Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
- Thread starter
- #101
Sio kwa ubaya, lakini inakuaje vyombo vya habari tofauti viandike habari kwa kufanana?🤔 wakati kila chombo kina waandishi wake?
Kiukweli kwa upande wangu naona ni script iliyoandaliwa na mgombea kwaajili ya kampeni zake (sijui nitakua sahihi nikitafsiri hii kama rushwa au lah🤷🏽‍♂)
Ushaidi picha 👇🏼
Kiukweli kwa upande wangu naona ni script iliyoandaliwa na mgombea kwaajili ya kampeni zake (sijui nitakua sahihi nikitafsiri hii kama rushwa au lah🤷🏽‍♂)
Ushaidi picha 👇🏼
Picha kutoka Dizzimonline
Picha kutoka ITV
Picha kutoka ITV