Mdahalo Kudai Katiba Mpya unapogeuzwa Ugaidi

Mdahalo Kudai Katiba Mpya unapogeuzwa Ugaidi

Rubbish, acheni vyombo vya usalama vifanye kazi yake.

Rubbish.


Tunajua kuipata haki kuna gharama. Tutailipa gharama hiyo.
 
Nchi zetu za Afrika nani katuroga sisi? Hivi tunaweza je kufika huku?

View attachment 1864057

Barikiwa sana Mh. Tundu Antiphas Lissu. Mshangao wako ndiyo ulio mshangao wetu na pia kwa kila mpenda haki.

View attachment 1863998

Barikiwa sana beberu, kwa maana makwetu kusikokuwa na mihimili ya uongozi iliyo huru, utamu wa madaraka ukishakolea huwa tunaupiga mwingi kweli kweli kwa maana yake halisi:

View attachment 1864000
Enyi Mama Samia, Kamanda Sirro na wote mlio na dhamana, iepusheni nchi hii na aibu hii isiyokuwa na kifani!

"Hivi ni kweli kuwa njia hii mliyoichagua haiwatieni hata hofu tu kwa mola wenu?"

Misahafu inasema "mpende jirani yako kama nafsi yako." Bado haiwapi hata angalizo kidogo kutambua kuwa njia mliyoichagua siyo?

Msisahau kuwa mna dhamana ya kuongoza na si kutawala.

Source: Do arrests show Tanzania backsliding on reform commitments? - Democracy Digest
Hapa nasimama na Chadema aisee.. latina mpya iliyopendekezwa ni nzuri kwa maendeleo endelevu ya nchi yetu, kugeuza kitendo cha kudai katiba mpya kuwa kosa la ugaidi ni kiashiria tosha nchi yetu inaendeshwa kidikteta pasipo sisi kujua.

Nadhani kikubwa wanachohofia kwenye hii katiba iliyopendekezwa na ile kamati ya warioba ni kupunguzwa kwa nguvu ya kuamua ya Raisi wa nchi.. na kupunguziwa kinga pia.
 
Naona wameamua kuitangazia dunia tanzania kuna ugaidi sijui kama wanajua athari zake
 
Mahakama hizi hizi zinazofanya kazi kukiwa na mhimili uliyojichimbia zaidi kuliko mingine?

Na polisi hawa hawa wanao officiate mechi ya mpira yenye umati wa watu uliofurika kuliko maelezo, ila wengine wasijumuike kwa sababu kuna Corona?

Na bunge hili hili ambalo linajishangaa kwa kupitisha sheria hizo hizo lenyewe?

Yaani kwenye mazingira haya:

View attachment 1864173

Labda kama ndiyo umewasili sasa hivi kutokea sayari nyingine.
Mbowe na wenzake juzi tu waliachiwa huru na mahakama na wakaishukuru mahakama kuwa imetenda haki,
Mdude kule mbeya pia aliachiwa Mbowe akatamka mahakama imetenda haki, basi tunapaswa tuamini kuwa mahakama zetu zinatenda haki bila tatizo lolote.
wacheni vyombo vyetu vifanye kazi zake.
 
That's sad. I knew we were fighting for constitutional reform, kumbe the dude was using our movement as a shield to protect himself from terrorism accusations.
Shame on him
That,

"I knew we were fighting for constitutional reform, .."

Were you? Really! What a shame!

Simba SC's constitution is not what is being referred here, Mr. Marana!
 
Nchi zetu za Afrika nani katuroga sisi? Hivi tunaweza je kufika huku?

View attachment 1864057

Barikiwa sana Mh. Tundu Antiphas Lissu. Mshangao wako ndiyo ulio mshangao wetu na pia kwa kila mpenda haki.

View attachment 1863998

Barikiwa sana beberu, kwa maana makwetu kusikokuwa na mihimili ya uongozi iliyo huru, utamu wa madaraka ukishakolea huwa tunaupiga mwingi kweli kweli kwa maana yake halisi:

View attachment 1864000
Enyi Mama Samia, Kamanda Sirro na wote mlio na dhamana, iepusheni nchi hii na aibu hii isiyokuwa na kifani!

"Hivi ni kweli kuwa njia hii mliyoichagua haiwatieni hata hofu tu kwa mola wenu?"

