mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
hamna shaka babu
hiyo imetulia,
kama sitasahau, DA atakuwa kwa safari kesho!

Yule naye bana....mbahili kama nini. Anajificha utafikiri anatafutwa na Occampo....
 
ivi na umri wa 20+ utembee na zee ilo la nini pesa IVI KUNA PESA TAMU KAMA YA KUTAFUTA MWENYEWE HUWA HAINA MAULIZO WALA MAOMBI MAANA SIONI MAPENZI HAPO NI UTUMWA kwangu mie ni hapana na itakuwa hapana sina haja ya kumchekea


misimamo kama hii ilitolewa na kizazi kileeee, very long time!!!!
lakini si kizazi hiki cha kwenye mchakato huu tulionao.........
I doubt....................!!!!!!!!!!!!
 
Mshiki tutafutane leo jioni tunywe mbege pale Tegeta darajani halafu tuongee vizuri kuhusu haka kababu. Unasemaje? Teamo amenihakikishia uwepo wake.

babu mbona huyu mjukuu wako haonekani humu? amepatwani
 

Asante kaka, aisee inabidi nianze mipango ya kilimo kwanza kaka, manake kababu noma huku, hivi kahawa kule home bado zinastawii??
 
na mimi nakueleza sisemei nafsi za wengine mazee siyataki na wala sitayataka na vitu vyangu napenda ati nikaanze kubiringishana na jitu viuno vilishaisha mafuta ni nini kisa pesa?!!!!

misimamo kama hii ilitolewa na kizazi kileeee, very long time!!!!
lakini si kizazi hiki cha kwenye mchakato huu tulionao.........
I doubt....................!!!!!!!!!!!!
 
babu mbona huyu mjukuu wako haonekani humu? amepatwani

Mshiki kamfungia ndani baada ya kuchakachua Arusha. Kijana alirudi na Kaswemde, sijui nani alimwambukiza. Ntakupigia unifahamishe.
 
Hapa kuna mshiki amechakachuliwa na Kibabu au nasoma vibaya.........LD, tafadhali nitafute bana!
 
Mshiki tutafutane leo jioni tunywe mbege pale Tegeta darajani halafu tuongee vizuri kuhusu haka kababu. Unasemaje? Teamo amenihakikishia uwepo wake.

ha ha ha ha, sawa kaka, utanishtua mida ikifika.
 
na mimi nakueleza sisemei nafsi za wengine mazee siyataki na wala sitayataka na vitu vyangu napenda ati nikaanze kubiringishana na jitu viuno vilishaisha mafuta ni nini kisa pesa?!!!!

mla huliwa!
 

LD Salama Mpendwa?

Ushapata jibu la kumpa?
 
LD pole kama ni wewe ....... haya mambo kwa kweli ni magumu. Zamani sikuwaga nikielewa wti mdada analazimika kumkubalia bosi wake kufanya madudu kisa akikataa atafukuzwa kazi (actually mpaka leo sielewi)......but siku liliponikuta mie, nilielewa ugumu wake but kina dada we have to be stong na wajasiri. Kama unajiamini katika utendaji wako wa kazi, kazi hiyo umeipata kihalali kwa qualifications zako jiamini. Check sheria zinasemaje juu ya haki zako kazini then chukua hatua.
1. Mweleze taratibu kuwa unamheshimu na usingependa mahusiano yaende zaidi ya kikazi (ofcouse huku ukifuata ushauri wa Maty-sali sana ili MUNGU ampe uelewa)
2. Ukiona aelewi, check sheria inasemaje.......ukiona huwezifuata sheria
3. Tafuta kazi kwingine, anza mbele.................................................................................
 
LD Salama Mpendwa?

Ushapata jibu la kumpa?
Mpendwa Askofu....naomba apointimenti ya kuja kufanya kitubio.

Halafu............."If women are so bloody perfect at multitasking, how come they can't have a headache and sex at the same time?".......... etii??
 
Mi nakumbuka kuna mahali tulikubaliana kwamba kawaida mdada akitongozwa akaja akasema, ujue hakump0enda mtongozaji...and vice versa is true

habari yake mshiki!
 
babu mbona huyu mjukuu wako haonekani humu? amepatwani

Nipo maty, nlikuwa nafanya fanya mambo hapa, manake unaweza ukapatiwa sababu ya kufukuzwa aiseee.
 
Hapa kuna mshiki amechakachuliwa na Kibabu au nasoma vibaya.........LD, tafadhali nitafute bana!

Kaka we acha, kuna kababu huku kasumbufu sanaaaaaaaaa.
 
Mpendwa Askofu....naomba apointimenti ya kuja kufanya kitubio.

Halafu............."If women are so bloody perfect at multitasking, how come they can't have a headache and sex at the same time?".......... etii??

Happy New Year MJ1, unakaribishwa sana... leo watendaji watakuwa kwenye semina ila nitabaki kukuhudumia...

Hiyo signecha... changanya na za kwako....
 
Mi nakumbuka kuna mahali tulikubaliana kwamba kawaida mdada akitongozwa akaja akasema, ujue hakump0enda mtongozaji...and vice versa is true

habari yake mshiki!

Habari musuri kaka, yani kaka, ndo hivi mambo, kababu huku kameleta balaa, nataka kukakimbia,
Sijui nikatue wapi?
 
Happy New Year MJ1, unakaribishwa sana... leo watendaji watakuwa kwenye semina ila nitabaki kukuhudumia...

Hiyo signecha... changanya na za kwako....
Happy New Year to You Too Askofu........naona kuna haja ya kuandaa Kongamano la Maombi kuna mjukuu ameanza mwaka vibaya aisee...asijejikuta mwaka mzima anafuatwa na wazee tu .................

Ntakuja Askofu.................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…