Elections 2010 Mdahalo wa Dr Slaa Movenpick LIVE

Mdahalo ulikuwa mzuri sana na Mtangazaji kafanya kazi nzuri, ila haikuwa sahihi kwa Mtangazaji kumkatisha yule aliyetaka kujua msimamo wa dokta kuhusu mgombea binafsi. ishu ya mgombea binafsi ni nyeti na muhimu sana na ilihitajiwa itolewe comment na dokta. haikufaa mtangazaji kuikatisha eti kwa sababu haipo katika ilani ya Chadema, hata kama haipo si ingekuwa vyema kuona namna gani slaa atadeal na hii ishu ukizingatia inagusa moja kwa moja haki za msingi za raia?
 

Dr. slaa aliitolea maelezo kidogo, alisema mchakato wa kubadili katiba unahusisha hayo yote!! Say no to UDHALIMU, vote for SLAA!!
 
Na huenda kakimbizwa ICU!

MS amepona baada ya kupata dozi nzito toka kwa dr. wa ukweli dr. slaa na sasa ameamua kumpa dr. slaa kura ya ndiooö..... anatakiwa amalize dozi vinginevyo malaria inaweza kumrudia
 
haina mjadala,kikwete asingeweza lolote kwa real Dr. Angekua kama Maccaine kwa Obama,
Slaa ni next levo,kilichobaki ni kuenda kumhalalisha on 31st,
pipo o o o o oo z z z z . . . ? ? ?
Poweeeeeeeeer r. . R. . . ! ? ! !
 
Dr. Slaa, the master of content, the master of detail...as always.

Watanzania lazima wafahamu kuwa opportunities kama hizi they come once in a life time. Kumbuka waliofaidi matunda ya kuwa na Nyerere it was in their life time, sasa hiki ni kizazi kingine ambacho i am convinced kwamba God has provided for us with a leader with vision, committment and the love for his country and people.

Tukifanya kosa this time around tutakuwa na kipindi kirefu cha kujutia our lack of intelligent decision. CCM na viongozi wa mfano wa Kikwete cannot handle this present age, its too big for them. Bado wanawaza kufanikiwa through wizi na ubazazi (ujanjaujanja). That time period has long since gone.

A new Tanzania will emerge with people the like of Dr. W. Slaa and his CHADEMA and a lot more young and old people who support the developmental course of this blessed nation.

Lets all vote for Dr. Slaa and CHADEMA!!
 
Yaani Kwa Kuwa Sina TV jana nikaenda kuangalia Mdahalo katika Baa Moja hivi baada ya DK 5 tu za Mdahalo Kuanza Mwenye baa kazima TV ati Inmampigia Makelele ...... So Selfish...Nikahamia Nyingine nafika Mlangoni tu ..TANzania Endeleza Sera za Ccm Oyee (TANESCO) Wanakata Umeme...Hizi ni Hujuma za Moja kwa Moja kwa CHADEMA....Hatuwezi kuwa na Demokrasia kwa namna hii
 
duuuh kumbe FOundation for civil society ndo wamefanya mamabo hayaaaaa.teeeeeh...hawa si wanafadhiliwa na EU

Hapana, CSF wao ni wafadhili lakini waandaaji wa mjadala huu na sio mdahalo kama wanavyotaka kuspin ni VOIX Media ambayo ni kampuni ya Ansbert Ngurumo na ufadhili wa kina Freeman. Ansbert ndio Media Advisor wa Dr Slaa. Na hata ule mjadala wa urais Zanzibar waandaaji ni foundation ambayo ilianzishwa na inaongozwa na viongozi wakuu wawili wa CHADEMA kule Zanzibar. Na hii ndio moja ya sababu ya CCM kuwakatalia ule mdahalo waliomba kuandaa hapo kabla kwani it is obvious the platform in neither friendly nor neutral.

Hivyo tunapowakosoa CCM katika uamuzi wao wa kukataa "midahalo" hiyo ni muhimu kutambua rationality yao pia....
 

Mzee Omarilyas, this doesn't the ring bell!! Kitu kikubwa kinachowakimbiza sisiem kwenye midahalo ni hoja zinazohusiana na ufisaji na wanajua popote watakapokuwa kwenye midahalo masuala ya ufisadi yatajitokeza. Hawana majibu ya rushwa, nafsi zao zinawasuta sana na hata zile cases chache ambazo wangeweza kutumia kuonyesha jitihada zao za ku-fight ufisadi zimevurugwa na mkuu kwa kuwasupport watuhumiwa wazi wazi.

