Mdogo Mdogo Hadi kwa Binamu.....🍷

Mdogo Mdogo Hadi kwa Binamu.....🍷

Basi bwana,

Nimetoka zangu bustanini kung'olea majani na kumwagilia mboogambooga. Naingia ndani nakuta missed call 8 kuangalia ni binamu.....

Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....

Wangu wangu hadi kwa binamu, nafika ananikaribisha mezani....

View attachment 2116512

Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....😬.

Naomba Mungu pakuche salama nirejee kwangu 🙄.

Kawaida ni ileile, Haba ni la Baba.

Kasinde.
Kwa hicho kinywaji hapakuchi salama hapo utakula mauno ya shetan mpaka morning
 
Basi bwana,

Nimetoka zangu bustanini kung'olea majani na kumwagilia mboogambooga. Naingia ndani nakuta missed call 8 kuangalia ni binamu.....

Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....

Wangu wangu hadi kwa binamu, nafika ananikaribisha mezani....

View attachment 2116512

Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....[emoji51].

Naomba Mungu pakuche salama nirejee kwangu [emoji849].

Kawaida ni ileile, Haba ni la Baba.

Kasinde.
Binamu nyama ya hamu [emoji3]
 
Yaani, nimepambana nayo usiku kucha.

Nashukuru kumekucha salama, nimerejea kwangu salama [emoji846]
Ohoho.... Kipochi kimeungua huko...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Kasie matata
 
Kwa hicho kinywaji hapakuchi salama hapo utakula mauno ya shetan mpaka morning

Aahahahahhaha jamaniii...

Usalama ulikuwepo Mia ya Mia na nilirejea nyumbani salama.
 
Hajanifukuza nimemuaga japo alitaka niendelee kukaa kwake...

Usingizi umenizidia, hapa najiandaa kulala.

Maana sijalala usiku mzima, niliogopa kumchekea nyani..[emoji1] asubuhi hii ningejikuta nakula mabua.
Sio kwamba ulikua tabibu kwa binamu ukauacha usingizi wako...ila binamu yako nae wa kwetu Avae?
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aisee binamu Hana huruma huyo..umekesha anataka ushinde Tena?

Yaani alitaka nishinde alijua ntalala/ ntasinzia ili afanye yake..
Maana usiku kucha tulikuwa macho kodo tunakunywa na kuongea huku akiinsist nikisikia usingizi anioneshe pa kulala...

Nikamkimbia asubuhi asubuhi.
 
Ukirudi..mwambie binamu nina hanson choice yake kubwa...kilo mbili rost...na ndizi mbili....Ya hongera...!

Unamfahamu binamu?
Sio kwa mizawadi hiyo.... hiyo K moto ntakula chupa ndo ntamfikishia 😅.
 
Yaani alitaka nishinde alijua ntalala/ ntasinzia ili afanye yake..
Maana usiku kucha tulikuwa macho kodo tunakunywa na kuongea huku akiinsist nikisikia usingizi anioneshe pa kulala...

Nikamkimbia asubuhi asubuhi.
🤣🤣🤣🤣Binamu shida
 
Back
Top Bottom