GentleGiant
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 585
- 546
Jesus is God.You sound like Jesus is not God!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jesus is God.You sound like Jesus is not God!!!
My God,why have you left me...he said that on the crossJesus is God.
Kwani mtabiri ni Yesu tu? Nostradamus unamjua?hamna kitu hapo, usihusishe teknologia na utabiri. Teknolojia haiwezi kubaki ilipo ni lazma ikue na kuimarika.
Hayo mambo yenu ya utabiri wa mwisho wa dunia mtangoja sana. Hakuna jipya chini ya jua hata hao mitume wa yesu waliungoja sana huo mwisho wa dunia.
Its pointless to explain anything to you Hindu who worship CowsMy God,why have you left me...he said that on the cross
We both worship mammaliaIts pointless to explain anything to you Hindu who worship Cows
Uongowewe unaejua tueleze sasa
hahahahaha Aiseee Sasa lengo ili watawale watu halafu wanawapunguza wawe billion Moja Sasa watamtawala nani Kwa idadi hiyo ambayo ni Sawa na idadi ya watu wa Nchi Moja kama china na hii Dunia ilivyokubwa watawezaje kuiendesha Ili Hali Nchi nyingi zitakua hazina wakazi?Unaijua NEW WORLD ORDER?.
Nia yao dunia nzima watu wabaki bilioni 1.ili waweze kuitawala dunia kiurahisi.
hahahahaha Aiseee Sasa lengo ili watawale watu halafu wanawapunguza wawe billion Moja Sasa watamtawala nani Kwa idadi hiyo ambayo ni Sawa na idadi ya watu wa Nchi Moja kama china na hii Dunia ilivyokubwa watawezaje kuiendesha Ili Hali Nchi nyingi zitakua hazina wakazi?
tuliza wenge kuna mahali hapo nimeandika yesu ni mtabiri au katabiri.Kwani mtabiri ni Yesu tu? Nostradamus unamjua?
kabla ya kuwaua watu wataanza kwanza kufa wao mi.ku.ndu juu. Wasijaribu kucheza na mali ya muumba, (dunia ya muumba). Lasivyo watakunya mdomoni na kula ma.ta.ko.ni na watakufa vibaya mno.Unaijua NEW WORLD ORDER?.
Nia yao dunia nzima watu wabaki bilioni 1.ili waweze kuitawala dunia kiurahisi.
Ndo wameshaanza mipango.kabla ya kuwaua watu wataanza kwanza kufa wao mi.ku.ndu juu. Wasijaribu kucheza na mali ya muumba, (dunia ya muumba). Lasivyo watakunya mdomoni na kula ma.ta.ko.ni na watakufa vibaya mno.
chamsingi wasiue watu kama wanania ya kuua watu, watangulie na wafe wao 7 × 70 Elfu.Ndo wameshaanza mipango.
Yaani itafika kipindi mtu amekaa kwenye computer Ana search tu jina.taarifa zako zote anazipata.
Tumejiandaaje ndugu zangu? Mwisho wa dunia uwepo au usiwepo, Tuishi kwa kutenda mema tukitanguliza toba ya kweli kwa Mungu aliyetuumba
Toba ni ibadaTumejiandaaje ndugu zangu? Mwisho wa dunia uwepo au usiwepo, Tuishi kwa kutenda mema tukitanguliza toba ya kweli kwa Mungu aliyetuumba
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app