara ninunulie kile, mara ninunulie chapati, mwanaume ukijiuliza why nimnunulie huyu mtu hivi vitu almost kila siku, unakosa jibu, wadada wa hivi unawazungumziaje Hornet
Hajakupenda ndio maana amekuambia kitu km hicho iliushindwe asepe zake,lagha ya picha hio boss umekimbiwa bila kuagwaWakuu habari.
Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.
Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.
Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.
Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.
Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!
Uzi tayari.
Mnunulie mkuu.Viatu(vikiwa vya ngozi)ni ngozi ya ndama aliyeboreshwa huko Ulaya.Not bad!Wakuu habari.
Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.
Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.
Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.
Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.
Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!
Uzi tayari.
Utapiga sana puliWakuu habari.
Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.
Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.
Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.
Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.
Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!
Uzi tayari.