Mdau yupo sahihi kuhusu Wachungaji na Mahospitali?

Mdau yupo sahihi kuhusu Wachungaji na Mahospitali?

Hakuna formula ya muujiza maana muujiza hatokea nje ya sayansi ya kawaida kwa hyo mtu anaweza akawa hana imani ila akapata muujiza au anaweza akawa
Labda nikupe mfano common wa Sara hakuwa na matumaini ya kupata mtoto tena kwa Ibrahim ndo maana alishamruhusu azae na kijakazi wake lakini alipata muujiza bila hata ya kuwa na Imani
Kwa hiyo sio lazma uwe na Iman ndo upate muujiza
kuna kitu kinaitwa muujiza, na kuna kitu kinaitwa uponyaji. hata kama vyote vinaitwa miujiza ila kingine kinatokea baada ya imani ila kingine hata bila imani kinatokea.
 
Kwamba alitakiwa nabii/mtume mmoja aweke mkesha, aweke kambi pale hospitali ya rufaa mbeya.
Achape maombi, siku inayofuata vitanda viwe tupu bila wagonjwa. Wafanyakazi, manesi na madaktari wapewe likizo ya lazima kutokana na kukosekana wagonjwa.
 
muujiza kwa mchungaji ambaye ni mtumishi wa Mungu unaweza kufanywa sehemu yeyote, kama anayeombewa ana imani. shida ni kwamba wale wanaoombewa imani ni haba ndio maana hawaponi. haimaanishi maombi hayaponyi, noo.
Acha ujinga wewe, Yesu alipomfufua Lazaro si Lazaro alikuwa amekufa tayari, au Lazaro alikuwa anasikia na kuamini ndiyo akafufuka? Wizi tuu.
 
Acha ujinga wewe, Yesu alipomfufua Lazaro si Lazaro alikuwa amekufa tayari, au Lazaro alikuwa anasikia na kuamini ndiyo akafufuka? Wizi tuu.
sasa hili tusi la ujinga linakufanya ukose vigezo na hadhi ya kujadili na mimi. tafadhali jadili na wengine.
 
Ni kuna ukweli asilimia 45, lakini hii sio sababu kuu....sababu kuu ni kwamba hospitalini kuna utaratibu kanuni na sheria zake hivyo haitakua busara kuchanganya taaluma/utaratibu wa hospitali na masuala ya kiimani.

Pia sio kwamba wale wanaoombewa kwenye makongamano basi ni wanaigiza, Hapana! ninajua michezo iyo ipo kwa baadhi ila pia wapo wanaofanya kweli na mtu anapokea uponyaji.

Kitu cha kuzingatia ni kwamba kati ya hawa Watumishi tunaowaona sio wote wanatumia uwezo/nguvu za Mungu,

wengine ni matapeli(trick))

Wengine ni wanatumia nguvu za giza.
 
Acha ujinga wewe, Yesu alipomfufua Lazaro si Lazaro alikuwa amekufa tayari, au Lazaro alikuwa anasikia na kuamini ndiyo akafufuka? Wizi tuu.
Imani yakuombea ipo hivi 1) wewe unayeomba kwanza uwe na imani 2) unayeombewa uwe na imani na uamini 3) kama inahusisha familia baba/mama na wao wawe na imani
 
muujiza kwa mchungaji ambaye ni mtumishi wa Mungu unaweza kufanywa sehemu yeyote, kama anayeombewa ana imani. shida ni kwamba wale wanaoombewa imani ni haba ndio maana hawaponi. haimaanishi maombi hayaponyi, noo.

Hivi kama ndio jibu hilo, mbona riziki anapata kila mtu? Awe na dini ama asiye na dini? Iweje kupona ugonjwa mchungaji awe specific kwa iman yake tu? Mfano sisi waislam ruqya tunamsomea yeyote awe muislam ama dini nyingine na anapona...iweje huyo mchungaji achague wa iman yake tu?
 
Imani yakuombea ipo hivi 1) wewe unayeomba kwanza uwe na imani 2) unayeombewa uwe na imani na uamini 3) kama inahusisha familia baba/mama na wao wawe na imani
Wakati wa ugonjwa ndio wakati mtu anakuwa na imani sana. Mwamposa angetenga hata siku moja kwa wiki awe anatembelea hospitali kama ocean road au Muhimbili.
 
muujiza kwa mchungaji ambaye ni mtumishi wa Mungu unaweza kufanywa sehemu yeyote, kama anayeombewa ana imani. shida ni kwamba wale wanaoombewa imani ni haba ndio maana hawaponi. haimaanishi maombi hayaponyi, noo👍👍👍
 
muujiza kwa mchungaji ambaye ni mtumishi wa Mungu unaweza kufanywa sehemu yeyote, kama anayeombewa ana imani. shida ni kwamba wale wanaoombewa imani ni haba ndio maana hawaponi. haimaanishi maombi hayaponyi, noo.
Na huyu 👇
Je alikuwa na imani haba?
Kwanini alikwenda hospitali?

 
Back
Top Bottom