Pre GE2025 MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi

Pre GE2025 MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumekucha ila ngoja tuone Miamba hii miwili ya CHADEMA itakavyomenyana mbele ya Wananchi,

Tuendelee kumwomba Mungu ili sote tufike salama 2025.

====
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025, siku ya jumamosi kuanzia saa 3:30 Usiku hadi saa 6:00 Usiku, mahali mtajulishwa. Mpaka sasa wagombea wawili wamethibitisha kushiriki mdahalo huo, tunaendelea na jitihada za kuhakikisha wote wanashiriki katika mdahalo, Asante.

=====

View attachment 3186218

Merry Xmas and Happy New year 2025.
Mbowe haji
 
kwani kama anashambuliwa kwa tuhuma au mambo ya kweli hauoni ni afya kwa ustawi wa siasa zetu na taifa?

Tunataka mijadala ya namna hii zaidi na zaidi,sio mambo za mitano tena!
Njoo ueleze umefanya nini na utafanya nini, period!
Mbowe ameshasepa😆😆
 
Tafadhali sana, Mbowe asilete visingizio vyovyote ili kukwepa mdahalo huu. Kukimbia mdahalo huu bila sababu za msingi sana ni ni sawa na Goalkeeper kukimbia kudaka mpira wa adui yake.
 
Back
Top Bottom