Mdogo mdogo, Diamond atabwia unga

Mdogo mdogo, Diamond atabwia unga

Kufikia hatua ya kubwia unga ni stage ya mbali sana...nazan tungoje kwanza aanze kunywa pombe.
 
sifahamu sana tabia za diamond,ila hivi karibuni kuna siku alitembelea ofisi fulani hivi ambayo nami pia nilikuwa mgeni kama yeye.

hapo ndio nilimuona diamond kwa ukaribu zaidi. kwa hakika alonekana mchovu sana kwa maana ya kuchoka.na macho yake yalikuwa yanaonyesha kama mtu mwenye uzingizi.

nilijiuliza maswali mengi sana kuanzia uchovu wa kazi mpaka matumizi ya "bwimbwi".
ni uchovu wa shoo!kubwia labda mlikuwa wote chimbo

Jigo
 
Pale mtu anavyo mjua mhusika kuliko mhusika anavyo jijua....
 
It's just a matter of time. UK iona msanii hawezi kujicontrol na mwili wake ujue nyuma ya pazia no mengi. Diamond kaanzia viheleni, kaanza kuchora mwili, kakaanga meno. Unga uko njiani
 
Where do you people get these answers !!!!
...mkuu mi nna aleji na kidhungu bhana!..nimebaki kutoa mimacho tu kwenye hiyo avatar!
....(ila kama matusi,mwenyewe lakini nsije nikasahau!)
 
Kufikia hatua ya kubwia unga ni stage ya mbali sana...nazan tungoje kwanza aanze kunywa pombe.
Kwa taarifa yako wabwia unga wengi huwa wana skip hiyo stage ya pombe wanarukia unga moja kwa moja,kwa hiyo haitakuwa jambo la kushangaza kusikia kuwa Diamond Platinumz ni teja.
 
Huu ushauri ungemfikia vizuri kama ungeenda kuandika kwenye page yake ya FB au IG
 
Haswaaa. Huyu jamaa Luqman Maloto aliwahi kuandika makala kumuonya Ngwear R.I.P na TID kuhusu ngada ila wakasema wanasingiziwa,but mwisho wake ulionekana.huyo jamaa ni muhariri mkongwe na yupo makini sana na kazi yake ndio maana hai
 
Vitu vya kifahari ni for social satisfaction wakati anasa ni for personal satisfaction! Na generally, starehe ni chanzo cha matatizo mengi lakini ufahari hauna matatizo yoyote yale unless uwe unataka ufahari wakati uwezo huna!

simpendi huyu mwandishi,huwa anafikiri anajua kuliko kila mtu na sijui nani kampa fursa ya kua 'askari wa kujitolea' wa wasanii!??
kama hajakuelewa mpaka hapa,basi kichwa yake imejaa upupu tu.
 
Kufikia hatua ya kubwia unga ni stage ya mbali sana...nazan tungoje kwanza aanze kunywa pombe.
Mdau usisahau kua hata Kanumba RIP hakua anakunywa pombe kilichomkuta????malizia mwenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wasanii wengi wanatumia ngada kisirisiri wakiwemo Recho THT,Wolper,Young D,Blue, Daz Baba
 
My take;
1.kwa kua muandishi amebobea kwenye habari za udaku inawezekana tayar amepata tetesi kua msanii pendwa anagonga unga hivyo ameleta JF kua mtu wa kwanza kutujuza.

2. Kuishi maisha bila misingi ni tatizo kubwa sana , msanii pendwa Hana misingi maisha yake yanaongozwa na mihemko anapelekwa tu mawimbi yanapotaka aende.

Andiko hili lina mashiko sana, ni suala la muda

1. Sasa ni kipi alianza? Alianza kutumia ngada au kutoboa na kuweka gold tooth?

2. Soma ulichokiandika, rudisha akili kwa Diamond tangia 2009 wakati anaanza kisha rudi kwako mwenyewe! Na baada ya hapo rudi tena kwenye hoja yako #2; rudi tena kwako mwenyewe kisha tafakari!!
 
simpendi huyu mwandishi,huwa anafikiri anajua kuliko kila mtu na sijui nani kampa fursa ya kua 'askari wa kujitolea' wa wasanii!??
kama hajakuelewa mpaka hapa,basi kichwa yake imejaa upupu tu.
Mwenyewe anajiita Mchambuzi lakini anashindwa hata kutofautisha vitu vidogo vidogo!!
 
sure....Pesa hulewesha.
Sio kila kitu cha kuiga.
Wewe Pulatinam baba Tiffah Grillz waachie akina Plies.
Kutokuwa na alama pia ni alama.
 
Mbona unalinganisha angle mbili tofauti? Kwanini usifikirie ataanza kuvaa chupi mitaani na ufikirie unga wakati trend yake haiyoneshi hivyo? Kwanini usifikirie ataanza kunyoa kipara au kuwa na rasta kichwani kama trend inavyoonesha?

Hivi dressing na starehe ni kitu kile kile? Manake ninachoona; mvuta sigara, bangi, unga, shoga, basha n.k hawa wanatafuta STAREHE! Kwahiyo anayetupia gold kila possible angle, anayependa pamba, viatu vya gharama, gari zuri... hivi huyu nae anatafuta starehe?!

Ukipata muda, jiongezee maarifa kati ya dhana mbili tofauti: STAREHE vs UFAHARI! Intro tu ni kwamba, majority ya wapenda starehe wanapenda pia kufanya ufahari ingawaje sio wote wana uwezo huo! Hata hivyo, kupenda ufahari si lazima kuendane na starehe ingawaje wenye kufanya ufahari wote wana uwezo wa kiuchumi wa kufanya na starehe!
Hawa ndo pale unakuta mtu ana bonge la mjumba wakati hana familia ; ana magari zaidi ya 7 wakati yupo peke yake, ana Smart tv ya Sh. 100M, nyumba ina gold accessories everywhere; yeye mwenyewe anavaa magram kwa grams ya germ stones accessories lakini usije kushangaa ukiambiwa hata ukianza kuvuta sigara mbele yake anaondoka!

Na ukitaka kugundua mahaba ya Diamond sio vitu vya kutafuta starehe bali vitu vya ufahari, anza jinsi alivyoirembaremba nyumba yake; rudi jinsi anavyoiota Rolls Royce, angalia hata ofisi yake tu!

Vitu vya kifahari ni for social satisfaction wakati anasa ni for personal satisfaction! Na generally, starehe ni chanzo cha matatizo mengi lakini ufahari hauna matatizo yoyote yale unless uwe unataka ufahari wakati uwezo huna!
Ufahari pia una matatizo....kwa mtu anayeamini katika dini.
Ikiwa unayo imani ya dini basi utaelewa dhana mbaya kujifaharisha.
 
Ufahari pia una matatizo....kwa mtu anayeamini katika dini.
Ikiwa unayo imani ya dini basi utaelewa dhana mbaya kujifaharisha.
Kwa muktadha huu suala la dini hapo halipewi nafasi but tunaangalia kidunia kwa sababu mchezo wenyewe wote umekaa kidunia dunia!
 
Kwa muktadha huu suala la dini hapo halipewi nafasi but tunaangalia kidunia kwa sababu mchezo wenyewe wote umekaa kidunia dunia!
Ndo mana nikasema kwa mtu anayeamini katika dini, maana mtu yeyote mwenye kuamini katika dini basi hawezi kuiacha dini akaitazama dunia tu peke yake.
Basi sawa mkuu wangu.
 
Back
Top Bottom