Mdogo mdogo utabiri unatimia. UFUNUO 13:11-18

Mdogo mdogo utabiri unatimia. UFUNUO 13:11-18

N mbaya sana kuhusianisha Mambo ya technology na hayo mapokeo ya dini za kizushi, hatukatai kuwa Kuna tabiri za kweli, lkn si hizo za biblia na Quran,

hiz hazina ukwel wowote na tabiri zake hazitowai kutimia ng'oooo, kwakuwa hivyo vitabu vilitungwa kwa kuiba stories za matukio yaliyowahusu jamii fulan hasa watu weusi na kulazimisha matukio hayo yawahusu Wana dini na wale mashetan wanaojiita waisrael tokea middle east...

Hakuna ukwel ktk biblia.
 
UFUNUO WA YOHANA 22

11 Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. 12 Tazama, naja upesi, na malipo yangu yako pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. 13 Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho. 14 Heri wazifuao nguo zao, ili wawe na haki ya kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. 15 Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.
16 Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzawa wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.
 
Mi sio msabato i am just a regular Christian who is a firm believer of Christ and i believe in Authority of The Bible as the Word of God.I refuse to listen anything which goes against The Bible.
Mimi nimesoma bible na theology sana..nimekuwa muumini wa ukristo for more than 38 yrs lakini nimegundua....
1. JESUS never existed..
2. Dunia haina mwisho.
3. Hii reality ipo Fed na Sayari ya Saturn na kuwa boosted na Moon.
4. Mwezi ni Artificial
5. LUCIFer ndo god wa hii Dunia, because ukitazama all roads leads to him Lucifer
6. Baada ya kifo tunarudi kwenye asili yetu ambayo ni Formless, Void na kuwa na Nirvana.
7.Hakuna sababu ya kuogopa kifo.
8.Mbinguni hakupo.
9. Mungu hayupo kama tunavyofundishwa na vitabu vya dini bali Mungu yupo nasi viumbe vyoteikiwa ni pamoja na miti na wadudu na everthing
 
Tuongezee nyama kidogo Kumbe kwenye chip kumeandikwa habari za chip.
 
Mimi nimesoma bible na theology sana..nimekuwa muumini wa ukristo for more than 38 yrs lakini nimegundua....
1. JESUS never existed..
2. Dunia haina mwisho.
3. Hii reality ipo Fed na Sayari ya Saturn na kuwa boosted na Moon.
4. Mwezi ni Artificial
5. LUCIFer ndo god wa hii Dunia, because ukitazama all roads leads to him Lucifer
6. Baada ya kifo tunarudi kwenye asili yetu ambayo ni Formless, Void na kuwa na Nirvana.
7.Hakuna sababu ya kuogopa kifo.
8.Mbinguni hakupo.
9. Mungu hayupo kama tunavyofundishwa na vitabu vya dini bali Mungu yupo nasi viumbe vyoteikiwa ni pamoja na miti na wadudu na everthing
Thats not the Bible and Thats not Theology.There are many materials outthere and people study them i agree and i think yoj are one of them but the Bible and History clearly show

-Jesus existed
-Dunia ina mwisho(Everything material has a beggining and has an end,Science can comfirm this(Stephen Hawking concluded that)
-Binadamu hakuwahi kuwa formless and Void. The world was formless a d void not human
-ni kweli hakuna sababu ya kuogopa kifo
-God is exactly as we are told as Christians.

Choose materials you study wisely
 
Paul was a resident of Jerusalem,being in on the same town or whatever doesn't guarantee that Paul new or saw or heard jesus message
First you need to know who Paul was before becoming a follower of Jesus.His name was Saul and he was a Pharasee(Mfarisayo).On top of that his job was to excute those who were believed to be followers of Jesus.(He was there when Stephano was stoned to death).

When Jesus appeared to him he was on his way from Jerusalem to Damascus and before that he requested a permit to drag all believers of christ that he will find in Damascus back to Jerusalem to be punished or excuted.Paul was very religious and he hated when he saw the Law of moses was broken.

So i want to ask you a question,by this background of Paul do you really believe he didnt know what Jesus preached?
Why he hated Christians if he didnt know what Christians preach?

