[MENTION]miss chaga[/MENTION]
Daudi1 Samahani; ni hasira.
Kuhusu mfumo wa elimu wa TZ na Kenya, na nchi nyingi za Afrika, tatizo ni kuwa hakuna filosofia inayowaongoza viongozi wetu tukija kwenye sekta ya elimu.
Hapo awali, Mwalimu Nyerere aliongozwa na filosofia ya education for self-reliance. Na hata kama mfumo huo ulikuwa umekita mizizi katika sera ya ujamaa, kwa kweli uliongozwa na filisofia iliyokuwa imefikiriwa. Ukisoma hicho kitabu chake utapata matattizo yale yale aliyokuwa akijaribu kutatua siku hizo.
Lile jambo ambalo nyinyi mlijaribu na kufaulu nacho, ni kuiweka kiswahili kama medium of Instruction. Tatitozo ni kuwa hamkufatilisha hadi shule za upili na vyuo vikuu.
Jambo lingine ni kuwa mitihani inafanywa kimchezo tuu. Kama vile nilivyowahi sema hapa, kwa mda mrefu nilikuwa na shangaa itakuwaje idadi kubwa ya watu wasome kiingereza kwa miaka zaidi ya kumi ilhali wasiwe bado na uwezo wa kujieleza kwa kiingereza? nilipoona mtihani wa NECTA wa kidato cha nne, nilishangazwa na makosa mengi yanayofanywa na wataaluma
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ecta-ni-sahihi-post11504364.html#post11504364
Hata hivyo, suluhisho ni nini?
Suluhisho ni wewe na mimi tubadili kile tunachoweza. Viongozi wetu hawana mtazamo wala maono. Wanazidi wakileta sera za kipumbavu ilhali watoto wao wanasoma shule za ng'mba na zile za British System. Huku Kenya Professor mzima analeta sera za kipumbavu sana hata nashindwa kweli kama anafikiri.