Pre GE2025 Mdau: Mgombea Urais wa pili kwa wingi wa kura awe Mbunge moja kwa moja

Pre GE2025 Mdau: Mgombea Urais wa pili kwa wingi wa kura awe Mbunge moja kwa moja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Serikali ilitoa fursa ya Vyama vya siasa kutoa maoni ya Mabadiliko ya sheria za Tume ya Uchaguzi,kama sikosei Chadema walisusa wakidai wanataka Katiba Mpya ilhali wanajua mda hautoshi.

My Take
Binafsi naunga mkono wazo hili ila Sasa shida ya kususa ya nyie Machadema ndio zinawatokea Puani.

In case Mbunge kafariki ,chama kilichokuwa na Mbunge kitoe mtu Moja kwa Moja bila uchaguzi mwingine tena.

======
Mara baada ya Zitto Kabwe kutangaza adhma yake ya kurejea kwenye mbio za kuutaka Ubunge kwenye uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025, Mtumiaji maarufu wa mtandao wa X (zamani Twitter) Bwana Onesmo Mushi amechapisha andiko lake mtandaoni akieleza kuwa wapo wanasiasa ambao anatamani wangerejea bungeni katika Bunge lijalo. Wasiwasi wake Mkubwa akiwataja baadhi yao kama Tundu Lissu,
Freeman Mbowe na Zitto Kabwe.

Amesema bahati mbaya ni kuwa haiwezekani wote wakarejea bungeni kutokana na uwezekano mkubwa wa mmoja wao kujitosa kwenye nafasi ya kuwania Urais wa nchi." Realistically speaking, ingekuwa faida kubwa sana kwa watanzania kama Mbowe na Lissu nao wangegombea ubunge na kurejea bungeni......

Kwa bahati mbaya haitawezekana kwa sababu mmoja anabidi ajitoe sadaka kwa maslahi makubwa ya chama. "I really wish kungekuwa na sheria inayomfanya first runner-up wa uchaguzi wa kiti cha Urais automatically kuwa mbunge." Amenukuliwa andiko lake.

Chanzo: Jambo TV
 
Nadhani ni wazo zuri kwani mtu amepata kura zaidi ya milioni anakubalika na watu wengi. Kuna wabunge wana kura chini ya elfu, hawa hawastahili kuwa hata madiwani!
 
Hamna logic labda aseme wa viti maalumu , hao wagombea wa urais bado wana nyadhifa kweneye vyama vyao .
 
Serikali ilitoa fursa ya Vyama vya siasa kutoa maoni ya Mabadiliko ya sheria za Tume ya Uchaguzi,kama sikosei Chadema walisusa wakidai wanataka Katiba Mpya ilhali wanajua mda hautoshi.

My Take
Binafsi naunga mkono wazo hili ila Sasa shida ya kususa ya nyie Machadema ndio zinawatokea Puani.

In case Mbunge kafariki ,chama kilichokuwa na Mbunge kitoe mtu Moja kwa Moja bila uchaguzi mwingine tena.

======
Mara baada ya Zitto Kabwe kutangaza adhma yake ya kurejea kwenye mbio za kuutaka Ubunge kwenye uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025, Mtumiaji maarufu wa mtandao wa X (zamani Twitter) Bwana Onesmo Mushi amechapisha andiko lake mtandaoni akieleza kuwa wapo wanasiasa ambao anatamani wangerejea bungeni katika Bunge lijalo. Wasiwasi wake Mkubwa akiwataja baadhi yao kama Tundu Lissu,
Freeman Mbowe na Zitto Kabwe.

Amesema bahati mbaya ni kuwa haiwezekani wote wakarejea bungeni kutokana na uwezekano mkubwa wa mmoja wao kujitosa kwenye nafasi ya kuwania Urais wa nchi." Realistically speaking, ingekuwa faida kubwa sana kwa watanzania kama Mbowe na Lissu nao wangegombea ubunge na kurejea bungeni......

Kwa bahati mbaya haitawezekana kwa sababu mmoja anabidi ajitoe sadaka kwa maslahi makubwa ya chama. "I really wish kungekuwa na sheria inayomfanya first runner-up wa uchaguzi wa kiti cha Urais automatically kuwa mbunge." Amenukuliwa andiko lake.

Chanzo: Jambo TV
Nani ajuaye kama huyu mgombea Toka Tanganyika hatashinda
 
Hamna logic labda aseme wa viti maalumu , hao wagombea wa urais bado wana nyadhifa kweneye vyama vyao .
Mawazo Yao kwenye Bunge ni logic na kumbuka walikuwa na watu waliowapigia kura
 
Labda awe waziri mkuu..ingemake sense
 
Hamna logic labda aseme wa viti maalumu , hao wagombea wa urais bado wana nyadhifa kweneye vyama vyao .
Hoja ni mwakilishi bungeni anayekubalika na watu wengi. Kuwa na wadhifa kwenye chama hata Samia ana wadhifa na ndiye Mwenyekiti!
 
Sio mbunge labda nafasi ya uwaziri mkuu .
Upuuzi,hapo Sasa tutakuwa tunataka kuwa na Serikali ya mseto ambayo improve Kushindwa Duniani kote Kwa sababu zinaishia kuwa na migogoro.

Utasikamia sera zipi na ilani gani? Bora akawe Mbunge Ili awe Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
 
Ameongea sahihi ila ningependa awe waziri na sio mbunge, kama mtu ameweza kupata kura zaidi ya 3m huyo anauwezo wa kusimamia wizara.
 
Ameongea sahihi ila ningependa awe waziri na sio mbunge, kama mtu ameweza kupata kura zaidi ya 3m huyo anauwezo wa kusimamia wizara.
Siyo waziri tu awe waziri mkuu ama makamu wa Rais
 
Akiwa Waziri atasimamia sera za chama gani?
Ya ccm.
kwan yule dogo nassari aliyekuwa Chadema na sasa hv n mkuu wa wilaya huko cjui wapi anasimamia sera za chama gn?
Au yule mwanamke aliyegombea urais nimesahau jina lake ambaye sasa hv n mkuu wa mkoa anasimamia sera za chama gn?
 
Back
Top Bottom