Mdau ajitolea kuwapa maji ya kunywa wote wanaohudhuria Kesi ya Mbowe Mahakamani

Mdau ajitolea kuwapa maji ya kunywa wote wanaohudhuria Kesi ya Mbowe Mahakamani

Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.

Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.

View attachment 2015124
Hii kesi ni ya kipumbavu. Ningekuwa Chadema hata nisingejisumbua hii kesi haiendi popote.
 
Mdau au ni wewe.....bila shaka wewe ni mwenye dela hapo....mashaallah...
 
Dawasa wenyewe wamesema kuna uhaba wa Maji walitakiwa wawashukuru Raia wema wenye kuwajali Raia wema wenzao.

Wakati Magufuli alipokuwa akigawa Mabulungutu mbona hujawahi kuhoji kwemba yeye sio Benki na zaidi ulikuwa ukimkatia kiuno na shanga kama zote?
Kwenye basi ukisafiri unashauriwa usikubali kupokea maji au chakula kwa abiria mwenzio usiyemjua sembuse mahakamani? Jitu linakuja hujui lilikotokea linaanza kukugawia maji na wewe unapokea tu na kunywa akili unazo wewe?
 
Kwenye basi ukisafiri unashauriwa usinubali kupokea maji au chakula kwa abiria mwenzio usiyemjua sembuse mahakamani? Jitu linakuja hujui lilikotokea linaanza kukugawia maji na wewe unapokea tu na kunywa akili unazo wewe?
Acha ushabiki Bibie,Maji tu waliopelekewa Wananchi wanaosikiliza Kesi ya kubabikwa inayomkabili Mwamba Mbowe yanakutoa roho,mbona unaroho mbaya kiasi hicho we Dada.
 
Ndio kusema ofisi hamna watu mpaka mwenyekiti arudi.sasa akitoka hapo gharama za kesi zitamaliza acc yote.
 
Kwenye basi ukisafiri unashauriwa usikubali kupokea maji au chakula kwa abiria mwenzio usiyemjua sembuse mahakamani? Jitu linakuja hujui lilikotokea linaanza kukugawia maji na wewe unapokea tu na kunywa akili unazo wewe?
Aibu kubwa sana kwa wazazi wako , hivi umembiwa ni maji ya kandoro yale ?
 
Rushwa hiyo,huyo atafutwe na ahojiwe ,katumwa na Nani!?, na kisudio lake ni Nini!? je anatafuta namna ya kuwashawishi watu walundikane hapo viwanja vya mahakama!?
Enzi za Jiwe jamaa ingekula kwake 😅 ila kwa sasa amani tu!
 
Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.

Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.

View attachment 2015124
Sasa tumetoka kwa muuza mbege wa Rau Madukani tumekuja kwa mgawa maji wa Mawasiliano mahakamani.
 
Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.

Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.

View attachment 2015124
Hata huyo bi mkubwa wake nae anasaidia kupeleka siku mbele,,,,
 
Back
Top Bottom