Mdahalo Kudai Katiba Mpya unapogeuzwa Ugaidi

Mdahalo Kudai Katiba Mpya unapogeuzwa Ugaidi

hapana ila kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi wa kupanga mipango ya kuuwa watu mbalimbali, yaani anaongoza GEGE LA KIGAIDI

Kwamba? GEGE LA KIGAIDI? Na wewe umo humo kwenye hilo GEGE kama unavyoliita?

Usikonde mkuu nime copy na Ku paste kama uliyoandika mwenyewe.

Haki haijapata kushindwa. Hata hili tutashinda. Haijali kwa gharama gani.
 
hapana ila kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi wa kupanga mipango ya kuuwa watu mbalimbali, yaani anaongoza GEGE LA KIGAIDI
Uandishi wako unaonesha kabisa una andika kwa MIHEMKO....BILA KUTUMIA AKILI ILIYOTULIA YA KUCHANGANUA MAMBO..ILA NIKUFAHAMISHE KITU KIMOJA,

UOVU HAUJAWAHI USHINDA WEMA TOKA DUNIA IUMBWE*
 
Hata kwa DC Sabaya wapo walio amini na wapo ambao hawakuamini lkn leo hii yupo mbele ya mahakama. Mahakama ndio Jukumu lake kuamua kama Mbowe na wenzake ni Magaidi au la.

tuache sheria ifanye kazi yake. Mbowe na wenzake sio Malaika, ni binaadamu kama walivyo binaadamu wengine, mambo yake mengine ya siri hatuyajui.
Sabaya wa kesi ya wizi wa simu au Sabaya mwingine
 
Uandishi wako unaonesha kabisa una andika kwa MIHEMKO....BILA KUTUMIA AKILI ILIYOTULIA YA KUCHANGANUA MAMBO..ILA NIKUFAHAMISHE KITU KIMOJA,

UOVU HAUJAWAHI USHINDA WEMA TOKA DUNIA IUMBWE*

Kusikia kwao bora ya kenge.
 
JPM alijua kazi ni kweli, aliona mbali ni kweli, alikuwa na development strategy imara kweli. Hatubishani hapo.

JPM alikuwa katili inawezekana, hasa tukio la Lisu, kweli lilibadirisha mawazo ya wengi na mitazamo ya wengi kuhusu JPM.

Mtu aliyekuwa na mtazamo mzuri kama yeye na hasa kwenye maendeleo kwa nini alkuwa katili? Mind boggling!
Mkuu, baadhi ya hayo unayoweza kumsifia nayo Magufuli, tunaweza kukubaliana bila shida kabisa.

Ubaya wa kiongozi yeyote ni pale anapojihisi yeye ndiye kila kitu na kuachana na taratibu zilizopo na kujifanyia aonavyo yeye inafaa. Hata awe mzuri kiasi gani, kiongozi wa namna hiyo hafai.

Magufuli alikiuka bila aibu kabisa matakwa ya katiba na sheria. Yeye ndiye akawa Bunge na Mahakama na chama chake kikawa kama mali yake. Uongozi wa aina hiyo hapana.

Ukatili. Kweli una mashaka yoyote na ukatili aliokuwa nao Magufuli, kiasi cha kwamba uanze kujiuliza juu ya hilo?
 
From?

"So, organizing a forum for constitutional reform is terrorism in the new Tanzania under Samia Suluh Hassan and her Police Force?"

You say,

"Then it surprisingly goes on in apparent praise of the former dictator: "Even John Pombe Magufuli, her odious predecessor didn't dare to go that far" (!)

Yet, you proceed to provide these very serious allegations?

"The dictator attempted to eliminate Tundu Lissu, and would probably have done the same to Freeman Mbowe at an opportune moment, how can that person be any better?"

You knew for sure the dictator was the man behind the assassination attempt to Tundu Lissu. You even had indications that the same dictator was to take on to Mbowe as well.

1. How did you get to know that so surely?
2. How did you make good use of this very valuable information?
3. Did you avail any of it to the police Tundu Lissu or Mbowe who were then in imminent danger?

May be if you could shed for some more light?
You clearly don't have the handle with the language.

You better spend more time learning its proper use.
 
You don’t seem to understand or support what opposition leaders stand for. We support the whole move aiming at new constitution and not correctness of a few phrases given by our leaders.
You go into JF for recreational purposes and don't gain a thing from it, it seems.
If you did, you would not have put that label on me on the basis of what is written in the statement you quoted.

Tundu Lissu, obviously didn't choose his words properly/carefully in that statement attributed to him.

Go and tell him that.
 
Watakaa kimya....

Nchi za MAGHARIBI watakaa kimyaaa.....

Serikali ya Tanzania inaendelea kusonga mbele....

TUHUMA ZA UGAIDI NI NZITO....

Ukitaja tu UGAIDI basi ujue wamagharibi hawatotaka kujihusisha na GAIDI NA MAGAIDI....

