mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
we mpe tu, nami alikwambia paka mzee hanywi maziwa fresh bana?

hebu chukua paka mzee mpe mtindi uone kama ataunywa lol

Mambo ya mpe tu, aaah afie kifuani bana, nipe njia bana.
Nimkimbie au, then wapi kazi ingine fasta fasta sasa.
 
work.4424924.3.flat,550x550,075,f.friends-or-sugar-daddy.jpg




images

Juu Hapa AFRICAN

sugar+baby+and+sugar+daddy.jpg


Hapa Mzungu.
 
Mshiki tutafutane leo jioni tunywe mbege pale Tegeta darajani halafu tuongee vizuri kuhusu haka kababu. Unasemaje? Teamo amenihakikishia uwepo wake.
Bora hommie umeamua kwenda beyond keyboard hebu tumsaidie mshiki wetu kabla ka babu hakajachakachua...
 
Ni mtazamo..usinichukie!!
Btw, LD ni nani kati yao eti..wanajifanya babu zetu kumbe....Babu Aspirin, wala usitarajie kumuona ur daughter-in-law from me!!!
Mwangalie kwanza..wewe ni mzee mpaka unachomekea ngozi!!!

Mmmmmm anajijua mwenyewe hapo, but message sent and delivered,
right time, right place, right person!!!!
 
Nikulindie eh? Ntafanya lolote kukuondoa kwa kibabu hicho...

Nashukuru sana kaka, tusije tukaenda Rombo mapema hivi, na umaro sijajiunga bado.
 
Bora hommie umeamua kwenda beyond keyboard hebu tumsaidie mshiki wetu kabla ka babu hakajachakachua...

Kama kawaida yetu...ten sauzend inapokuwepo..........? Tunataka nyonyooooo!
 
Sasa we Bacha bana, kwa nini akili yako inakutuma hivo??
Anyway hakuna ubaya.

Sema basi nataka kushinda huu mtego na kazi nibaki nayo.
Kwa sababu sasa naona tiba ya hii nikumkimbia babu.
Hebu nisaidie kidogo. Nikaa huko kitaaa sinitachoka na umaskini huu.


Mpe, wala sioni tabu hapo!
kwani, ukimpa kuna adha gani?
kazi itakuwa guaranteed na maisha yataendelea kusonga!
kwani amekulazimisha akuoe?
yeye si anapita tu, kwani tayari ana nyumba yake toka kitambo!!!
 
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?
Ntamwambia,"shkamo babu,hivi bibi hajambo nyumbani?wajukuu je"..cdhani kama atakua na lingne.
 
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?
Ntamwambia,"shkamo babu,hivi bibi hajambo nyumbani?wajukuu je"..cdhani kama atakua na lingne.


una uhakika kuwa babu hatakuwa na jingine?
tena nyinyi vijukuu ndo mababu wanachukua kiulaini tu
kama unanawa mwanangu?
 
Back
Top Bottom