Kwa hicho kinywaji hapakuchi salama hapo utakula mauno ya shetan mpaka morningBasi bwana,
Nimetoka zangu bustanini kung'olea majani na kumwagilia mboogambooga. Naingia ndani nakuta missed call 8 kuangalia ni binamu.....
Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....
Wangu wangu hadi kwa binamu, nafika ananikaribisha mezani....
View attachment 2116512
Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....😬.
Naomba Mungu pakuche salama nirejee kwangu 🙄.
Kawaida ni ileile, Haba ni la Baba.
Kasinde.
Eka du wau..[emoji23]Weshuuu, nzeezee...???! [emoji1][emoji1]
Binamu nyama ya hamu [emoji3]Basi bwana,
Nimetoka zangu bustanini kung'olea majani na kumwagilia mboogambooga. Naingia ndani nakuta missed call 8 kuangalia ni binamu.....
Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....
Wangu wangu hadi kwa binamu, nafika ananikaribisha mezani....
View attachment 2116512
Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....[emoji51].
Naomba Mungu pakuche salama nirejee kwangu [emoji849].
Kawaida ni ileile, Haba ni la Baba.
Kasinde.
Ohoho.... Kipochi kimeungua huko...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani, nimepambana nayo usiku kucha.
Nashukuru kumekucha salama, nimerejea kwangu salama [emoji846]
Sio kwamba ulikua tabibu kwa binamu ukauacha usingizi wako...ila binamu yako nae wa kwetu Avae?Hajanifukuza nimemuaga japo alitaka niendelee kukaa kwake...
Usingizi umenizidia, hapa najiandaa kulala.
Maana sijalala usiku mzima, niliogopa kumchekea nyani..[emoji1] asubuhi hii ningejikuta nakula mabua.
Ukirudi..mwambie binamu nina hanson choice yake kubwa...kilo mbili rost...na ndizi mbili....Ya hongera...!Hapana,
Niko salama salimini.
Only toilet bowl see my pant and the P.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aisee binamu Hana huruma huyo..umekesha anataka ushinde Tena?
Sio kwamba ulikua tabibu kwa binamu ukauacha usingizi wako...ila binamu yako nae wa kwetu Avae?
🤣🤣🤣🤣Binamu shidaYaani alitaka nishinde alijua ntalala/ ntasinzia ili afanye yake..
Maana usiku kucha tulikuwa macho kodo tunakunywa na kuongea huku akiinsist nikisikia usingizi anioneshe pa kulala...
Nikamkimbia asubuhi asubuhi.
Kulikoni?