Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

Kama ulioa au ulioelewa kwa malengo ya muda mfupi, kubwaga manyanga ni rahisi sana. Lakini kama ndo ile ya kufa na kuzikana, kazi kweli kiakili na kimwili kufanya hivyo. Na siyo suluhisho hilo.
 
huyo mama aliyetendwa angepewa ile namba ya hule mlokole aliyeonyeshwa mchumba ahangaike nae
 
wanaume kitu gani bwana...upuuuzi mtupu..
smile nakuelewa we na wanawake wenzako mnapowachukia wanaume....haswa pale mnapokuwa mmetendwa kwa njia moja au nyingine.....Ebu soma hapa chini ushuhuda wa mwenzako (mdada kama wewe) wa humu humu JF ambae naye alifanywa vibaya na wanaume...tena mdada mwenyewe msomi tu..graduate wa udsm.....ebu msome hapa chini ujumbe wake kwangu (nime quote)....ukisoma hii maneno waweza kweli kuwachukia sana wanaume....

Soma hii "habari yako bwana,
samahani naomba tu nikuibie kitu, hapa nilipo nina nina mimba ya miezi minne na mwanaume aliyenipa mimba kanikataa na bad enough kumbe ameoa na akuniambia kama kaoa na nimekuja kujua baada ya kumwambia nina mimba akanikatalia na akaniambia nikatoe mana ameoa na awezi kuwa na mtoto nje ya ndoa.
nimekataa kutoa na mpaka sasa hivi nina mimba na yule mwanaume haniudumii kwa lolote amekata mawasiliano kabisa.
kwetu mimi ni 1st born na ni msichana peke yangu nina wadogo zangu but wote ni wavulana, nimemaliza chuo but ndo naangaika kutafuta kazi ili niweze kumlea my baby vizuri zaidi.
so ninavyosema i real mean it , namaanisha kweli from my heart. hope umenielewa.
jioni njema buddy."
 
Dah Kaunga kumbe una shemeji hapa JF tetetetet congrats madame

Nimembahatisha leo, yaani full shangwe! Mwanaume faithful, mwanaume decent, mwanaume full maconfidence. Yaani kupendwa raha, hasa unapojitambua uko peke yako! LOL

Kongosho kimemuuma mpaka basi!
 
Last edited by a moderator:
Kaunga,Eiyerr kaoa?

Plz Bishanga niachie my love Kaunga,na anajua mpaka mizimu ya kwetu inajua kuwa i love her,only her.Don't worry sweetie Kaunga,am yours!
 
Mpe pole rafiki yako. Nenda umuimbie wimbo wa solemba.
 
FL1,am here,yaani we acha tu!I realy love her!Sijui nilichelewa wapi!

hata hujachelewa ulipoanzia ndo hapo ulipotakiwa kuanzia Eiyer all the best
 
Last edited by a moderator:
hata hujachelewa ulipoanzia ndo hapo ulipotakiwa kuanzia Eiyer all the best

Una akili wewe; ni kweli this is the right time; maana nilihitaji kupitia magumegume ili nimiappreciate my sweet Eiyer.

Eiyer dearest, yaani leo nitakuota kwa jinsi ulivyo kwenye mawazo yangu na mtima wange!

Mwaaah!
 
Last edited by a moderator:
hata hujachelewa ulipoanzia ndo hapo ulipotakiwa kuanzia Eiyer all the best

Asante FL1,Kaunga my love i realy love u!Achana na akina The Boss na Aprini,hapa unafunua mwenye raha na unajipimia peke yako!Only u!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…