Elections 2010 Mdahalo wa wagombea urais 2010

Status
Not open for further replies.
Eti gazeti la uhuru linadai madai ya Dr Slaa yakutaka mdahalo ni kumvunjia heshima Kikwete.

Wanamaanisha kwamba wananchi wote wanajua uwezo mdogo wa raisi wetu wakuchambua mambo inakuwaje Dr.Slaa anataka mdahalo? yaani wanaona anataka kumdhalilisha raisi mbele ya wananchi wote waone uwezo wake mdogo wa kuongoza na ndio maana wanaona kamvunjia heshima.

Ndio akili ya ccm hio mkuu .
 
Kikwete amekuwa mzuri kuzungumza kwenye vyombo vya habari kila jumamosi je ni kwa nini asifanye debate na wagombea wengine ili tujue msimamo wake vizuri. Mkapa alifanya debate je ni kwanini raisi wa nchi achaguliwe bila debate!!
 
hakika, umenifumbua macho katika swala hili, aaah kuuumbe, asante sana.
 
ndugu zangu,

..kama JK anaona mjadala utamharibia basi ni busara kwake kama mgombea kuukacha.

..wagombea wengine wa Uraisi wachukue nafasi hiyo kufanya mdahalo wao wenyewe bila kumshirikisha Raisi.

..tena napendekeza waandaaji waweke kiti cha wazi kuonyesha kwamba Raisi alialikwa lakini amekataa mwaliko.

..kama Raisi hashiriki ina maana wagombea wengine watakuwa na muda mrefu zaidi wa kumwaga sera zao.
 
Kama vipi anaweza mtuma Makamba Katibu wa chama chake akashiriki Mdahalo!
 

mkuu usisahau sababu mojawapo alizo toa hizza eti wagombea wengine wanataka kupatia umaarufu kwa jk hivyo wameona si busara kuwepo mdaalo.
 
Pamoja na kumsuta na kumsimanga Dr. Slaa lakini bado wanaogopa kusimama naye ktk jukwaa la hoja.
Ingesemwa asimame Lipumba wangemkubali fasta fasta, kwa kuwa wanajua ni mtu wao hawezi kuwaangusha na hana nguvu tena ila kwa huyu Slaa wanaona maji ya utosini
 
Mchungaji Slaa kwanini asifanye mdahalo na mkewe atoke CCM na kuamia Chadema? kama kashindwa kum-convince mkewe atamuweza nani?

Huyu mchungaji yuko weak iweje mkewe mpaka leo kabaki CCM? inamaana hamuamini mumewe? Afanye mdahalo chumbani na mkewe kabla hajafanya na wananchi
 

Kama ambavyo wewe unahaki/uhuru wa kutoa maoni humu ndani ya JF hata kama ni ya kijinga na ya kuleta kichefuchefu na mharo kwa wengine, vivyo hivo kila mtu ana haki ya/uhuru wa kuchagua chama anachokitaka bila kuvunja sheria. Hii ndio DEMOKRASIA ya kweli. Kwa maana hivyo Nyumba ya Daktari Slaa ni mfano bora na kitovu cha demokrasia ya kweli katika Afrika huwezi kuona popote pengine..... TAFAKARI, CHUKUA HATUA.

Mwambie "So called Daktari Kikwete" ajaribu hii kama nyumba yake haikusambaratika within a week.
 
hapa lazima kama kiongozi atupie busara zaidi kama impact ya mdahalo itakuwa c nzuri kwa jamii. Kuhusu ufisadi ulikuwepo toka enzi ya mwinyi na Usitegemee CCM Itauondoa baada ya miaka mitano tu-hiyo cyo rahisi,na wanasema maendeleo ya nchi yoyote ile ni hatua kwa hatua, huwezi kulala uck na asbh ukakuta maendeleo,lazima uyajenge mwenyewe na kwa utaratibu maalum.Chukulia ninyi wenyewe kwa miaka mitano ya JK Mmefanya nini kama wananchi katk kuunga hatua xza kulata maendeleo? Fikirieni kabla ya kujadili na kutukana viongozi. Kumbukeni pia serikali is not about Kikwete only, many people are involved so they need to work as a team.
 
Kiongozi hatakiwi kuwa mwoga kupanda ktk jukwaa la mdahalo, na hasahasa wote ni wasomi wa chuo kikuu, hivyo elimu waliyopata ilitakiwa iwe ni ufunguo wa kuwa huru kuelezea sera zao kupitia mdahalo ili wananchi wapate kumchagua kiongozi anayefaa, Mwl. Nyerere alisema:
 

...Kweli Duniani Kuna Watu na Viatu...Tena Vya Mtumba! :bored:
 
Hahaaa, anyway Mzee wa Mafiga ma3, Kiherehere na asiyependa wafanyakazi wake.
 
kikwete amekuwa mzuri kuzungumza kwenye vyombo vya habari kila jumamosi je ni kwa nini asifanye debate na wagombea wengine ili tujue msimamo wake vizuri. Mkapa alifanya debate je ni kwanini raisi wa nchi achaguliwe bila debate!!

hata ka udaktari wake tumeambiwa toka jana kuwa ni feki na amepewa na chu kikuu feki!!!!
 
Kwa nini raisi kikwete unaogopa mdahalo,be a man,unaonyesha wazi kwamba ujafanya lolote la maana ndiyo sababu unaogopa mdahalo.kama wewe ni mwanaume ingia mdahalo na dr slaa

Suala si Dk Slaa pekee maana hata 2005 alichomoa mdahalo kama angekuwa amefanikiwa ku-perform miaka 5 iliyoisha basi ni wazi angeingia kwenye mdahalo kwa mbwembwe lakini kwa kuwa miaka hiyo 5 ilopita tumeendelea kwa kurudi nyuma basi hana cha kujivunia na ku-argue kwenye mdahalo. Hata hivyo hana sababu ya kuwaogopa kina Prof Lipumba na Dk Slaa kwenye mdahalo maana na yeye pia ni Dokta siku hizi kama hao wengine.
 
Utaogopaje kujieleza mbele ya wananchi unaotaka kuwaongoza?. Kwanini usiwape nafasi wananchi waweze kukujua vyema kwa kujibu maswali yao ambayo pia yatajibiwa na wagombea wengine?.

Mbona wagombea ubunge wanapita kila sehemu katika wilaya husika na kuulizwa maswali na wananchi (Mdahalo) kabla ya kupigiwa kura za ndiyo ama hapana?.

Kwa mtu mwenye akili kisha pata jawabu tosha kwamba Raisi wetu ni "............" na CCM wanalijua hilo.
 
Hana cha kuwajibu wananchi kwani pale ikulu hakuwa anatawala yeye bali ni watu waliompeleka ndiyo waliokuwa wanatawala. Uraisi wa UBIA
 
Kikwete amekuwa mzuri kuzungumza kwenye vyombo vya habari kila jumamosi je ni kwa nini asifanye debate na wagombea wengine ili tujue msimamo wake vizuri. Mkapa alifanya debate je ni kwanini raisi wa nchi achaguliwe bila debate!!

kama hajui vitu utafanyaje??hana akili unategemea atakubali debate na kiingredha chake cha kujipiga msasa pale british council!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…