Mdada wewe wa One Night Stand.




Mtcheww
 
Jini mahaba huyoooo nenda baharini mid night utampata
 

hapo ujue hukumkatia mpunga mnene vinginevyo angekufuata siku ya pili kumbuka kaka ukitaka kula sharti nawe uliwe na maneno matupu hayavunji mfupa
 
kazi aliyoifanya bibie ilikuwa kubwa kuliko ulichokifanya wewe yani 9% kwa 91% na sheria ni moja ukipata nafas usifanye makosa ..hajaona umuhimu wa kukutafuta usike wewe kimoja tu chali (natania) ... HAYA MKUU EBU JARIBU KUSUBIRI DODO KWENYE MTI WA MUAROBAINI
 
Last edited by a moderator:
unanukia kuku wa kienyeji wewe ndo mana hajakutafuta,,,,dont get emotional or connected, wadau wengine are just looking for fun..wewe unataka kuleta mapenziiii kunoga..
Umempa ukweli. Short and clear.
 
Kweli watu mnapenda maumivu ya moyo!! hivi ushwaambiwa ana mchumba wake unachotafuta nini tena zaidi??
 

Geukia kutafuta anaeelekea kwa kusample wengi tu, unaweza ukapata mwenye huduma bora kuliko zake!
 
Namfahamu na nina no yake nipm..hata mi ameshawahi kunifanya hivyohivyo na huduma zake balaah....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…