Misahafu inasema "mpende jirani yako kama nafsi yako." Bado haiwapi hata angalizo kidogo kutambua kuwa njia mliyoichagua siyo?

Msisahau kuwa mna dhamana ya kuongoza na si kutawala.

Source: Do arrests show Tanzania backsliding on reform commitments? - Democracy Digest
Gaidi wa kwanza nchi hii ni ccm na vibaraka wake wote! Sikujua kama huyu mama angefikia hapa, ngoja tukamfunze adabu kuanzia tarehe 25 mwezi huu yani jumapili, hawatalala!
 
Mbowe na wenzake juzi tu waliachiwa huru na mahakama na wakaishukuru mahakama kuwa imetenda haki,
Mdude kule mbeya pia aliachiwa Mbowe akatamka mahakama imetenda haki, basi tunapaswa tuamini kuwa mahakama zetu zinatenda haki bila tatizo lolote.
wacheni vyombo vyetu vifanye kazi zake.

Uwepo wa uhuru kamili wa mihimili yote mitatu kutatupa uhakika huo.

IMG_20210704_051559_619.jpg


Kwa eatoto yatima:

"
.
Ametuondoka wakati tukimhitaji:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.

Sasa Twende wapi tukapate ushauri:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.

Kiza kinene kimetanda hatuna pa kukamata:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.

.
"

Ndiyo maana madai ya katiba mpya hayazuiliki. Wao wayaite vyovyote wanavyotaka.
 
Harakati za katiba zimekuwapo kabla ya JK rasimu ya katiba ya Warioba ni mwendelezo wake.

Utopolo wako peleka buseresere. Yuko kwa amani katika mapumziko atakuelewa.
Mbowe na wenzake ni magaidi.
hatuko tayari kuwatetea watu amabao wanahatarisha usalama wa nchi yetu, kamwe hili haliwezi kuvumiliwa.
Mbowe na genge lake ni wahalifu kama wahalifu wengine. ila Mbowe alijificha kwenye uongozi wa chama na madai ya katiba mpya akijaribu kuwahadaa watanzani na dunia kumbe ni muhalifu wa vitendo vya kigaidi.
 
Gaidi wa kwanza nchi hii ni ccm na vibaraka wake wote! Sikujua kama huyu mama angefikia hapa, ngoja tukamfunze adabu kuanzia tarehe 25 mwezi huu yani jumapili, hawatalala!

Sikuwahi kudhani mwanamke anaweza kuwa na roho mbaya namna hii. Picha hii inamuelezea vyema:

IMG_20210704_051559_619.jpg


Angalia hata macho.

Looh!
 
Nchi zetu za Afrika nani katuroga sisi? Hivi tunaweza je kufika huku?

View attachment 1864057

Barikiwa sana Mh. Tundu Antiphas Lissu. Mshangao wako ndiyo ulio mshangao wetu na pia kwa kila mpenda haki.

View attachment 1863998

Barikiwa sana beberu, kwa maana makwetu kusikokuwa na mihimili ya uongozi iliyo huru, utamu wa madaraka ukishakolea huwa tunaupiga mwingi kweli kweli kwa maana yake halisi:

View attachment 1864000
Enyi Mama Samia, Kamanda Sirro na wote mlio na dhamana, iepusheni nchi hii na aibu hii isiyokuwa na kifani!

"Hivi ni kweli kuwa njia hii mliyoichagua haiwatieni hata hofu tu kwa mola wenu?"

Misahafu inasema "mpende jirani yako kama nafsi yako." Bado haiwapi hata angalizo kidogo kutambua kuwa njia mliyoichagua siyo?

Msisahau kuwa mna dhamana ya kuongoza na si kutawala.

Source: Do arrests show Tanzania backsliding on reform commitments? - Democracy Digest
Free Freeman,free CDM Members & others unconditionally!
 
Mbowe and his fellow tricked us by using agenda of "Constitutional reforms" as a shield while knowing that would be arrested any time in connection with terrorist act.
they will be charged with the offence of terrorist Not for demanding constitutional reforms.
An idiot on the move
 
Samia Suluhu na strategy ya 2025 and beyond, anajua kabisa kuwa Lisu atamtoa knockout 2025 kwa vyovyote vile, kwa sababu CCM imemeguka baada ya JPM kutoka, sysytem kama ilivyo inataka kuanzisha uongo ili uaminiwe, kuwa CHADEMA na Lissu ni magaidi, na Lisu asirudi wala CDM isifanye campaign yoyote ile. SAmia and the system, wanajua kabisa hili.