Even if he didnt meet Jesus when Jesus was still on earth that doesnt mean he didnt know the message of Jesus.Remember the first thing he did after meeting Jesus was to go to somebody Anania(iam not sure of the name)?why do you think he went to see him?
 
N mbaya sana kuhusianisha Mambo ya technology na hayo mapokeo ya dini za kizushi, hatukatai kuwa Kuna tabiri za kweli, lkn si hizo za biblia na Quran,

hiz hazina ukwel wowote na tabiri zake hazitowai kutimia ng'oooo, kwakuwa hivyo vitabu vilitungwa kwa kuiba stories za matukio yaliyowahusu jamii fulan hasa watu weusi na kulazimisha matukio hayo yawahusu Wana dini na wale mashetan wanaojiita waisrael tokea middle east...

Hakuna ukwel ktk biblia.
Kutokuelewa kwako Biblia kusikufanye ukaondoa vitu na kudai havipo.Yaliyotabiriwa ni mengi na yote yalitimia kwa wakati wake.Ambayo bado hayajatimia yatatimia kulingana na wakati wake.

The Bible is the Most Authentic book on earth.
 
Miaka 1000 iliyopita Waisrael walikuwa wamekwisha rudi kwenye ardhi waliyopewa baba zao? Did you know that Israel wametambulika tena kama taifa mwaka 1948(If iam not mistaken) hii ni moja ya prophecy ambazo zimetimia miaka kati ya miaka 80 tu iliyopita. Zipo nyingi ambazo ni very specific you just have to study your Bible with keen EYE.
Jikite kwenye kuwa binadamu mwema, dunia bado ipo kwa miaka mingi mbele ila wewe unaweza usiwepo.
 
World will be controlled by number

New world order.
 
Jikite kwenye kuwa binadamu mwema, dunia bado ipo kwa miaka mingi mbele ila wewe unaweza usiwepo.
For me sina wasiwasi kuhusiana na Rapture or End of the World for that matter.
Its not about being a good person,its about who your faith is in.
A man is always sinful and whatever we do we will always fall short of Gods stsndards. The only way out of this is through faith in Jesus Christ.
 
Kuna ubaya gani kama linalofanyika ni jambo jema la kuzuia uhalifu...???

Kinachofurahisha stori kama hizi huwa uanzikia kwa watu duni ambao hata akili ya kukabiliana na mazingira yake ya kila siku hana..
Hahahahha
 
Wewe mwenye akili nyingi, uliwahi kuona kwamba wiki lijalo utapata ajali? Uliwahi kuona kwamba siku mbili zijazo utafukuzwa kazi? Uliwahi kujua kwamba baada ya siku kadhaa kitu fulani kitakuwa na vikawa?

Hao unaowaita watu duni, waliyasema hayo miaka 2,000 iliyopita leo yanatokea. Walieleza na madhara yake lakini mipumbavu miabudu mishetani kama wewe, inajidai inaakili hata haijui nini kinafanyika, na hata ikisoma madhara yake haielewi.

Wewe lifyoto, uwe unafikiri kabla ya kutapanya uharo. pyuuuuuuuuuuuuuuuuut.
Naomba kuuliza. Hako kadude kana ubaya gan kwan..mbona unatumia chip ya simu muda mrefu tu na mengneyo...kwan ukiwekewa hiko kinakufanya utende dhamb ?vita hyo iliyopo ..kama iko kwel..kat ya shetan na mungu hutaiweza ndugu yangu...cha zaid ni kwamba mzigo huo wa dhamb umeangushiwa wew...hahaha...hii dunia ina miaka zaid ya 5bilion..hiz zingne ni stor za hapa na pale...na kuna watu dunian hapa. Wameishi..wanaishi .a thousand years..kizaz chao kipo...unahis ulimwengun tuko peke yetu..kama utahis hvyo bas utakua hamnazo. Kuna sayar zaid ya trillion na ma trilion..halaf only one ndo iwe na uhai????hao wanaofulfill hyo process ..have been here on earth for thousands of years na ndo hao wenye akil nying wakakuandikia hvyo vitabu vya din..hutak sawa ....kutumia logic thinking wala sio dhambi..ukiona mtu anakwambia logic thinking kwenye haya mambo ya din haifai. Huyo hatak uujue ukwel...atakwambia tu..Mungu ni muweza wa yote wala usihoji chochote ..hahahahah..Mungu wa ukwel anataka kiumbe alichoumba kwa mfano wake kitumie akil na sio kupelekeshwa na stor za uongo uongo...angekua mtu wa miujiza kihivyo bas angejitokezaga kirahis tu na kutamka hiki na kile kikawezekana..ila mungu anafanya kaz ngum na ndomana alipumzika siku ya 6..na ndomana mwanae alikuja dunian akauwawa..si kesi ndogo hyo..
 
