GentleGiant
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 585
- 546
Bible is the only True Word of God.there's thousands of religions having the same perception
Kwa hiyo unakubaliana nazo kua madai yao kwamba vitabu vyao ni maneno ya Mungu ni kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bible is the only True Word of God.there's thousands of religions having the same perception
Kwa hiyo unakubaliana nazo kua madai yao kwamba vitabu vyao ni maneno ya Mungu ni kweli?
Yes bob naisoma haswaUnasoma Biblia?
Quran pia nayo inasemwa hivyo na waumini wake, unatumia hoja gani kupinga?Bible is the only True Word of God.
Do you know Cyrus The King of Persia?He was mentioned by NAME more than 85 years before he even existed.He was mentioned by God through prophety Isaiah. And due to this Prophecy he allowed Israelites to return home.Ni watu duni ndio kwani uongo bob?
Hayo waliyoyasema miaka 2,000 na yanatokea waliyasema specific kwa kuyataja majina na tarehe ya siku yatakayotokea au waliya organize kwa kusema kiujumla?
Huo utabiri ni wakihuni tu kama ule wa mufti kwenye mvua, hataji tarehe ye anaitisha maombi afu mvua ikija apate la kusema kua imetokana na maombi yake
Dunia haiwezi kuisha kama mche wa sabuni
Acha waseme lakini the truth will always be the truth.Dont you know Islam know Jesus existed?Quran pia nayo inasemwa hivyo na waumini wake, unatumia hoja gani kupinga?
Kama unasoma na huoni tabiri zilizotimia basi unachangamoto kubwa.Yes bob naisoma haswa
Ulivyomtema mate hadi na mimi umeniambukiza, yamejaa mdomoni na siwezi kuyameza yote haya mie.. ppptuuuh.... nzdah!Wewe mwenye akili nyingi, uliwahi kuona kwamba wiki lijalo utapata ajali? Uliwahi kuona kwamba siku mbili zijazo utafukuzwa kazi? Uliwahi kujua kwamba baada ya siku kadhaa kitu fulani kitakuwa na vikawa?
Hao unaowaita watu duni, waliyasema hayo miaka 2,000 iliyopita leo yanatokea. Walieleza na madhara yake lakini mipumbavu miabudu mishetani kama wewe, inajidai inaakili hata haijui nini kinafanyika, na hata ikisoma madhara yake haielewi.
Wewe lifyoto, uwe unafikiri kabla ya kutapanya uharo. pyuuuuuuuuuuuuuuuuut.
Mfano aliotumia unaonesha alimaanisha impossibleInakukatisha vipi tamaa kutafuta pesa?Jesus hakusema its impossible.
Paul the persecutor of Christian on his way to Damascus to do what he does the best,all over the sudden the resurrected Jesus appears to him!!!...and you believe that farse!!!..Paul said he fabricated things sometimes for his own creditsI gave you a scripture reference what more do you want?I told you go and read Acts of the Apostles chapter 9 verse 5 to be specific.
Hata kwako ni vivyo hivyo, mtu wa imani tofauti anaona unamwambia 2+2 ni 7. Wewe kuwa binadamu mwema waheshimu wa imani nyingine na tangaza imani yako pasipo kuzivunja sheria za nchi.Mtu anaweza kuja na kuniambia 2+2= 7,you can see he is wrong but its what he chose to believe.Its probably because he refused to learn or he never get a chance to learn. The smartest thing to do is to let him be.The fact that he believes the sum is 7 doesnt change the fact that the right answer is 4.
Mimi sioni complex kwenye hizo ambazo mnaziita tabiri, kwasababu zipo based on calculations kwamba ina fahamika wazi kua kadri miaka inavyozidi kusonga mbele ndivyo ukuaji wa teknlolojia unavyozidi kutanuka.Kama unasoma na huoni tabiri zilizotimia basi unachangamoto kubwa.
Hii sio chapa iliyosemwa Hakuna uhusiano,chapa ni kiroho zaidi na sio kimwili.
Amen 🙏Bible is the only True Word of God.
If that story is false for you there isnt a true story for you.Paul the persecutor of Christian on his way to Damascus to do what he does the best,all over the sudden the resurrected Jesus appears to him!!!...and you believe that farse!!!..Paul said he fabricated things sometimes for his own credits
Ndo mana nakwambia uansoma huelewi.Mimi sioni complex kwenye hizo ambazo mnaziita tabiri, kwasababu zipo based on calculations kwamba ina fahamika wazi kua kadri miaka inavyozidi kusonga mbele ndivyo ukuaji wa teknlolojia unavyozidi kutanuka.
Tabiri ambayo inatolea na maandiko ya Mungu ilipaswa iwe na complex zaidi kuonesha imetolewa kwenye chanzo kitukufu kisichokua na makadirio yani ingetaja aina ya vifaa na majina yake pamoja na mwaka specific ambao hivyo vitu vitagunduliwa
Hatutegemei kuona kitabu cha Mungu kinakuja na maneno rahisi tu kua mwisho wa dunia kutakua na vita na wakati hizo tabiri zinaandikwa tayari katika nyakati hizo kuna vita kibao zimepiganwa
He never said or implied it is impossibleMfano aliotumia unaonesha alimaanisha impossible
Duuuh!!Mimi nimesoma bible na theology sana..nimekuwa muumini wa ukristo for more than 38 yrs lakini nimegundua....
1. JESUS never existed..
2. Dunia haina mwisho.
3. Hii reality ipo Fed na Sayari ya Saturn na kuwa boosted na Moon.
4. Mwezi ni Artificial
5. LUCIFer ndo god wa hii Dunia, because ukitazama all roads leads to him Lucifer
6. Baada ya kifo tunarudi kwenye asili yetu ambayo ni Formless, Void na kuwa na Nirvana.
7.Hakuna sababu ya kuogopa kifo.
8.Mbinguni hakupo.
9. Mungu hayupo kama tunavyofundishwa na vitabu vya dini bali Mungu yupo nasi viumbe vyoteikiwa ni pamoja na miti na wadudu na everthing