Pre GE2025 Mdahalo wa wagombea Urais wa TLS ulikuwa "fantastic". Wagombea Urais Uchaguzi Mkuu 2025 waige mfano huo

Pre GE2025 Mdahalo wa wagombea Urais wa TLS ulikuwa "fantastic". Wagombea Urais Uchaguzi Mkuu 2025 waige mfano huo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM walishagoma kabisa toka 1995 wagombea wao wote kushiriki midahalo yowote tangu ngazi ya tawi hadi Taifa

Hawa jamaa sijui huwa wanaogopaga nini?
 
Kikwete aliweka mpira kwapani na CCM ikapiga marufuku wagombea wake kushiriki midahalo, hiki ndicho chanzo cha nchi kupata marais wasiokidhi viwango vya juu.
Nani wa kutunga hiyo sheria? Wengi wa watunga sheria waliopo mjengoni hawatakubali mdahalo
"Changamoto kubwa zaidi iliyopo katika ulimwengu wa Sasa ni kwamba Watu wenye akili nzuri hawataki kujihusisha na Siasa, hivyo, watu wasio na akili wamepewa mamlaka ya kuwatawala Watu wenye akili na watu wasio na akili."

Donald Trump, aliyekuwa Rais wa Marekani.
 
Kikwete aliweka mpira kwapani na CCM ikapiga marufuku wagombea wake kushiriki midahalo, hiki ndicho chanzo cha nchi kupata marais wasiokidhi viwango vya juu.
Kama Kikwete aliweka mpira kwaoani.

Tutamlazimisha Mama aingie Kwenye mdahalo huo, atake-asitake😀
 
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu, ambao ulikuwa mzuri sana na wa kiwango Cha kimataifa, ambao uligusa Kila aina ya nyanja ya taaluma hiyo ya sheria na Taifa Kwa ujumla.

Ningependelea na naamini watanzania walio wengi, ndivyo watakavyopendelea kuona mdahalo wa aina hiyo, Kwenye uchaguzi Mkuu wa mwakani wa wagombea wa vyama vya siasa mwakani, ukiendeshwa na kituo hicho, chini ya mtangazaji nguli Chifu Odemba.

Hata hivyo najua kuwa kulifanyika juhudi kubwa miaka ya nyuma, Kila ilipofika wakati wa uchaguzi mkuu, kuwataka wagombea wa vyama vya siasa, washiriki Kwenye mdahalo wa aina hiyo, lakini kizingiti kikubwa ilikuwa chama Cha CCM, ambacho kimekuwa kikiukataa mdahalo huo!

Ninaamini pia kupitia Kwenye mdahalo huo, ndipo tutawajua wagombea Urais wa vyama mbalimbali, kuhusu sera zao na namna watakavyokabiliana na uongozi na namna ya kuliletea maendeleo makubwa Taifa letu

Tutambue pia kuwa ni mataifa yote duniani, yanayoutumia mtindo huu wa mdahalo wa wagombea Urais, Kila inapofika nyakati za uchaguzi.

Mathalani tulishuhudia hivi karibuni huko nchini Marekani, wagombea Urais wa vyama vya Democrats, Joe Biden na mwenzske wa Republican, Donald Trump, wakichuana vikali katika mdahalo huo, ambao hatimaye umemuweka pembeni mgombea Urais wa chama Cha Democrats, Joe Biden, baada ya kufanya vibaya Kwenye mdahalo huo, sababu zikielezwa kuwa ni kutokana na umri mkubwa.

Hivi bila mdahalo huo, nchi ya Marekani ingeweza kuwa na mgombea Urais wa Chama Cha Democrats, Kamara Harris??

Jibu ni Hapana

Kwa hiyo Kwa kuwa tunajua umuhimu mkubwa wa kuwa na Rais wa Taifa lolote ni jukumu kubwa sana Kwa maendeleo ya wananchi wa Taifa husika, Kwa hiyo naamini upo ulazima wa kuendesha mdahalo wa aina hiyo, Ili tuweze kuwapima wagombea wetu wa Urais, tunaotegemea kuwapigia kura, Ili waweze kuliongoza Kwa weledi mkubwa Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania

Pia, soma: Mdahalo wa Wagombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanzania Bara 2024
Ccm hawakuwa tayari kwa midahalo, na cdm nao walichemesha baada ya kumpokea Lowassa ambaye alitoka na udhaifu wa ccm kuogopa midahalo. Hata hivyo midahalo inamaana gani wakati matokea ya uchaguzi ni ya kupangwa?
 
