Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
mnamo 16-1-2025 chombo kimoja kikubwa cha habari kimefanya mahojiano na Tundu Lissu nyumbani kwake Tegeta -Dar es salaa, Tanganyika.
Waandishi / Watangazaji watatu wamemuhoji :-
Watu wamemtukana sana, rejea kwenye youtube na angalia comments za watazamaji na alipofika Mwiho alisoma comments kimoyomoyo akaacha kuuliza maswali ya kijinga na interuptions za vijiwe vya kahawa ukiwakuta watu wanabishana nani tajiri zaidi Tanzania.
KIJAKAZI yupo subjective sana, sijui pale Mawingu nani
View: https://x.com/spana_Konki/status/1879800401194820069
Waandishi / Watangazaji watatu wamemuhoji :-
- Sam Sasali
- PJ
- Kijja
Watu wamemtukana sana, rejea kwenye youtube na angalia comments za watazamaji na alipofika Mwiho alisoma comments kimoyomoyo akaacha kuuliza maswali ya kijinga na interuptions za vijiwe vya kahawa ukiwakuta watu wanabishana nani tajiri zaidi Tanzania.
KIJAKAZI yupo subjective sana, sijui pale Mawingu nani
View: https://x.com/spana_Konki/status/1879800401194820069