Mdada wa miaka 25 ananitaka kimapenzi

Mdada wa miaka 25 ananitaka kimapenzi

Simjui na wala hanijui, tulikutana kwenye baa moja hivi akanipa namba ya simu nikampa. sasa kila siku ananipigia au kutuma sms kuwa anataka kimapenzi. Namzidi miaka 20 hivi, shinikizo ni kubwa. Je nifanyaje?
Karipoti kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe!
 
Simjui na wala hanijui, tulikutana kwenye baa moja hivi akanipa namba ya simu nikampa. sasa kila siku ananipigia au kutuma sms kuwa anataka kimapenzi. Namzidi miaka 20 hivi, shinikizo ni kubwa. Je nifanyaje?
Nimetukanaa weee kimoyomoyo mpaka nimechoka.

Nimeandika hapa kuwa ufahamu kuwa laana ya wanaJF imekufunika.

Tuna shida za kijamii lakini ya kwako siyo shida ni upumbavu uliotukuka
 
Nimetukanaa weee kimoyomoyo mpaka nimechoka.

Nimeandika hapa kuwa ufahamu kuwa laana ya wanaJF imekufunika.

Tuna shida za kijamii lakini ya kwako siyo shida ni upumbavu uliotukuka
ok huu upumbavu uliotukuka,moja ya sifa yake kubwa,ni mtu kama wewe kujibu swali kipumbavu na hapohapo kudhania kuwa umejibu,kumbe hovyo,fyafuuuuuuuuuu,twaaaaaaaaaa,moraaaaaaaaa
 
ok huu upumbavu uliotukuka,moja ya sifa yake kubwa,ni mtu kama wewe kujibu swali kipumbavu na hapohapo kudhania kuwa umejibu,kumbe hovyo,fyafuuuuuuuuuu,twaaaaaaaaaa,moraaaaaaaaa
Umebonyezwa panic button umekurupuka na andawea kichwani.

Umeandika ujinga ujinga. Miaka 25 +20 = 45. Umeandika ndoto za mtoto asiye na malezi mwenye nusu balehe.

Pumbavu sana
 
Back
Top Bottom