Chura Kiziwi vs Tundulisu hapo mmoja asiposema naamuru polisi wamuweke ndani mmoja wao, nipo paleee
 
Samia akishiriki mdahalo si baada ya hapo CCM watalipa machawa kufanya damage control !

Huku maelekezo ya Chief Odemba kukamatwa na kuandaliwa makosa ya kubumba.
 
Samia akishiriki mdahalo si baada ya hapo CCM watalipa machawa kufanya damage control !

Huku maelekezo ya Chief Odemba kukamtwa na kuandaliwa makosa ya kubumba.
Kwa mfumo wa nchi hii unavyoenda, Hilo unalolisema linawezekana kabisa😗
 
Mdahalo? Kama ule wa Msigwa vs Sugu? Au Biden vs Trump?

Nchi hii ambapo Rais hahitaji kura ya mtu yeyote kuwa madarakani? Ambapo yeye ndiye anayeamua matokeo anayoyataka?

Mleta mada umeamua kuchangamsha baraza.

Halafu katika nchi hii nani yuko tayari kuona Rais akiadhirishwa kama ilivyomtokea Biden majuzi? Hapa wajinga wengi hudai Rais ni nembo ya taifa hivyo haitakiwi kabisa afedheheshwe kwa namna yoyote ile. Rais asiyehojiwa anaulizwaje swali gumu in front of her husband, totos and machawa?
 
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu, ambao ulikuwa mzuri sana na wa kiwango Cha kimataifa, ambao uligusa Kila aina ya nyanja ya taaluma hiyo ya sheria na Taifa Kwa ujumla.

Ningependelea na naamini watanzania walio wengi, ndivyo watakavyopendelea kuona mdahalo wa aina hiyo, Kwenye uchaguzi Mkuu wa mwakani wa wagombea wa vyama vya siasa mwakani, ukiendeshwa na kituo hicho, chini ya mtangazaji nguli Chifu Odemba.

Hata hivyo najua kuwa kulifanyika juhudi kubwa miaka ya nyuma, Kila ilipofika wakati wa uchaguzi mkuu, kuwataka wagombea wa vyama vya siasa, washiriki Kwenye mdahalo wa aina hiyo, lakini kizingiti kikubwa ilikuwa chama Cha CCM, ambacho kimekuwa kikiukataa mdahalo huo!

Ninaamini pia kupitia Kwenye mdahalo huo, ndipo tutawajua wagombea Urais wa vyama mbalimbali, kuhusu sera zao na namna watakavyokabiliana na uongozi na namna ya kuliletea maendeleo makubwa Taifa letu

Tutambue pia kuwa ni mataifa yote duniani, yanayoutumia mtindo huu wa mdahalo wa wagombea Urais, Kila inapofika nyakati za uchaguzi.

Mathalani tulishuhudia hivi karibuni huko nchini Marekani, wagombea Urais wa vyama vya Democrats, Joe Biden na mwenzske wa Republican, Donald Trump, wakichuana vikali katika mdahalo huo, ambao hatimaye umemuweka pembeni mgombea Urais wa chama Cha Democrats, Joe Biden, baada ya kufanya vibaya Kwenye mdahalo huo, sababu zikielezwa kuwa ni kutokana na umri mkubwa.

Hivi bila mdahalo huo, nchi ya Marekani ingeweza kuwa na mgombea Urais wa Chama Cha Democrats, Kamara Harris??

Jibu ni Hapana

Kwa hiyo Kwa kuwa tunajua umuhimu mkubwa wa kuwa na Rais wa Taifa lolote ni jukumu kubwa sana Kwa maendeleo ya wananchi wa Taifa husika, Kwa hiyo naamini upo ulazima wa kuendesha mdahalo wa aina hiyo, Ili tuweze kuwapima wagombea wetu wa Urais, tunaotegemea kuwapigia kura, Ili waweze kuliongoza Kwa weledi mkubwa Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania

Pia, soma: Mdahalo wa Wagombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanzania Bara 2024
Alinichekesha jamaa mmmojaaa alisema kweli mwanachama wa ccm

Akaulizwa utawwzapingana na serkl ya ccm

Akajibu ccm sio yanguuu

Gafla akasema niwajuze tu nagombania kwa ajili ya kuwatumikia wanachama wa tls

Ccm yangu ina viongozi wakeee [watuukichekooo yangutena]
 
Mdahalo? Kama ule wa Msigwa vs Sugu? Au Biden vs Trump?

