MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Indeed when i went to Congo working with The ICRC,
I saw rebels with similar disorder its called PSYCHOSIS i helped them and i can help you.
And i will make it free of charge i promise.
ππππππ
hehehehehehe nimeingia kwenye hiyo ID ya Njani sijui.. Thread za 2009/10 zote alizoanzisha huyo mtu, comment 3 za mwanzo basi utamkuta huyo Nyani naye yumo.. Tena mwaka huo huo alikuwa na ID zingine mbili moja ikiitwa Julius na nyingine Omega.Jamaa sijui ana roho ya Kigadaffi!
Jamaa ana ji quote na kujitukana mwenyewe kama kavimbiwa uporo wa kande!!
Hahaha jamaa ana i'ds za kike anajitongozesha na kusema zama pm hahaha midume inabaki haiamini kama demu kamwambia mshkaji zama pm kumbe id ni yake hahaha kweli dunia ina mambo ya kiseng sana!!
Oh by the way, leo mi ni kabila gani vile? Au bado niko Mnyalu?Indeed when i went to Congo working with The ICRC,
I saw rebels with similar disorder its called PSYCHOSIS i helped them and i can help you.
And i will make it free of charge i promise.
ππππππ
Oh by the way, leo mi ni kabila gani vile? Au bado niko Mnyalu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa kweli silifahamu,
Na hata nikilijua halitaniongezea mshahara.
πππππππππ
Mimi siongezi chochote... Ngoja aite Minions wamtetee..
Ila ulichosema ni 100% ukweli mtupu. Ndio maana mara ahangaike kuweka vipicha vya neighborhood, mara gym... Kuna siku akaweka eti bank account yake ina $ 4,000,000. Niliishia kucheka tu anavyohangaika... Sasa hapa naona anahangaika na kujitukania mama na kujijibu, huyu dogo anashangaza mno..
Si unaona anavyohangaika kuwaita ita hapo ili waje kutukana apate upenyo wa kukimbia.. hehehehe huyu Mmarekani wa Shinyanga anafurahisha sana.. Mmarekani amekulia UDSM na NY ila anaongea kisukuma kama hana akili nzuri..Ila wale mademu zake sasa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Okay, na baba yangu alisomeshwa na Nyerere na anafanya kazi serikalini eeh?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe uliandika kwenye Diary?
I'm Impressed.
Si unaona anavyohangaika kuwaita ita hapo ili waje kutukana apate upenyo wa kukimbia.. hehehehe huyu Mmarekani wa Shinyanga anafurahisha sana.. Mmarekani amekulia UDSM na NY ila anaongea kisukuma kama hana akili nzuri..
Siku zile nilikuwa nakuona tu unavyomchora na kumpa sifa kede kede na yeye akawa anazifurahia kweli hahahaha..
Huko mwanzo alishaviita naona vimempuuza... Navyo vimeanza kujua jamaa ni mgonjwa wa akili heheheheheHaaahaaaaaa.
Saa hizi nashangaa hajawaita kabisa Mandundami wake.
Oyaa Nyani Ngabu viite vile VYUMA CHAKAVU vije kukusaidia.
πππππππππππ
Huko mwanzo alishaviita naona vimempuuza... Navyo vimeanza kujua jamaa ni mgonjwa wa akili hehehehehe
Hahhaaa...nimecheka sana....kazi ipo. Nyani Ngabu usiingie mitini kama nyani wa ukweli.
Bahati mbaya ViciousRecklessSavage!!! ilipigwa server ban 2007 au sijui 2008 na postings zangu zote zikawa automatically deleted.
Wee Nyani Ngabu nimegundua wee lazma utakuwa una sumbuliwa na ugonjwa wa GRANDIOSE DELUSIONAL DISORDER Kama jamaa alivyo sema hapo juu!
Ndjabu Da Dude hii id ni ya kwako 100%!
Ulicho kifanya ulichukua baadhi ya maneno kwenye ile id yako ya zamani ambayo jf wali unganisha na hii id yako unayo tumia sasa! Id uliyo chukua
Maneno inaitwa (Floribert Njabu)
Ulicho kifanya wewe ni kutoa maneno kwenye id ya floribert njabu na kuunda id ambayo ndiyo unayo tumia kujiongelesha na kujitukana mwenyewe
(Ndjabu)=(Njabu)
Unacho kifanya ni utoto au ubongo wako 95% una matatizo!!
Fake id zako nyingine ni:
-Nyani MacCain
-Floribert Njabu
-Omega Psi Phi
Hizo zote ziliunganishwa baada ya jf kugundua michezo yako!!
Bado una id nyingine za kike!!
Mkitaka kuamini huyu jamaa ana matatizo ya akili alikuja na fake id kabla haijaunganishwa na kujitangaza kuwa kafa
hiyo thread hii hapa chini
Nyani Ngabu kafa!![/b][/size]
Hahaha! FisadiKuu na MALCOM LUMUMBA wamejitolea kukusaidia bure bila malipo ubongo wako urudi katika hali ya kawaida naona umeamua kuwapuuza!This is comedy!
Mnahangaika mno na mbaya zaidi hamjui kuwa hamjui.
Imekuchukua muda sasa kufanya huo ugunduzi wako?
Ushamaliza au bado unaendelea?
Pole sanaπππππ