Funzo kwa wapinzani hasa CHADEMA fight the system, adui wenu hakuwa JPM, bali ni CCM gangsterism System. Mliamini vipi, na kumsifia sana mtu aliyekuwa na JPM mkamtofautisha kabisa ati mzuri? She is as devil as the system!!!!!!!!!!!!
Uzuri wake kalianzisha mapema mno before it's 2025.Amechemka na kudemka mapema mno/stepped on wrong foot.
 
There are lots of things happening that seem to be rather odd and difficult to comprehend.

For instance, there is this statement attributed to Tundu Lissu, that goes:

"So, organizing a forum for constitutional reform is terrorism in the new Tanzania under Samia Suluh Hassan and her Police Force?"

Then it surprisingly goes on in apparent praise of the former dictator: "Even John Pombe Magufuli, her odious predecessor didn't dare to go that far" (!)

The dictator attempted to eliminate Tundu Lissu, and would probably have done the same to Freeman Mbowe at an opportune moment, how can that person be any better?

Has Tundu Lissu forgotten what happened to him and others under John Pombe Magufuli?
Fortunate enough those statements doesn't justifies what she's doing.
She already messed up!
 
Mahakama hizi hizi zinazofanya kazi kukiwa na mhimili uliyojichimbia zaidi kuliko mingine?

Na polisi hawa hawa wanao officiate mechi ya mpira yenye umati wa watu uliofurika kuliko maelezo, ila wengine wasijumuike kwa sababu kuna Corona?

Na bunge hili hili ambalo linajishangaa kwa kupitisha sheria hizo hizo lenyewe?

Yaani kwenye mazingira haya:

View attachment 1864173

Labda kama ndiyo umewasili sasa hivi kutokea sayari nyingine.
Huyo mama kwanin anapenda kuvaa kitambaa chekundu?
 
Mbowe and his fellow tricked us by using agenda of "Constitutional reforms" as a shield while knowing that would be arrested any time in connection with terrorist act.
they will be charged with the offence of terrorist Not for demanding constitutional reforms.

That,

'Mbowe and his fellow tricked us by using agenda of "Constitutional reforms" as a shield while knowing that would be arrested any time in connection with terrorist act.'

Go tell that to the birds!

Hiiiiii bagosha
 
From?

"So, organizing a forum for constitutional reform is terrorism in the new Tanzania under Samia Suluh Hassan and her Police Force?"

You say,

"Then it surprisingly goes on in apparent praise of the former dictator: "Even John Pombe Magufuli, her odious predecessor didn't dare to go that far" (!)

Yet, you proceed to provide these very serious allegations?

"The dictator attempted to eliminate Tundu Lissu, and would probably have done the same to Freeman Mbowe at an opportune moment, how can that person be any better?"

You knew for sure the dictator was the man behind the assassination attempt to Tundu Lissu. You even had indications that the same dictator was to take on to Mbowe as well.

1. How did you get to know that so surely?
2. How did you make good use of this very valuable information?
3. Did you avail any of it to the police Tundu Lissu or Mbowe who were then in imminent danger?

May be if you could shed for some more light?
He is as ignorant as we are.Only that is what he was told.
 
Kwani si tulikubaliana kumnyoa kama tulivyo mnyoa mwenda zake? Sasa hizo nyembe tumeziweka wapi?

Kwani umeona tunalalamika kukosa nyembe?


Au wapi kunako kufanya wewe hata kudhania hivyo?
 
Huyo mama kwanin anapenda kuvaa kitambaa chekundu?

Watu wana imani zao. JPM - ushirikina, nyungu, mikaratusi, michai chai, na matango pori kibao. Utawajulia wapi hawa watu?
 
Mbowe na wenzake ni magaidi.
hatuko tayari kuwatetea watu amabao wanahatarisha usalama wa nchi yetu, kamwe hili haliwezi kuvumiliwa.
Mbowe na genge lake ni wahalifu kama wahalifu wengine. ila Mbowe alijificha kwenye uongozi wa chama na madai ya katiba mpya akijaribu kuwahadaa watanzani na dunia kumbe ni muhalifu wa vitendo vya kigaidi.

Hatimaye umekuwa polisi, mshitaki na hakimu pia?
 
Back
Top Bottom