Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati na wenyewe wa kiugua au kuuguliwa na wana famila zao wana ende hospitali sio kanisani,.......Africans are crazy pple
Ngoja waje tuone kivumbi
muujiza kwa mchungaji ambaye ni mtumishi wa Mungu unaweza kufanywa sehemu yeyote, kama anayeombewa ana imani. shida ni kwamba wale wanaoombewa imani ni haba ndio maana hawaponi. haimaanishi maombi hayaponyi, noo.
Sema umeanza vzr ukamaliza vibayamuujiza kwa mchungaji ambaye ni mtumishi wa Mungu unaweza kufanywa sehemu yeyote, kama anayeombewa ana imani. shida ni kwamba wale wanaoombewa imani ni haba ndio maana hawaponi. haimaanishi maombi hayaponyi, noo.
muujiza kwa mchungaji ambaye ni mtumishi wa Mungu unaweza kufanywa sehemu yeyote, kama anayeombewa ana imani. shida ni kwamba wale wanaoombewa imani ni haba ndio maana hawaponi. haimaanishi maombi hayaponyi, noo.
kuombewa kokote kule kunahitaji kuambatana na imani.hata Yesu mara chache sana, kama exception aliponya watu bila kuwauliza kama wanaamini.Sema umeanza vzr ukamaliza vibaya
ili upone, unahitaji kuamini kuwa Mungu anaweza kukuponya. chochote Mungu anafanya kwetu connection yake na sisi ni imani. mwamini yeye tu kwamba anaweza kufanya, shida watu wanaugua kumbe wanakunywa madawa ya waganga na wachawi, kiunoni ana hirizi, imani yake ipo kwa mganga wa kienyeji au mizimu, mtu kama huyo hata ukimwekea mkono ataponaje? labda kwa exceptions sana ila sio always.
- Kwanini wachungaji hawaendi kuwaombea wagonjwa huko hospitalini?
- Unataka kutuambia ukilazwa hospitali unaugua ugonjwa mwingine wa imani haba?
Jibu swali kwanini hawaendi hospitali?muujiza kwa mchungaji ambaye ni mtumishi wa Mungu unaweza kufanywa sehemu yeyote, kama anayeombewa ana imani. shida ni kwamba wale wanaoombewa imani ni haba ndio maana hawaponi. haimaanishi maombi hayaponyi, noo.
Maaskofu na wachungaji nao wanayafanya haya? Maana nao wanaugua na kufashida watu wanaugua kumbe wanakunywa madawa ya waganga na wachawi, kiunoni ana hirizi,
wanaenda sana, uliza madaktari wakuambie kama hamnaga watu wanaenda kuomba kutembelea wagonjwa na kuwaombea. haujawahi kuona? subiri uugue watakuja ili uthibitishe.Jibu swali kwanini hawaendi hospitali?
kwani umeambiwa hawatakufa? au hawataugua? wanaugua, na wanaombewa na wanapona pia, siku hizi hizi kuna watu wanaombewa na kupona. kupona kupo,Maaskofu na wachungaji nao wanayafanya haya? Maana nao wanaugua na kufa
Hospitali zisingekuwa na kazi.wanaenda sana, uliza madaktari wakuambie kama hamnaga watu wanaenda kuomba kutembelea wagonjwa na kuwaombea. haujawahi kuona? subiri uugue watakuja ili uthibitishe.
Hakuna formula ya muujiza maana muujiza hatokea nje ya sayansi ya kawaida kwa hyo mtu anaweza akawa hana imani ila akapata muujiza au anaweza akawakuombewa kokote kule kunahitaji kuambatana na imani.hata Yesu mara chache sana, kama exception aliponya watu bila kuwauliza kama wanaamini. yeyote alikuwa akiulizwa kama ameamini anaambiwa umepona. though imani nyingine ilikuwa kwa njia ya matendo, hata kama hujasema matendo yako yanaonyesha una imani. mfano, akida aliposema wewe sema tu neno, au walipotoboa dari kupitisha mgonjwa hadi alipo, ni vitu viwili tofauti.
Usiseme dini ni utapeli sema matapeli wanatumia diniHospitali zisingekuwa na kazi.
Huko wanaenda wachungaji kutubisha tu
Dini ni utapeli mwanzo mwisho
Mungu hayupo na dini ni utapeli.Usiseme dini ni utapeli sema matapeli wanatumia dini
Kwa mujibu wakoMungu hayupo na dini ni utapeli.