For me sina wasiwasi kuhusiana na Rapture or End of the World for that matter.
Its not about being a good person,its about who your faith is in.
A man is always sinful and whatever we do we will always fall short of Gods stsndards. The only way out of this is through faith in Jesus Christ.
Huo ni ulokolole. Dunia haina walokole tu. Kuna wakatoliki, Walutheri , Wasabato, Waislamu, Wahindu, Wabutha sijui tupo wengi sana na hatujali unaamini atakuja leo au kesho au alishakuja tunajali kuwa wewe ni binadamu mwema.
 
Nahisi labda hujanielewa. Discoveries and innovations zote ni kwaajili ya kurahisisha maisha za binadamu. Wanapolinganisha gunduzi na mwisho wa dunia ni kujenga hofu ambayo ni chanzo cha uharibifu. Sasa ili uweze kuishinda hiyo hofu ni kuishi kwa UPENDO, AMANI, WEMA NA FURAHA
Okay now nimekuelewa mkuu.
 
Huo ni ulokolole. Dunia haina walokole tu. Kuna wakatoliki, Walutheri , Wasabato, Waislamu, Wahindu, Wabutha sijui tupo wengi sana na hatujali unaamini atakuja leo au kesho au alishakuja tunajali kuwa wewe ni binadamu mwema.
I am Christian,follower of Jesus Christ.I believe everything The Bible say and I believe Jesus is the only way to The Father.

If anyone had a chance of hearing the gospel and rejected Jesus for him/her there will be no excuse.
 
Naomba kuuliza. Hako kadude kana ubaya gan kwan..mbona unatumia chip ya simu muda mrefu tu na mengneyo...kwan ukiwekewa hiko kinakufanya utende dhamb ?vita hyo iliyopo ..kama iko kwel..kat ya shetan na mungu hutaiweza ndugu yangu...cha zaid ni kwamba mzigo huo wa dhamb umeangushiwa wew...hahaha...hii dunia ina miaka zaid ya 5bilion..hiz zingne ni stor za hapa na pale...na kuna watu dunian hapa. Wameishi..wanaishi .a thousand years..kizaz chao kipo...unahis ulimwengun tuko peke yetu..kama utahis hvyo bas utakua hamnazo. Kuna sayar zaid ya trillion na ma trilion..halaf only one ndo iwe na uhai????hao wanaofulfill hyo process ..have been here on earth for thousands of years na ndo hao wenye akil nying wakakuandikia hvyo vitabu vya din..hutak sawa ....kutumia logic thinking wala sio dhambi..ukiona mtu anakwambia logic thinking kwenye haya mambo ya din haifai. Huyo hatak uujue ukwel...atakwambia tu..Mungu ni muweza wa yote wala usihoji chochote ..hahahahah..Mungu wa ukwel anataka kiumbe alichoumba kwa mfano wake kitumie akil na sio kupelekeshwa na stor za uongo uongo...angekua mtu wa miujiza kihivyo bas angejitokezaga kirahis tu na kutamka hiki na kile kikawezekana..ila mungu anafanya kaz ngum na ndomana alipumzika siku ya 6..na ndomana mwanae alikuja dunian akauwawa..si kesi ndogo hyo..
Achana na Fiction.Unajibebesha midude kibao kichwani isiyo na faida.
 
Back
Top Bottom