Dunia nzima, inaikubali nguruwe kuwa ndio chanzo kikubwa sana cha protein.Mimi ni mlaji mxur wa Nyama hamna Nyama tam kama kitimotoz
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Niko tayari kwa dina mkuu, ni matumaini yangu kuwa ombi langu litakubaliwa.
Natanguliza shukrani.
[B ] Alihamdulilah bei imeshuka basi mambo ya kheri hayo. Nanunua kilo 3. Naweka ndani natomboka kikongo na nguruweRamadhan ni yako na ndugu zako. Tuache Wagalatia tunufaike na punguzo la NUSU BEI kwa mwezi huu.
Njoo Mama land ukimaliza makaburi tuuh kuliaWakuu pande za gongo la mboto napata wapi hii huduma karibu??
Kwa lipi mkuuAisee bongo itageuka Allepo ohooo!
Yaani nikienda hotelini natakaga menu kama hii!!! Sio kiepe kuku, sijui pizza...
Alafu blessings nakutafutaga ujuee!!!Ramadhan ni yako na ndugu zako. Tuache Wagalatia tunufaike na punguzo la NUSU BEI kwa mwezi huu.
Wanazingua kivipi..?Oya mnazingua watu tumefunga jamani
ile bar iliopo upande wa juu mkuu?,..na wanatoa kikiwa kwenye ubora wa hali ya juu,nifunge safar saiv?Njoo Mama land ukimaliza makaburi tuuh kulia
Mbona wanakula sana na wananunua sana pale Morogoro na kusafirisha Zanzibar na nyingine inaenda DubaiRosti mboga mboga!!! Hii kitu na ugali ni habari nyingine.
Kunarafiki yangu mpemba watuwalimufanyia umafia,,,Aliingia getto Kakuta watu wanapiga wakamkaribisha akapiga msosi mpaka anajing'ata vidole na kuisifu kwa kuwa ilikuwa imelosotiwa vilivyo.
Baada ya kuambiwa Nyama ni ya mbuzi katoliki aliishiwa pozi lakini naamini alitoka na majibu swafi kabisa kuhusu uzushi wa mbuzi huyu pendwa!!
Mkuuu fika hapa Oriental pub mara moja tafadhaliNapendaga nikishalewa bapa langu la Konyagi pale MINJA PUB~ Majengo Moshi,nang'ata pande mbili mdudu na mbogamboga ,kwa ugali mbili.
Kinachofuata ni maji kubwa ya Kilimanjaro baridiiii then narudi home kulala.
Namm napenda [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi napenda kavu kavu bana
Jamani hii sasa Misifa ..[emoji12]Kitu cha kuchoma mkuu, ndiyo napata hapa! KARIBU sana Kiongozi
"Bar mpya" kwa kasilatiNapat wapi kitimoto kigamboni