Mdogo mdogo utabiri unatimia. UFUNUO 13:11-18

Mdogo mdogo utabiri unatimia. UFUNUO 13:11-18

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Screenshot_20211223-085030_Lite.jpg
 
Kuna ubaya gani kama linalofanyika ni jambo jema la kuzuia uhalifu...???

Kinachofurahisha stori kama hizi huwa uanzikia kwa watu duni ambao hata akili ya kukabiliana na mazingira yake ya kila siku hana..
Wewe mwenye akili nyingi, uliwahi kuona kwamba wiki lijalo utapata ajali? Uliwahi kuona kwamba siku mbili zijazo utafukuzwa kazi? Uliwahi kujua kwamba baada ya siku kadhaa kitu fulani kitakuwa na vikawa?

Hao unaowaita watu duni, waliyasema hayo miaka 2,000 iliyopita leo yanatokea. Walieleza na madhara yake lakini mipumbavu miabudu mishetani kama wewe, inajidai inaakili hata haijui nini kinafanyika, na hata ikisoma madhara yake haielewi.

Wewe lifyoto, uwe unafikiri kabla ya kutapanya uharo. pyuuuuuuuuuuuuuuuuut.
 
Actually mambo yote yaliyotabiriwa kabla ya RAPTURE yameshatokea for that matter RAPTURE is anytime most likely in less than five years from now.
Mwisho wa Dunia hakuna ajuae, hayo yote yaliyoandikwa kila kizazi kinasema yameshatimia! Kila karne kulikuwa na vita, upendo kupungua, magonjwa yasiyo na tiba, technology isiyo kifani nk na bado ule mwisho haujatimia wewe unaishangaa hiyo micro chip wakati imeanza zaidi ya karne nyuma?
In short mwisho wa Dunia is the day your life ends nothing else.
 
Back
Top Bottom