Kama issue ni platform ya waandaaji mbona basi midahalo ya tbc nayo pia wameikwepa, is tbc neither friendly nor neutral?? Sorry you missed it.
 

Hongera sana mkuu!
 

sio TBC tu, hata huko mikoani kuna midahalo mingi ambayo inaendeshwa na NGO mbalimbali , lakini wanakimbia pia
 
Kama issue ni platform ya waandaaji mbona basi midahalo ya tbc nayo pia wameikwepa, is tbc neither friendly nor neutral?? Sorry you missed it.

TBC I believe walikataa kutokana na kutoshirikishwa kupanga rules za midahalo ikiwemo ile ya aina ya ushiriki, idadi, usalama, lakini zaidi mfumo wa maswali. Ni wazi kuwa kwa mtindo wa watu kuuliza swali kwa mgombea fulani na sio maswali ya pamoja, lingewaumiza sana CCM kwani ndio pekee wenye records zinazojulikana na wananchi Vs wenzao ambao mapungufu yao mengi hayapo katika public.

Lakini pia mfumo wa ushabiki na ushangiliaji kama tunaouona na wakati CCM wanajua ni jinsi gani this Anti establishment syndrome ilivyokubuhu miongoni mwa jamii, hata wewe kama ungekuwa mshauri wao there is no way ukawaingiza mkenge.

Lakini suala la mjadala wa urais nilitaka kuweka hayo mambo wazi maana wengi wanajudge kishabiki zaidi kuliko ukweli wa mambo ambao ama hawaujui ama hawataki kuutambua....
 
Siyo kubadilisha tu hapa arusha kuna sehemu majina ya watu kibao hayapo...mfano kaloleni majina ya jamaa zangu watatu hayo
 
sio TBC tu, hata huko mikoani kuna midahalo mingi ambayo inaendeshwa na NGO mbalimbali , lakini wanakimbia pia
Jana Dk Batilda Burian mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini alihudhulia mdahalo uliofanywa na madhehebu nasikia alifunikwa mbaya kabisa na Lema wa chadema, Lema alipoanza kuonngelea ufisadi mgombea huyu wa CCM aliwaomba maaskofu wamzuie Lema asizungumzie ufisadi hasa kwa kumtaja Lowasa...Lema alihamia kwa mramba akihoji uhalali wa kupigiwa debe na Mgobea urais kupitia CCM huku akijua fika serikali ya CCM ilimpeleka Mramba mahakamani na bado anakesi
 

You have said it all!
 
TBC I believe walikataa kutokana na kutoshirikishwa kupanga rules za midahalo ikiwemo ile ya aina ya ushiriki, idadi, usalama, lakini zaidi mfumo wa maswali. Ni wazi kuwa kwa mtindo wa watu kuuliza swali kwa mgombea fulani na sio maswali ya pamoja, lingewaumiza sana CCM kwani ndio pekee wenye records zinazojulikana na wananchi Vs wenzao ambao mapungufu yao mengi hayapo katika public.





Tujifunze kusimamia tunachoamini na kukisema kwa uthabiti bila kuyumbishwa, wenye akili wataelewa na naamini Tz wenye uelewa ni wengi kuliko wasionao.....Ni mtazamo tu mkuu
 

Huachi tu kuandika upupu kama mwenzio Maggid? Waliporuhusiwa wale wa CCM mwanzoni ilikuwa nini? Akina Hawa, et al.
 
Basi kama wanaona midahalo mingine yote inayoandaliwa na wengine ina dalili za upendeleo na lack of security kwa mgombea wao, then wao (kama ccm et al)waandae mdahalo for the sake of Tanzanians, mdahalo ambao wao wataona una sifa zote za kuwepo mgombea wao na wengine pia...Utaona jinsi ambavyo wagombea wa vyama pinzani watakavyouchangamkia!

The answer is short. kwamba wanajua wameshindwa kudeliver mambo wanayoahidi kwa watu, as a result wanaona haya kukutana na watu wenye akili katika mijadala!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…