Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hapa vyeti tu, madawa ya kulevya mwenye jukumu ni Sianga na waziri mkuu na siyo huyu kibaka Bashite.Vyeti si hoja, hoja iliopo mezani ni madawa ya kulevya-tuelekeze akili zetu kwenye madawa.
CCM kwa stunt baada ya kutuletea vyeti, mnamnunulia mtu suti mpya, na hela ya press conference dah, kweli mmeishiwaKwa ufupi mdogo wake mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima (Josephat Gwajima) amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.
Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.
Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.
Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.
Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.
Kwani wewe ulitokea wapi?katokea wapi na yeye
Kama ameiba cheti cha mtu na yeye awajibishwe..Mwambie kwanza mbowe aonyeshe vyeti
Mwambieni vita vya madawa ya kulevya ni vita inayojitegemea, na vita ya kufoji vyeti ni vit inayojitegemea. Yote ni makosa ambayo yanakuwa dealt with separately!!!! Asituchanganye. Ile vita mbona tulimsifia sana. Hili nalo ni vita lazima lijibiwe. Au kama yeye anajua ukweli si atuambie!!! Kama kaka yake ni muongo si atuthibitishie!!! Tatizo anachanganya vita viwili ambavyo havichanganyiki.Kwa ufupi mdogo wake mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima (Josephat Gwajima) amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.
Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.
Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.
Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.
Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.
Ha ha ha!! Umenichekesha kweli. Hajawahi kufufua hata panya!!!! Ila hapa vyeti tu!!!! Mpaka kieleweke.Wote tunajua kuwa hajawahi kumfufua hata panya, lakini ukweli unabaki kuwa HAYO HAYATUHUSU. Movie inayotuhusu ni hii ya kutaka kumfufua David Alubeto Tarantini Bashkoooooolite.
Huyo anatafuta umaarufu tu, hana lolote.
Hawatoagi zaidi ya 7Kapewa buku ngapi huyu?
Akuwekee atakutoa wapi sasa??? Weka namba ako ya simu hapa akupigie???Kama kweli una vyeti kwa nini usiviweke hadharani ili kumuaibisha shetani?
Tuwekeeni mezani vyeti vya mkuu wetu wa mkoa, au kama wauza unga wameviiba mtuambie
Ha ha ha!!! Naona anamonea wivu ndugu yake!!! La kujiuliza ni ndugu yake kweli? Hebu tusubiri Bishop Gwajima atakavyomjibu jpili.wakae nyumbani wamalize ugomvi wao wa kifamilia au na yeye afungue kanisa lake afufue hadi kware.