Nchi hii ambapo Rais hahitaji kura ya mtu yeyote kuwa madarakani? Ambapo yeye ndiye anayeamua matokeo anayoyataka?

Mleta mada umeamua kuchangamsha baraza.

Halafu katika nchi hii nani yuko tayari kuona Rais akiadhirishwa kama ilivyomtokea Biden majuzi? Hapa wajinga wengi hudai Rais ni nembo ya taifa hivyo haitakiwi kabisa afedheheshwe kwa namna yoyote ile. Rais asiyehojiwa anaulizwaje swali gumu in front of her husband, totos and machawa?
Tunataka tutengeneze utamaduni mpya.

As far as tunayemchagua ni kiongozi wetu sote, basi tunaweza kumlazimisha atake-asitake ashiriki Kwenye mdahalo😅
 
MUGA AKANIACHA HOI NACHEKA USINGIIZIN

AKAULIZWA SWALI LA RUSHWA

AKAJIBU INAJUA M SITAKI KUPEPESA MACHO UNAUJUA NYUKI ANAFWATA PALE KWENYE ASAALI
AKAULIZWA HAHAHA KWAHIO PESA N ASALI SI KWAHIO UNARIDHIA RUSHWA IPO

AKAJIBU HAPANAA NAMAANISHA ASALI N ULE UONGOZI BORA WA MTU NA YALE MAZURI ALIYOYAFANYAA YAAN MBAVUZANGU MIE SINAHAMU

NAOMBA URUDIWE TENA PLS
 
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu, ambao ulikuwa mzuri sana na wa kiwango Cha kimataifa, ambao uligusa Kila aina ya nyanja ya taaluma hiyo ya sheria na Taifa Kwa ujumla.

Ningependelea na naamini watanzania walio wengi, ndivyo watakavyopendelea kuona mdahalo wa aina hiyo, Kwenye uchaguzi Mkuu wa mwakani wa wagombea wa vyama vya siasa mwakani, ukiendeshwa na kituo hicho, chini ya mtangazaji nguli Chifu Odemba.

Hata hivyo najua kuwa kulifanyika juhudi kubwa miaka ya nyuma, Kila ilipofika wakati wa uchaguzi mkuu, kuwataka wagombea wa vyama vya siasa, washiriki Kwenye mdahalo wa aina hiyo, lakini kizingiti kikubwa ilikuwa chama Cha CCM, ambacho kimekuwa kikiukataa mdahalo huo!

Ninaamini pia kupitia Kwenye mdahalo huo, ndipo tutawajua wagombea Urais wa vyama mbalimbali, kuhusu sera zao na namna watakavyokabiliana na uongozi na namna ya kuliletea maendeleo makubwa Taifa letu

Tutambue pia kuwa ni mataifa yote duniani, yanayoutumia mtindo huu wa mdahalo wa wagombea Urais, Kila inapofika nyakati za uchaguzi.

Mathalani tulishuhudia hivi karibuni huko nchini Marekani, wagombea Urais wa vyama vya Democrats, Joe Biden na mwenzske wa Republican, Donald Trump, wakichuana vikali katika mdahalo huo, ambao hatimaye umemuweka pembeni mgombea Urais wa chama Cha Democrats, Joe Biden, baada ya kufanya vibaya Kwenye mdahalo huo, sababu zikielezwa kuwa ni kutokana na umri mkubwa.

Hivi bila mdahalo huo, nchi ya Marekani ingeweza kuwa na mgombea Urais wa Chama Cha Democrats, Kamara Harris??

Jibu ni Hapana

Kwa hiyo Kwa kuwa tunajua umuhimu mkubwa wa kuwa na Rais wa Taifa lolote ni jukumu kubwa sana Kwa maendeleo ya wananchi wa Taifa husika, Kwa hiyo naamini upo ulazima wa kuendesha mdahalo wa aina hiyo, Ili tuweze kuwapima wagombea wetu wa Urais, tunaotegemea kuwapigia kura, Ili waweze kuliongoza Kwa weledi mkubwa Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania

Pia, soma: Mdahalo wa Wagombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanzania Bara 2024
Hawawezi kukubali odemba Hana cha msalia mtume
 
Tunataka tutengeneze utamaduni mpya.

As far as tunayemchagua ni kiongozi wetu sote, basi tunaweza kumlazimisha atake-asitake ashiriki Kwenye mdahalo😅
Sawa. Si vibaya kujipa matumaini na kujimwambafy kidogo. Ndicho kilichobakia. Kila la heri.😁
 
Back
Top Bottom