M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Wateja wamepungua ghafla.Eti punguzo la nusu bei. ........kwa nini punguzo mwezi huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wateja wamepungua ghafla.Eti punguzo la nusu bei. ........kwa nini punguzo mwezi huu
Wasubiri subiri, kwani mwezi siku ngapi bwana............ndio maana tunawatia hamu mkuu?!usiwaze bado 29dy mtarudi kundini hahahah.
Nadhani ndo maana wauzaji wameshusha bei sana aisee, kitimoto rosti na ndizi 2...6,000TSHS?? uliona wapi?Wasubiri subiri, kwani mwezi siku ngapi bwana
Kutokea fery Panda dala dala za mji mwema shukia kituo knaitwa maweni anza kutembea Kwa mguu kupandsha mji mwema utakuta sheli upande Wa kushoto kuna bar inaitwa liquid bar .....k utatukuta live tunaendeleza kufunga weekSawa kigamboni, sehem gani
Upo wapMm tafadhari
Ramadhani Daudi BashiteMchana wa ramadhani wa wapi?
Huo muwasho ndo utamu wenyewe huo!Kwann ule pesa yako kwa muwasho
Hahahha ya muwasho hainogiHuo muwasho ndo utamu wenyewe huo!
Kama umebadil ratiba ya Milo unatafuta nini huku?Kisa tu tumefunga.
Nipo hapaMbogamboga kwa ndizi weeeeee nan nmtoe dina Leo
[emoji23][emoji23]
Njoo mbeya carnival hotelNipo hapa
Sawa..... Namba yako please!!!Njoo mbeya carnival hotel
Niko tayari kwa dina mkuu, ni matumaini yangu kuwa ombi langu litakubaliwa.Mbogamboga kwa ndizi weeeeee nan nmtoe dina Leo
[emoji23][emoji23]