Mdada wa Kitanzania ndani ya Ralph Lauren

Status
Not open for further replies.
Majinuni wahed hahahaahahah

Halafu na wewe nini kujinukuu na kujiongelesha mwenyewe?

Wewe Dinazarde ndo Nyani NgabuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
 
Halafu na wewe nini kujinukuu na kujiongelesha mwenyewe?

Wewe Dinazarde ndo Nyani NgabuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
Halaf wewe si ndio valentina acha basi kujikoti bana
 
Yupo 40+. Ni zee fulani bishoo na sengesenge hivi

Teh teh teh...sasa we Njabu si ndo mimi mwenyewe huyu huyu...au?

Najiandika na kujitukana mwenyeweπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.

This shit is hilarious.
 
Ahhahahaah hao hao wanakufatilia kina unachopost humu [emoji23][emoji23][emoji23],,,ila mi nakupenda tu[emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]

Teh teh teh...nimeandika kuwa najipenda halafu nimejikwoti mwenyewe.

Haki ya nani vile....nadhani idadi ya vichaa ni kubwa kuliko ule utafiti ulivoonyesha.
 
Teh teh teh...sasa we Njabu si ndo mimi mwenyewe huyu huyu...au?

Najiandika na kujitukana mwenyeweπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.

This shit is hilarious.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Teh teh teh...sasa we Njabu si ndo mimi mwenyewe huyu huyu...au?

Najiandika na kujitukana mwenyeweπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.

This shit is hilarious.
Lol.
JF haiishi vituko.
 
Leo nina miaka 40?

Siyo 60?

Halafu leo eti nimekuwa Mhaya...

Oh, pia huyo uliyemnukuu eti ndo mimi huyu huyu najitukana halafu najinukuu mwenyewe...

Ijumaa ina vituko leo hii...
Heheheh inaenda inapungua toka 60 mpaka 40,ila nawe mzee mno hata zile kuku staki tenaa bana
Au utanipa nikalie home tu
 
Teh teh teh...nimeandika kuwa najipenda halafu nimejikwoti mwenyewe.

Haki ya nani vile....nadhani idadi ya vichaa ni kubwa kuliko ule utafiti ulivoonyesha.
Hizi id zinajipenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Heheheh inaenda inapungua toka 60 mpaka 40,ila nawe mzee mno hata zile kuku staki tenaa bana
Au utanipa nikalie home tu

Huyo kanipunja leo....muda si mrefu ataibuka mwingine aseme nina 50 na kitu.

Wapo wataoibuka na kudai nina 70....

Yaani ili mradi tu...
 
Ngedere tu huyo. Halafu si unajua hata hilo jina lake aliniiga mimi. Si unajua alivyo choko. Nashangaa hadi leo anajiita eti "Nyani Ngabu".
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…