Ugaidi ni mfumo wa kulenga mabadiliko ya kisiasa kwa kutisha watu kwa njia ya vurugu au mauaji.Nchi zetu za Afrika nani katuroga sisi? Hivi tunaweza je kufika huku?
View attachment 1864057
Barikiwa sana Mh. Tundu Antiphas Lissu. Mshangao wako ndiyo ulio mshangao wetu na pia kwa kila mpenda haki.
View attachment 1863998
Barikiwa sana beberu, kwa maana makwetu kusikokuwa na mihimili ya uongozi iliyo huru, utamu wa madaraka ukishakolea huwa tunaupiga mwingi kweli kweli kwa maana yake halisi:
View attachment 1864000
Enyi Mama Samia, Kamanda Sirro na wote mlio na dhamana, iepusheni nchi hii na aibu hii isiyokuwa na kifani!
"Hivi ni kweli kuwa njia hii mliyoichagua haiwatieni hata hofu tu kwa mola wenu?"
Misahafu inasema "mpende jirani yako kama nafsi yako." Bado haiwapi hata angalizo kidogo kutambua kuwa njia mliyoichagua siyo?
Msisahau kuwa mna dhamana ya kuongoza na si kutawala.
Source: Do arrests show Tanzania backsliding on reform commitments? - Democracy Digest
You don’t seem to understand or support what opposition leaders stand for. We support the whole move aiming at new constitution and not correctness of a few phrases given by our leaders.There are lots of things happening that seem to be rather odd and difficult to comprehend.
For instance, there is this statement attributed to Tundu Lissu, that goes:
"So, organizing a forum for constitutional reform is terrorism in the new Tanzania under Samia Suluh Hassan and her Police Force?"
Then it surprisingly goes on in apparent praise of the former dictator: "Even John Pombe Magufuli, her odious predecessor didn't dare to go that far" (!)
The dictator attempted to eliminate Tundu Lissu, and would probably have done the same to Freeman Mbowe at an opportune moment, how can that person be any better?
Has Tundu Lissu forgotten what happened to him and others under John Pombe Magufuli?
Polisi wameshatolea maelezo, katumia mwanya huu akijua anaenda shikiliwa.
kama mmeamua kupanua goli kivyenu ila polisi ndio wameshasema.
Hii issue ni kuziba watu macho, waache know ujadili makato ya kwenye miamala wajadili issue ya Mh. Mbowe na katiba mpya.
Turudi kwenye mada ya miamala, hii nchi huongozwa na matukio.
Tusisahau watu ninwale wale, utawala ni ule ule. Tusitegemee mapya kwa system ya Siro, au TISS kikombe kipya mvinyo wa zamani
Kwani nimekuzuia kuamini hivyo? Nimekueleza tu hapo waliyosema polisi wewe gandana na mawazo yako pia kama mie nilivyogandana na mawazo yanguHuo ni mtazamo wako ulio duni kabisa.
Usituongelee tunaosimama na Lissu, Mbowe na wapenda haki wote tunaokubaliana naye.
Siasa za kishamba za Mbowe zimepitwa na wakati. Awekwe jela kwanza atulie maana Jiwe alimtimua nchini alivoona kibiko yake kafa ndo karudi kwa kasi kubwa. Inabidi ashtakiwe kwa ugaidi. Huo ni ukaidi na ugaidi.
Kwani nimekuzuia kuamini hivyo? Nimekueleza tu hapo waliyosema polisi wewe gandana na mawazo yako pia kama mie nilivyogandana na mawazo yangu
JPM alijua kazi ni kweli, aliona mbali ni kweli, alikuwa na development strategy imara kweli. Hatubishani hapo.
JPM alikuwa katili inawezekana, hasa tukio la Lisu, kweli lilibadirisha mawazo ya wengi na mitazamo ya wengi kuhusu JPM.
Mtu aliyekuwa na mtazamo mzuri kama yeye na hasa kwenye maendeleo kwa nini alkuwa katili? Mind boggling!
Naipokea taarifa hii kwa masikitiko makubwa,masikini nchi yangu!Nchi zetu za Afrika nani katuroga sisi? Hivi tunaweza je kufika huku?
View attachment 1864057
Barikiwa sana Mh. Tundu Antiphas Lissu. Mshangao wako ndiyo ulio mshangao wetu na pia kwa kila mpenda haki.
View attachment 1863998
Barikiwa sana beberu, kwa maana makwetu kusikokuwa na mihimili ya uongozi iliyo huru, utamu wa madaraka ukishakolea huwa tunaupiga mwingi kweli kweli kwa maana yake halisi:
View attachment 1864000
Enyi Mama Samia, Kamanda Sirro na wote mlio na dhamana, iepusheni nchi hii na aibu hii isiyokuwa na kifani!
"Hivi ni kweli kuwa njia hii mliyoichagua haiwatieni hata hofu tu kwa mola wenu?"
