Katesh stand
Member
- Sep 24, 2020
- 41
- 75
- Thread starter
- #21
Acha kutukanaLEO HII ANAITWA MDEE, SIO MSALITI NA COVID 19 TENA?? MBONA MNAHANGAIKA KAMA KUKU ANAETAFUTA PAKUTAGA?? WAACHENI WABUNGE WAWATU WASIO NA CHAMA WAFANYE KAZI ZAO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutukanaLEO HII ANAITWA MDEE, SIO MSALITI NA COVID 19 TENA?? MBONA MNAHANGAIKA KAMA KUKU ANAETAFUTA PAKUTAGA?? WAACHENI WABUNGE WAWATU WASIO NA CHAMA WAFANYE KAZI ZAO.
Ndo jambo nililoshauri mkuu.Kusamehewa kawaida, mbona Sofia Simba na jesca msavatavangu wakifukuzwa ccm na walisamehewa?
Sio kweli mkuu, hakuna mbunge aliyejiunga tayari na CCM mpaka muda huu😀😀😀Na wakawe wabunge wa huko huko... huku chadema, wameishamaliza kulea kukuza.... waende sasa wakaolewe huko waendapo..
Maendeleo haya chama
Wakiona kweli walikikosea chama Chao waombe radhi Mambo yaendelee.Ndo jambo nililoshauri mkuu.
Hakuna kitu Kama hichi, nyepesinyepesi zinasema halima kashauriwa na ndugu zake atulie kwanza na ikiwezekana akaombe msamaha chadema.ni za mtaaniChanzo cha taarifa hizi ni kipi mkuu!?.
Ubunge gani wakati msimamo wa chama ni kutoyatambua matokeo!?Wakisamehewa wataendelea na ubunge wao?
Hakuna cha wabunge wakati hakukuwa na uchaguzi,ccm zigo limewaangukia wamepata busha uzeeni.Wanalo.Wakisamehewa wataendelea na ubunge wao?
Ubunge ndo Basi Tena, wakapambane mtaani Kama wamama wengine wanavyopambanaWakisamehewa wataendelea na ubunge wao?
Bado asubuhi atakuwa hajalewa.Kama hujalewa sawa..
shida huyu full makosa mara "msamaa "badala ya msamaha, "hujalewa "badala ya hujaelewa, sijui hawa Lumumba buku7 fc shule haikuwasaidia!?.Bado asubuhi atakuwa hajalewa.
Kumbe hata ndugu zake wameona kwamba amekosea? Akiomba msamaha ajitoe na ubunge maana ndicho kinachosababisha ashauriwe kuomba msamaha. Amewatumbukiza wenzake shimoni, sasa sijui kama katika hilo atafanikiwa kuwatoa wenzake kama yeye akisamehewa.Hakuna kitu Kama hichi, nyepesinyepesi zinasema halima kashauriwa na ndugu zake atulie kwanza na ikiwezekana akaombe msamaha chadema.ni za mtaani
Wapi nimesema wamejiunga ? Mie nimesema waende 😄😄😄Sio kweli mkuu, hakuna mbunge aliyejiunga tayari na ccm mpaka muda huu😀😀😀