Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
big up mrema wa chadema umenipa data muhimu, tani 50 za dhahabu kodi imekwenda wapi? nyerere alijenga nchi kwa kutegemea kahawa korosho chai akajenga nchi sasa tuna dhahabu hakuna kitu kinafanyika
huyo mama amekaa jirani na ulimwengu ni nani?amevaa nguo nyeusi....mwambieni akavae sketi ndefu manake........