Misahafu inasema "mpende jirani yako kama nafsi yako." Bado haiwapi hata angalizo kidogo kutambua kuwa njia mliyoichagua siyo?
Msisahau kuwa mna dhamana ya kuongoza na si kutawala.
Source: Do arrests show Tanzania backsliding on reform commitments? - Democracy Digest
Hata kwa DC Sabaya wapo walio amini na wapo ambao hawakuamini lkn leo hii yupo mbele ya mahakama. Mahakama ndio Jukumu lake kuamua kama Mbowe na wenzake ni Magaidi au la.
tuache sheria ifanye kazi yake. Mbowe na wenzake sio Malaika, ni binaadamu kama walivyo binaadamu wengine, mambo yake mengine ya siri hatuyajui.
Polisi hawa si ndio walewale waliomua Aquilina, Mwangosi ..........? Siro, Kakwale si ndio wale wale wanaoshindana kulinda kuficha maovu yao?Polisi wameshatolea maelezo, katumia mwanya huu akijua anaenda shikiliwa.
kama mmeamua kupanua goli kivyenu ila polisi ndio wameshasema.
Mahakama hizi hizi zinazofanya kazi kukiwa na mhimili uliyojichimbia zaidi kuliko mingine?
Na polisi hawa hawa wanao officiate mechi ya mpira yenye umati wa watu uliofurika kuliko maelezo, ila wengine wasijumuike kwa sababu kuna Corona?
Na bunge hili hili ambalo linajishangaa kwa kupitisha sheria hizo hizo lenyewe?
Yaani kwenye mazingira haya:
View attachment 1864173
Labda kama ndiyo umewasili sasa hivi kutokea sayari nyingine.
kumbe alianzisha harakati za katiba mpya kwa maksudi tu ili ikitokea anakamatwa na polisi basi iwe rahisi kutuhadaa na kuuhadaa ulimwengu eti kuwa kakamatwa kwa kudai katiba mpya!! aisee!!! Mbowe na kundi lake ni zaidi ya majambazi.
Tunamuomba Msajili wa Vyama akichunguze kwa makini hiki chama cha Chadema inaonekana kuna mtandao mkubwa wa kigaidi/kihalifu/kijambazi nchi nzima, Jeshi letu la Polisi wafanye uchunguzi kwa umakini mkubwa ili kubaini mtandao wote ili washughulikiwe kikamilifu kabla hawaja sababisha madhara kwa wananchi.
Amani ya Tanzania ni Muhimu zaidi kuliko chama cha kigaidi.
Mungu ibariki Tanzania.
I swear!!!JPM huyu huyu mwenye faili mirembe? -- in Diallo's dismay?
You must be kidding!
Tumeruka Mkojo mbele tumekuta JiviNchi zetu za Afrika nani katuroga sisi? Hivi tunaweza je kufika huku?
View attachment 1864057
Barikiwa sana Mh. Tundu Antiphas Lissu. Mshangao wako ndiyo ulio mshangao wetu na pia kwa kila mpenda haki.
View attachment 1863998
Barikiwa sana beberu, kwa maana makwetu kusikokuwa na mihimili ya uongozi iliyo huru, utamu wa madaraka ukishakolea huwa tunaupiga mwingi kweli kweli kwa maana yake halisi:
View attachment 1864000
Enyi Mama Samia, Kamanda Sirro na wote mlio na dhamana, iepusheni nchi hii na aibu hii isiyokuwa na kifani!
"Hivi ni kweli kuwa njia hii mliyoichagua haiwatieni hata hofu tu kwa mola wenu?"
Misahafu inasema "mpende jirani yako kama nafsi yako." Bado haiwapi hata angalizo kidogo kutambua kuwa njia mliyoichagua siyo?
Msisahau kuwa mna dhamana ya kuongoza na si kutawala.
Source: Do arrests show Tanzania backsliding on reform commitments? - Democracy Digest
👍Harakati za katiba zimekuwapo kabla ya JK rasimu ya katiba ni mwendelezo wake.
Utopolo wako peleka buseresere. Yuko kwa amani katika mapumziko atakuelewa.
Polisi hawa si ndio walewale waliomua Aquilina, Mwangosi ..........? Siro, Kakwale si ndio wale wale wanaoshindana kulinda kuficha maovu yao?
Alikuwa anajipendekeza ili mwanaye apewe urais wa damu kule zanzibarI swear!!!
Ali Hassan Mwinyi alikiri kuwa kwa miaka mitano mambo aliyoyafanya JPM Yeye Mwinyi, Mkapa na JK hawajawahi kufanya. That is fact. Think of these: Infrastructure, including Stigler, SGR, Roads, REA. Vile vile fiscal discipline,
Civil discipline- drug addicts walipungua, mules walipungua, at least hong kong ilikuwa inashikilia 400 tanzania citizens kwa drug trafficking ilianza kupumua.
kuhusu ukatili tunalaani, huyu hakuwa kichaa