Mdahalo wa Wagombea Urais Chama cha Mawakili Tanzania Bara (TLS) mwaka 2024

Sio kwa ubaya, lakini inakuaje vyombo vya habari tofauti viandike habari kwa kufanana?πŸ€” wakati kila chombo kina waandishi wake?

Kiukweli kwa upande wangu naona ni script iliyoandaliwa na mgombea kwaajili ya kampeni zake (sijui nitakua sahihi nikitafsiri hii kama rushwa au lahπŸ€·πŸ½β€β™‚)

Ushaidi picha πŸ‘‡πŸΌ
Picha kutoka Dizzimonline


Picha kutoka ITV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…