Elections 2010 Mdahalo wa Dr Slaa Movenpick LIVE

time for change has come and is now. The real doctor of philosophy of
philosophy will be sworn in early next month as our translation leader and the
5th president.



 
Hilo swali la mgombea mwenza kalijibu vizuri sana.. Aisee Dr Slaa ni kiboko! CCM Kwisha kazi....
 
Kikwete kufanya mdahalo baada ya uchaguzi? Kushawishi TSIS wachakachue kura? Nipe muda tafadhali.
Wawa kusanye wote 3 wajibu maswali Ijumaa hii na sio Jumamosi
 

asante mkuu good work
 
kuendelea kukaaa na cccm ni maafa mmmmmmmh hii nimeikubali


Hiyo Kauli Imeufanya Mtaa Mzima ninao ishi kulipuka kwa Shangwe ndipo nikagundua kwamba mamilioni ya Watanzania walikuwa wanashuhudi mdahalo huu
 
tunamshukuru sana Dr Slaa ameweza kuchakachua vyema msimamo wa chadema kabla na baada ya uchaguzi
 
ssa jamani TUKAPIGE KURA HIYO TAREHE 31 OCT, ILI KUHITIMISHA UTAWALA DHALIMU WA CCM. MMESIKIA MABANGO NA PICHA ZA KIKWETE ZILIVYOLIPIWA PESA NYINGI NAMNA ILE, WAKATI SISI TUNATAABIKA, MISHAHARA YETU INAKATWA KODI KUBWA KUBWA TUU ILI KUNEEMESHA CCM
 
Nami nimemsikia. Kwa maneno mengine anamaanisha kwamba yeye wasimjumuishe kwenye share za mafisadi (sisi m).
 
MKuu umsahau hii niyingine.. ...kamta ja with confidence and conviction kuwa ni FISADI namba kumi na moja ...
 
Technically amejibu maswali vizuri sana... ila kuna-spin nyingi kwenye maswali ambayo yalikuwa technical... especially swali la East Africa, Swali ya Elimu kwenye perspective tofauti. Issue ya Tanzania kuwa ya 2 kutoka chini kiuchumi bila facts etc! Mbayuwayu... wanaelewa vizuri lipi ni lipi other ... if it was debate Dr. Slaa oyeee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…