Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Actually mambo yote yaliyotabiriwa kabla ya RAPTURE yameshatokea for that matter RAPTURE is anytime most likely in less than five years from now.
Oyaaaaa dini tumeletewaKhee,hatimae yametimia nkiwa naona.Aisee.So kiama kiko karibu??Khee??Hebu nikaswali
Kwani Biblia inakuzuia kutafuta Pesa?😲Tuendelee kutafuta pesa, biblia isikufanye ufe masikini uteseke duniani na mbinguni
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kukua kwa teknolojia unaita kiama?Khee,hatimae yametimia nkiwa naona.Aisee.So kiama kiko karibu??Khee??Hebu nikaswali
Wewe mwenye akili nyingi, uliwahi kuona kwamba wiki lijalo utapata ajali? Uliwahi kuona kwamba siku mbili zijazo utafukuzwa kazi? Uliwahi kujua kwamba baada ya siku kadhaa kitu fulani kitakuwa na vikawa?Kuna ubaya gani kama linalofanyika ni jambo jema la kuzuia uhalifu...???
Kinachofurahisha stori kama hizi huwa uanzikia kwa watu duni ambao hata akili ya kukabiliana na mazingira yake ya kila siku hana..
Haha hahaUoga tu
Rapture sio kiama lakini.Ni UNYAKUO.Khee,hatimae yametimia nkiwa naona.Aisee.So kiama kiko karibu??Khee??Hebu nikaswali
Wasabato masalia kaziniActually mambo yote yaliyotabiriwa kabla ya RAPTURE yameshatokea for that matter RAPTURE is anytime most likely in less than five years from now.
What shall profit a man if he gain the whole world and get loss of his soul?.Tuendelee kutafuta pesa, biblia isikufanye ufe masikini uteseke duniani na mbinguni
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mwisho wa Dunia hakuna ajuae, hayo yote yaliyoandikwa kila kizazi kinasema yameshatimia! Kila karne kulikuwa na vita, upendo kupungua, magonjwa yasiyo na tiba, technology isiyo kifani nk na bado ule mwisho haujatimia wewe unaishangaa hiyo micro chip wakati imeanza zaidi ya karne nyuma?Actually mambo yote yaliyotabiriwa kabla ya RAPTURE yameshatokea for that matter RAPTURE is anytime most likely in less than five years from now.