Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Kama Huyo John si Muuza madawa kweli
asinge shupalia ujinga huo.
Huyu kajificha nyuma ya uchungaji kuuza madawa,
Wengine wamejificha nyuma ya Uenyekiti wa chama kuendesha Biashara mbaya!!
Hawata penya
waendelee kuwatumia hao mamluki
lakini hawata penya kamwe
Laah hii kali! Huwa unafikiri kabla ya kuandika au unaandika na kupost kisha unafikiri baadae?
 
Kama Huyo John si Muuza madawa kweli
asinge shupalia ujinga huo.
Huyu kajificha nyuma ya uchungaji kuuza madawa,
Wengine wamejificha nyuma ya Uenyekiti wa chama kuendesha Biashara mbaya!!
Hawata penya
waendelee kuwatumia hao mamluki
lakini hawata penya kamwe
Kama ni wauza unga sheria iwahukumu ipasavyo lkn Makonda aoneshe vyeti
 
Kama Huyo John si Muuza madawa kweli
asinge shupalia ujinga huo.
Huyu kajificha nyuma ya uchungaji kuuza madawa,
Wengine wamejificha nyuma ya Uenyekiti wa chama kuendesha Biashara mbaya!!
Hawata penya
waendelee kuwatumia hao mamluki
lakini hawata penya kamwe
Kama ni wauza unga sheria iwahukumu ipasavyo lkn Makonda aoneshe vyeti
 
Kwa ufupi mdogo wake mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima (Josephat Gwajima) amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Kama umeandika zaidi ya Maneno 5000 bila kumtaja huyo Mdogo wake Gwajima kwa Majina yake wewe ndio utakuwa ni kilaza zaidi ya Bashite.

TUNATAKA VYETIIIIIIIIIII
 
VITU VYA KUZINGATIA;
1. Anaona katajwa kinyume na utaratibu au kaonewa aende mahakamani.
2. Mwenye vyeti feki aweke hapa ili tumuulize rais kwa nini kamteua mtu aliye na kosa la jinai.
3. Tuache kujinufaisha kwa kutumia sakata hili.
MNAO PAMBANANA NA VITA YA MADAWA YA KULEVYA HONGEZENI NGUVU ZAIDI ILI KUOKOA MAISHA YA VIJANA.

MAMBO MENGINE NI KELELE ZISIZO NA MSINGI.
 
Hapa naona Kijicho na chuki za kiukoo, huwa zinatokea sana hasa mmoja akiwa na maendeleo makubwa zaidi ya wenzie
Huyo Gwajima mdogo anatuambiaje kuwa Kanisa sio sehemu ya siasa kwa Gwajima tu?

JPM kaenda kwa Mzee wa upako Kaongea Siasa, Kaenda KKKT kaongea siasa, Kaenda Catholic Dar, Singida na Bukoba kaongea siasa, Mbona huyo Gwajima mdogo hakuitisha press Conference?

Makonda nae kamaliza Makanisa akiongea Siasa, Mbona huyo Gwajima mdogo hakuitisha press conference?

iweje mwanasiasa akienda kuongea siasa Kanisani iwe sawa, lakini Mchungaji akiongea Siasa iwe issue?
 
Dah! huyu ndiye ndugu yake anayemfahamu in and out " hajawaki kufufua hata panya" ila waliokutana naye bongo ndio wanajifanya kumuamini. Kamrarua ile mbaya
Hamtutoi kwenye mstari na hao mnaowanunua. Leo mnaona issue ya vyeti ni upuuzi, madhara ya vyeti feki unayajua vizuri na ni makubwa kuliko unavyojaribu kudanganya watu kisa unamtetea mtoto wa mfalme. Hatuipuuzi vita ya madawa ya kulevya, lakini nayo haiwezi kutuondoa kwenye vita ya elimu feki.
 
Kwa ufupi mdogo wake mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima (Josephat Gwajima) amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Anatuhumiwa kushindwa kufufua mfu?

Hili kosa kiboko!

Nina hakika adhabu yake lazima itakuwa kubwa sana.

Nashauri huyo mdogo wake na Gwajima kwa kushirikiana na hao watoto pamoja na Kondaz wamfungulie mashtaka kwa kosa hilo
 
Gwajima anachofanya kila jamaa akiweka mboga yeye anamwaga ugali, huewzi kumtuhumu mtu bila sababu za msingi. Gwajima we endeleaa kumwaga ugali tu hadi kieleweke.
 
Sisi watz tumechoka na ujinga wenu hoja ya msingi hapa ni.madawa ya kulevya ni siyo ujinga wenu .
First come first. Daudi kufanya mtihani na Daudi kuwataja watu hovyo nini kulianza?
Hili la cheti mpaka lipate majibu na hatua vinginevyo NECTA ya nini sasa? Hayo ya madawa yupo Sianga kule na anafanya kazi kwa ufanisi bila kulaumiwa.
Huyu Daudi hata kama angekuwa hajafoji cheti bado asibgeruhusiwa kugusa huko
 
Hapa naona Kijicho na chuki za kiukoo, huwa zinatokea sana hasa mmoja akiwa na maendeleo makubwa zaidi ya wenzie
Huyo Gwajima mdogo anatuambiaje kuwa Kanisa sio sehemu ya siasa kwa Gwajima tu?

JPM kaenda kwa Mzee wa upako Kaongea Siasa, Kaenda KKKT kaongea siasa, Kaenda Catholic Dar, Singida na Bukoba kaongea siasa, Mbona huyo Gwajima mdogo hakuitisha press Conference?

Makonda nae kamaliza Makanisa akiongea Siasa, Mbona huyo Gwajima mdogo hakuitisha press conference?

iweje mwanasiasa akienda kuongea siasa Kanisani iwe sawa, lakini Mchungaji akiongea Siasa iwe issue?
Makonda mwenyewe kaenda kanisani kuhubiri majukumu yake ya ukuu wa mkoa...
 
UTABIRI: Matokeo ya Tabia za Gwajima, iko siku anguko lake litakuwa kuu. Tujipe muda
 
Vyeti si hoja, hoja iliopo mezani ni madawa ya kulevya-tuelekeze akili zetu kwenye madawa.
Ndugu yangu alifukuzwa kazi kwa kutumia cheti cha mtu mwingine, same applied to BASHITE.
 
Kwa ufupi mdogo wake mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima (Josephat Gwajima) amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Hatudanganywi na mtu anayetumika vinginevyo.
Hakuna cha mdogo wake Gwajima wala cha nani. Issue ni mtuhumiwa alete vyeti
 
Back
Top Bottom