Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri wa CCM naye aongee bana, itapendeza sana. Wasiishie hapo, waende mbele waruhusu wabunge zaidisisimu wameingia sasa
Mkuu acha kuwa bias na kusahau kumsikiliza vema. Unaupotosha umma kwa kumsakizia. Kumbuka wengi tunaangalia (tupo Tanzania) hivyo si vema kuspin.Naona Zitto kakosa sera mana anaongea mambo yaleyale ya kawaida
Je ilani ya chadema haijui?
Ni informer itakuwa ha ha hanamuona richard kasesera kada wa ccm .kwa nini asiwakilishe ccm