hamna shaka babu
hiyo imetulia,
kama sitasahau, DA atakuwa kwa safari kesho!
ivi na umri wa 20+ utembee na zee ilo la nini pesa IVI KUNA PESA TAMU KAMA YA KUTAFUTA MWENYEWE HUWA HAINA MAULIZO WALA MAOMBI MAANA SIONI MAPENZI HAPO NI UTUMWA kwangu mie ni hapana na itakuwa hapana sina haja ya kumchekea
Yule naye bana....mbahili kama nini. Anajificha utafikiri anatafutwa na Occampo....
si nilikwambia kuwa father house amekaba mpaka penalt?
Mshiki tutafutane leo jioni tunywe mbege pale Tegeta darajani halafu tuongee vizuri kuhusu haka kababu. Unasemaje? Teamo amenihakikishia uwepo wake.
Mshiki pole kwa yanayokukuta! Nimesoma posts zako nikagundua hapa ni kuikosa kazi tu ndo kunakupa shida! Cjawai ona mtu kafa kwa kukosa kazi..so usilazimishe mambo we komaa nae mpaka akufukuze kazi. Mrisho
Mpoto keshasema mwisho wa siku maisha lazima yasonge.
misimamo kama hii ilitolewa na kizazi kileeee, very long time!!!!
lakini si kizazi hiki cha kwenye mchakato huu tulionao.........
I doubt....................!!!!!!!!!!!!
babu mbona huyu mjukuu wako haonekani humu? amepatwani
na mimi nakueleza sisemei nafsi za wengine mazee siyataki na wala sitayataka na vitu vyangu napenda ati nikaanze kubiringishana na jitu viuno vilishaisha mafuta ni nini kisa pesa?!!!!
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?
Hasa pale inapotokea majibu yote ulionayo yy ana maswali yake.
Na maswali yote ulionayo yy ana majibu yake.
Mpendwa Askofu....naomba apointimenti ya kuja kufanya kitubio.LD Salama Mpendwa?
Ushapata jibu la kumpa?
Mpendwa Askofu....naomba apointimenti ya kuja kufanya kitubio.
Halafu............."If women are so bloody perfect at multitasking, how come they can't have a headache and sex at the same time?".......... etii??
Mi nakumbuka kuna mahali tulikubaliana kwamba kawaida mdada akitongozwa akaja akasema, ujue hakump0enda mtongozaji...and vice versa is true
habari yake mshiki!
Happy New Year to You Too Askofu........naona kuna haja ya kuandaa Kongamano la Maombi kuna mjukuu ameanza mwaka vibaya aisee...asijejikuta mwaka mzima anafuatwa na wazee tu .................Happy New Year MJ1, unakaribishwa sana... leo watendaji watakuwa kwenye semina ila nitabaki kukuhudumia...
Hiyo signecha... changanya na za kwako....