Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Unachanganya madesa, yeye amesema dada mwenye Passo, wewe mke wako umemnunulia Passio na umerudia mara mbili kuandika hivyo ili kuonesha msisitizo, hivyo basi hizi ni gari mbili tofauti kabisa kama Thomson na Thompson.Braza cheza mbali na passio namba 928 DDR huyo ni wife na hiyo passio nilimnunulia mm kwa pesa yangu ya malimbikizo ya kazini, usione vyaelea ..
Nimekuelewa dada kinachokimbiwa ni ile bill ya filling station na usirogwe uingie msimu ambao matairi yake yameisha yapo kipara, Bin slum anakuhusu.Bestie, women's cars were never meant to impress men.
They were meant to scare them away. Sijui umenierrewa? You are missed
Nimekuelewa dada kinachokimbiwa ni ile bill ya filling station na usirogwe uingie msimu ambao matairi yake yameisha yapo kipara, Bin slum anakuhusu.
Lakin hata passo anayo tumia wife ni T321DDR sasa sijui nani anaye ongelewa hapaBraza cheza mbali na passio namba 928 DDR huyo ni wife na hiyo passio nilimnunulia mm kwa pesa yangu ya malimbikizo ya kazini, usione vyaelea ..
kabisa mkuu, this time sitojali yupo na nani, ntamsimamisha tu. thanksJitoe mhanga Ku sacrifice for ua love
kipi?Hahha+aha hiki cha malawi kabisa sio Arusha
hapana mkuu, hujapenda wewe.domo zege
hahahaaaaaaKama fisi aisee! unasubiri ianguke.....
sio hiyo mkuu, yeye nna uhakika amejinunulia maana ana kazi yakeBraza cheza mbali na passio namba 928 DDR huyo ni wife na hiyo passio nilimnunulia mm kwa pesa yangu ya malimbikizo ya kazini, usione vyaelea ..
inaingiaje hapa?Bangi mbaya aisee
aliongozana na mtuKama ulishindwa hata kumsalimia harusini, utaweza nini tena?
sio kila anayeendesha la kwake, cheap shot! na kuhusu nyege, hapana. ni kitambo namzimiaLove ama nyege mshtuko!???
siwezi babaika na hera/gari ya mwanamke. kuna wenye magari na hera lakini humwangalii mara mbiliBestie, women's cars were never meant to impress men.
They were meant to scare them away. Sijui umenierrewa? You are missed
kama kweli maombi yanasaidia niombee japo tu ajibu salamu yangu.Hakika unahitaji maombezi ya ufufuo eewe mtoa mada
sio huyo mkuuLakin hata passo anayo tumia wife ni T321DDR sasa sijui nani anaye ongelewa hapa