Mdhamini mkuu wa Yanga GSM kudhamini timu nyingine saba za ligi kuu siyo fair

Mdhamini mkuu wa Yanga GSM kudhamini timu nyingine saba za ligi kuu siyo fair

bahatibahati

Member
Joined
Jul 4, 2023
Posts
44
Reaction score
84
GSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.

Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani? Mbona halaumu kuhusu Hilo suala.

CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo

Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate soka letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.

Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wapo mfukoni.
 
sddefault.jpg
 
GSM Kudhamini timu NYENGINE saba za LIGI KUU SIYO FAIR.
Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu NYENGINE kushitaki fifa.
Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa.
Hivi m/kiti wa Simba ana shida gani ?mbona halaumu kuhusu Hilo SUALA.
CEO wa Simba mbona halisemei Hilo?
Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo
BILA ya kuzuia udhamini HUO wa GSM.yanga itadominate slow letu kwa miaka mingi.
Rais wa Tff yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho@mwezi
Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wall mfukoni
Ukiona wote uliowataja wapo kimya ujue hakuna shida shida ipo kichwani mwako
 
GSM Kudhamini timu NYENGINE saba za LIGI KUU SIYO FAIR.
Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu NYENGINE kushitaki fifa.
Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa.
Hivi m/kiti wa Simba ana shida gani ?mbona halaumu kuhusu Hilo SUALA.
CEO wa Simba mbona halisemei Hilo?
Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo
BILA ya kuzuia udhamini HUO wa GSM.yanga itadominate slow letu kwa miaka mingi.
Rais wa Tff yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho@mwezi
Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wall mfukoni
Timu gani hizo
 
GSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.

Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani ?mbona halaumu kuhusu Hilo suala.

CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo

Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate slow letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.

Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wall mfukoni.
Kama timu zipo 16, na wewe dhamini zilizobaki.
 
GSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.

Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani ?mbona halaumu kuhusu Hilo suala.

CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo

Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate slow letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.

Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wall mfukoni.
Kwani kuidhamini timu ndiyo haitaifunga yanga ama haitafungwa na timu nyingine
 
Mkuu ili sio tatizo, ni suala lipo linaruhusiwa katika soka kwa upande wa matangazo na udhamini. Ata ukiangalia ulaya kwa mfano Kampuni ya Redbull inamiliki na kudhamini clubs zaidi ya 4 ,Fly emirates inadhamini clubs zaidi ya 5 ,Etihad pia zaidi ya clubs 3 na zote izi uwa zinakutana sometimes kwenye michuano mbalimbali .Na ata kuna kipindi fulani Sportpesa ilidhamini klabu zaidi ya 4apa Tanzania Yanga,Simba,Namungo,Singida united pia. Kampuni za Mo pia ziliwai dhamini klabu mbili kwa wakati mmoja yaani Simba na African luon . Suala la msingi ni je zinavunja sheria gani ya mpira ?
 
GSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.

Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani? Mbona halaumu kuhusu Hilo suala.

CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo

Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate soka letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.

Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wapo mfukoni.
Ni fair kwa Azam kudhamini timu zote? No fair kwa NBC kudhamini timi zote?
 
GSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.

Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani? Mbona halaumu kuhusu Hilo suala.

CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo

Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate soka letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.

Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wapo mfukoni.
Inaruhuiwa kisheria na kikanuni.
Mdhamini mkuu haruhusiwi kudhamini zaidi ya klabu moja.
GSM si mdhamini mkuu bali ni mdhamini mdogo hivyo anaruhusiwa kudhamini klabu zozote azitakazo kutangaza biashara zake.
Ikiwa inakuuma sana chukua kamba ya manila jining'inize mtini.
 
GSM Kudhamini timu nyingine saba za Ligi kuu siyo FAIR. Kinachotakiwa kwa Sasa ni timu nyingine kushitaki FIFA.

Barbara Gonzalez alipambana na Hilo na akafanikiwa. Hivi Mwenyekiti wa Simba ana shida gani? Mbona halaumu kuhusu Hilo suala.

CEO wa Simba mbona halisemei Hilo? Msemaji wa Simba mbona halisemei Hilo

Bila ya kuzuia udhamini huo wa GSM. Yanga SC itadominate soka letu kwa miaka mingi.
Rais wa TFF yupo mfukoni kwa GSM na huenda analipwa posho ya mwezi.

Viongozi wa timu zinazodhaminiwa na GSM wapo mfukoni.
GSM kudhamimi Vilabu vingine NBC Premier League kuna Uhusiano upi wa Kiufundi kwa Simba SC yangu iliyo mbovu?
 
Back
Top Bottom