Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unatoka nje ya mada sasa. Baresa anakujaje hapa. Puuzi moja kumbeKwahiyo pali Mtaa wa Livingsone Bakhresa huwa anagawa Maji ya bure huwa anamtishia jaji gani?
Ndio mnamtisha Raia mwema? Maji pia mnataka kuyabambikia Sumu?Cha msingi maji yawe salama asije mtu akadhurika kwa kunywa hayo maji atajikuta kizimbani na maji yake
Hii kesi ni ya kipumbavu. Ningekuwa Chadema hata nisingejisumbua hii kesi haiendi popote.Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.
Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.
View attachment 2015124
Chawa wa Mcha mungu Magufuli , hivi mnaishije sasa ?Cha msingi maji yawe salama asije mtu akadhurika kwa kunywa hayo maji atajikuta kizimbani na maji yake
Ni ushauri tu sababu yeye sio DAWASA kampuni ya kusambaza maji sehemu mbalimbali ikiwemo mahakamaniNdio mnamtisha Raia mwema? Maji pia mnataka kuyabambikia Sumu?
Dawasa wenyewe wamesema kuna uhaba wa Maji walitakiwa wawashukuru Raia wema wenye kuwajali Raia wema wenzao.Ni ushauri tu sababu yeye sio DAWASA
Kwenye basi ukisafiri unashauriwa usikubali kupokea maji au chakula kwa abiria mwenzio usiyemjua sembuse mahakamani? Jitu linakuja hujui lilikotokea linaanza kukugawia maji na wewe unapokea tu na kunywa akili unazo wewe?Dawasa wenyewe wamesema kuna uhaba wa Maji walitakiwa wawashukuru Raia wema wenye kuwajali Raia wema wenzao.
Wakati Magufuli alipokuwa akigawa Mabulungutu mbona hujawahi kuhoji kwemba yeye sio Benki na zaidi ulikuwa ukimkatia kiuno na shanga kama zote?
Acha ushabiki Bibie,Maji tu waliopelekewa Wananchi wanaosikiliza Kesi ya kubabikwa inayomkabili Mwamba Mbowe yanakutoa roho,mbona unaroho mbaya kiasi hicho we Dada.Kwenye basi ukisafiri unashauriwa usinubali kupokea maji au chakula kwa abiria mwenzio usiyemjua sembuse mahakamani? Jitu linakuja hujui lilikotokea linaanza kukugawia maji na wewe unapokea tu na kunywa akili unazo wewe?
Aibu kubwa sana kwa wazazi wako , hivi umembiwa ni maji ya kandoro yale ?Kwenye basi ukisafiri unashauriwa usikubali kupokea maji au chakula kwa abiria mwenzio usiyemjua sembuse mahakamani? Jitu linakuja hujui lilikotokea linaanza kukugawia maji na wewe unapokea tu na kunywa akili unazo wewe?
Kuna TBS hapo mahakamani au Kuna mamlaka ya chakula na dawa yaani TFDA ya kuthibitisha kuwa hayo maji sio ya kandoro?Aibu kubwa sana kwa wazazi wako , hivi umembiwa ni maji ya kandoro yale ?
Enzi za Jiwe jamaa ingekula kwake 😅 ila kwa sasa amani tu!Rushwa hiyo,huyo atafutwe na ahojiwe ,katumwa na Nani!?, na kisudio lake ni Nini!? je anatafuta namna ya kuwashawishi watu walundikane hapo viwanja vya mahakama!?
Sasa tumetoka kwa muuza mbege wa Rau Madukani tumekuja kwa mgawa maji wa Mawasiliano mahakamani.Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.
Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.
View attachment 2015124
Kisa maji ya jero be seriousKuwahonga raia wajae mahakani ili kumtishia jaji [emoji854][emoji56]
Hata huyo bi mkubwa wake nae anasaidia kupeleka siku mbele,,,,Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.
Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.
View attachment 2015124