#KaziIendelee
#NchiKwanza
 
Polisi wameshatolea maelezo, katumia mwanya huu akijua anaenda shikiliwa.

kama mmeamua kupanua goli kivyenu ila polisi ndio wameshasema.
Hivi wale Mashehe wa Kiislam wa Uhamsho bado wapo jera?
Hivi hao Mashemhe wa uhamsho walikua na tuhuma za ugaidi?
Kama wapo huru ..safi sana hao ni maswaiba wenzetu
 
Mipango ya Mwendawazimu hii kabla ya kifo kumfyeka. Ilikua lazima Mbowe aangamizwe na CHADEMA ifutwe.
Samia anatekeleza kwa kua anaona kabisa hawezi kushinda uchaguzi 2025.
CCM hali mbaya sana. Wanaponzwa na ULAFI na UFISADI wa madaraka.
 
Nchi zetu za Afrika nani katuroga sisi? Hivi tunaweza je kufika huku?

View attachment 1864057

Barikiwa sana Mh. Tundu Antiphas Lissu. Mshangao wako ndiyo ulio mshangao wetu na pia kwa kila mpenda haki.

View attachment 1863998

Barikiwa sana beberu, kwa maana makwetu kusikokuwa na mihimili ya uongozi iliyo huru, utamu wa madaraka ukishakolea huwa tunaupiga mwingi kweli kweli kwa maana yake halisi:

View attachment 1864000
Enyi Mama Samia, Kamanda Sirro na wote mlio na dhamana, iepusheni nchi hii na aibu hii isiyokuwa na kifani!

"Hivi ni kweli kuwa njia hii mliyoichagua haiwatieni hata hofu tu kwa mola wenu?"

Misahafu inasema "mpende jirani yako kama nafsi yako." Bado haiwapi hata angalizo kidogo kutambua kuwa njia mliyoichagua siyo?

Msisahau kuwa mna dhamana ya kuongoza na si kutawala.

Source: Do arrests show Tanzania backsliding on reform commitments? - Democracy Digest

View attachment 1864233

Katika maelezo yote hayo, comment ya Tundu Lissu kumhusu Magufuli haiko sawa kabisa na imekaa kijazba zaidi. Imepinda vibaya sana.

Haiyumkiniki kwa Tundu Lissu kufanya ulinganisho kati ya Mh SSH na Magufuli na kudai “hata” Magufuli asingeweza kufanya alivyofanya SSH! Seriously? Baada ya yote yaliyotokea 2015-2020, Lissu anatoa ushuhuda wa aina hiyo?
 
From?

"So, organizing a forum for constitutional reform is terrorism in the new Tanzania under Samia Suluh Hassan and her Police Force?"

You say,

"Then it surprisingly goes on in apparent praise of the former dictator: "Even John Pombe Magufuli, her odious predecessor didn't dare to go that far" (!)

Yet, you proceed to provide these very serious allegations?

"The dictator attempted to eliminate Tundu Lissu, and would probably have done the same to Freeman Mbowe at an opportune moment, how can that person be any better?"

You knew for sure the dictator was the man behind the assassination attempt to Tundu Lissu. You even had indications that the same dictator was to take on to Mbowe as well.

1. How did you get to know that so surely?
2. How did you make good use of this very valuable information?
3. Did you avail any of it to the police Tundu Lissu or Mbowe who were then in imminent danger?

May be if you could shed for some more light?

Sasa kampeni ni kuonyesha kuwa Magufuli alikuwa much better kuliko Samia? [emoji848][emoji15]
 
He ran away to Mwanza to deceive the public into believing that he was arrested because of the symposium they were preparing to hold to discuss constitutional review issues
 
You clearly don't have the handle with the language.

You better spend more time learning its proper use. Egocentricity? You are envious of Tundu Lissu?

We have important issues to tend.

To us, english is a mere language. It's use value simply ends like that spoken by the Maasai 😂😂😂😂!

Enviousness or egocentricity over Tundu Lissu? That is more of your problem than to us. Whatever that you are after, keep it. It is not interesting to us.

By this, please be informed, you are a already a distinguished member in my ignore list😂😂😂😂😂!

Bye bye amigo, don't even mind to write back.
 
IMG_20210723_214226_458.jpg


FYI.
 
Katika maelezo yote hayo, comment ya Tundu Lissu kumhusu Magufuli haiko sawa kabisa na imekaa kijazba zaidi. Imepinda vibaya sana.

Haiyumkiniki kwa Tundu Lissu kufanya ulinganisho kati ya Mh SSH na Magufuli na kudai “hata” Magufuli asingeweza kufanya alivyofanya SSH! Seriously? Baada ya yote yaliyotokea 2015-2020, Lissu anatoa ushuhuda wa aina hiyo?

Nje ya mada.
 
Back
Top Bottom