- Thread starter
- #41
Rubbish, acheni vyombo vya usalama vifanye kazi yake.
Rubbish.
Kudai haki hakuwezi kuwa bila gharama
Kuna thwawabu kubwa kwa wote wasimamao kuipigania haki kwa ajili ya wote. Kwa maana njia hiyo si kila mtu anaweza kuipita. Njia hii si lazima kwa kila mtu kuipita. Waipitao njia hii ni wale tu walio na wito kamili. Kama ile iendayo uzimani, ina vikwazo vingi. Kipi ambacho kamanda Mbowe...
Tunajua kuipata haki kuna gharama. Tutailipa gharama hiyo.